Lissu ukirudi Tanzania zingatia hili, kumkashifu Baba wa Taifa ni off limits

Lissu ukirudi Tanzania zingatia hili, kumkashifu Baba wa Taifa ni off limits

Hilo sijalisikia mkuu 'eliakeem'.

Kama alisema hayo, basi alipotoka na bila shaka alishatambua hivyo.

Yeye anakiburi sana, nadhani kinatokana na kufikiri kwamba ana ujuzi na akili kuwazidi wengine.
 
Soma historia mkuu, utaelimika na kuelewa kwa nini nchi zenye iconic leaders, wanawaenzi viongozi wao.
Lakini ninyi, ni kama wale waliomkashifu Gaddafi ili mchukue nchi kwa tamaa zenu.

Lincoln was an iconic leader
"Lincoln will go down as one of the greatest presidents in the annals of history. He epitomizes the American dream: He came from nothing to eventually becoming the president of the United States. Despite his personal demons, despite everything that was thrown at him – and these were significant traumas – Lincoln managed to soldier on. Such resilience and such strength of character are truly awe-inspiring,”

“Lincoln never gave up. He was a man who learned from his mistakes and had a drive inside of him that allowed him to overcome nearly insurmountable odds"
Mkuu, kuna vijistatement vinavyotolewa na wanaodai wanaodai "Magufuliism' au wanavyojaribu kuibatiza 'Sukuma Gang'' wanaodai ' Nyereism" na kikubwa...hawana hoja wanapiga porojo ndefu ili mradi wabandike haya....namnukuu aliyoko karibu na wanasema haya
Mabaya yake lazima yasemwe ili kizazi cha leo na cha kesho kijifunze na kisije kufanya makosa kama yake.

Au huyu mtu alikuwa Mungu Kwa umbo la binadamu?

Lakini pia alifanya mengi mabaya na yaasiyofaa ambayo kizazi chetu na vile vijavyo havipaswi kuyaiga isipokuwa yatumike kama kumbukumbu ya kujifunzia kufanya mema zaidi.
Karibu kila Uzi uliokuwa na Magufuli R.I.P au Nyerere R.I.P ndio unayaona hayo. "Hayatakiwi kurudiwa na yeyote" ni onyo? of some sort. Vilevile unakuta wanadai ' Watoto wasisomeshwe'!

Now, what is the common denominator? Kati ya Hayati Raisi Magufuli na Marehemu Raisi J.K.Nyerere?

Ndio kulikuwa na maraisi in between na wao pia wamefanya makosa, lakini huji kusikia, ati 'Makosa yao yasirudiwe' Ni makosa gani hayo? ambayo hayako specific?

Na kati ya Maraisi wote hao ambao wametumikia katiba hiyo hiyo ni wawili tu ndio waliojifanya 'Miungu mtu'? pamoja na kuleta hoja kubwa ya Sababu za kupata Katiba mpya kuwa 'zinamfanya Raisi kuwa 'Mungu' mbona hawasemi Raisi Samia kajifanya mungu Kumwachia mbowe? Mbona Hawasemi Raisi Mwinyi na Ruksa zake hakujifanya Mungu mtu? Mbona hawasemi Raisi Mkapa kajifanya Mungu mtu?

Again, what is the common denominator kati ya Maraisi hao mbali na Katiba inayodaiwa kuwafanya Maraisi wetu wawe Mungu mtu?

'The white mans' god was Offended? and By the way wakiwa wanaanza na viposti vyao lazima wanamtaja mungu! Mungu gani huyo.
Mwisho wa siku ni Kashifu na Kejeli, na Udumazi wa hali ya juu!

its a total psychological warfare!

Aluta Continua
 
Nitakujibu kiufupi tu.

Mwalimu Nyerere hakuwa mungu, alikuwa binaadam na mapungufu yake. "Mapungufu ya binaadam" hayapo sawa kwa kila binaadam aliyeumbwa, tunatofautiana kama ilivyo katika vipaji vyetu.
It's true. Hakuna abishae kwa hili. Na ni vizuri kuwa una uelewa huu
Hata katika vipaji vya kuona makosa ya wengine, tunatofautiana na ni hivyo hivyo hata katika tabia za uzushi za binaadam, kuona ubaya au uzuri katika wanayoamua wao wenyewe kuyaona kivyao.
This also is true

Kwa sababu ktk jambo moja lile lile wewe waweza kuona hivi, Mimi nikaona vinginevyo.

Hapo pana ubaya kwani? Hoja ni kwanini wengine wakiwa na muono tofauti wa jambo lile lile itafsiriwe kuwa ni tusi au kashfa kama mleta hoja Jidu La Mabambasi aavyodai na nyie kuunga mkono?

Na je, kutukana au kumkashfu mtu mwingine si ni kosa la jinai? Kama kuna matusi au kashfa kweli, ni kwanini anayekashfiwa asichukue hatua za kisheria.
Inapotokea mtu anaona mwenzake kafanya vibaya, si lazima iwe kweli kwamba anayoyaona yeye kuwa ni mabaya kwa kila mtu au kwa jamii inayohusika.

Yes. You are very right..

The question is, Kuna mahali Tundu Lissu alimlazimisha mtu akubaliane au aamini Kila akitoleacho maoni yake?

Obvious, the answer is big NO!!

Kama hivi ndivyo ilivyo, hoja yako ni ipi has hapa? Tatizo liko wapi hapo ndugu Kalamu?
Tundu Lissu, kama tulivyo wengi wetu, pengine pamoja na wewe, anazo tabia za kuona ubaya hata katika mambo hayakulenga yawe ya ubaya, ari mradi tu amekuwa na "a contrary opinion/view" kwa mambo mengi; watu wenye tabia hii wapo sanana yeye ni mmojawapo.

I once again agree with you.

Nauliza tena, tatizo ni nini kwani? Je, ni kosa la jinai kuwa na contrary views/opinions about someone/something?

Na je, kuwa ktk position hiyo kumhusu Hayati Nyerere J. K au Hayati John P. Magufuli au kiongozi yeyote yule kumbe huko ndiko kunakoitwa siku hizi "kutukana" au "kukashfu" viongozi siyo?
Niseme, licha ya uwezo mkubwa alionao, hili la kutochambua uzito wa jambo analolipinga ni 'weakness' kubwa kwake; na hasa kama kiongozi wa kisiasa.
I don't know if it's a weakness or the opposite.

Ninachofahamu Mimi ni kuwa, hayo ni maoni na mtazamo wako wewe. Nayaheshimu, sina tatizo nayo

Sisi wengine tunamuona ktk muono tofauti kabisa na Kwa sehemu kubwa tunamuelewa.

Na ninaweza kuupinga Kwa hoja kinzani tu lakini si kusema kuwa anatukana au ana kashfu mtu kama mfanyavyo nyie wengine
 

Lissu crossed the rubicon.
Zaidi ya kusema kile anachofikiri hana kitu zaidi kichwani.
Ajenge hoja ya kuanziha chuo kikuu Singida, hawezi.
Kuna walioumbwa ili waje wajenge chuo kikuu Singida.

Wewe umejenga huko kwenu Mwamapalala Bariadi?

Jibu ni HAKUNA!..... Kwanini? Kwa sababu wewe umeumbwa kwa hilo au hayo ufanyayo sasa.

Hakuna mwenye uwezo wa kufanya yote. Kuna mgawanyo wa karama na majukumu kumbuka.

Tundu Lissu ni mwanasheria, mwana harakati na mwanasiasa. Amefanya makubwa kwenye maeneo haya
 
Usiwe kubwa jinga.
Nini hii?

Yaani ulichokiandikia thread kukikataa ajabu wewe ndiye unakifanya, kutukana na kukashfu wanajukwaa wenzako direct?

Kwa hili wewe unataka nikupe jinai gani kweli?

Mlevi? Mwendawazimu? Mpumbavu?.... Chagua moja linalokufit.

Ningeweza kujibu hoja zako very precisely, lakini kwa lugha yako nimekudharau, nitakuwa najibishana na mlevi wa kwenye kilabu cha pombe tu!
 
Ni utamaduni wetu ndio unaotufanya kuwa na tafsiri tofauti. Ni Lugha zetu ndizo zinatufanye tuwe tofauti. Ni maadili yetu ndio yanatuanya kuwa tofauti.

Hamtaki? Hatuwalazimishi nyie muwe kama sisi, tunataka mtu heshimu kama sisi. Save your self pity ambazo zinakuja na tuhuma potofu na za upotoshaji ikiwa na matusi. Your definition ya huna Akili ni "Unintelligable' 'Uncivilized'

Duh hata sijamaliza Jidu kapewa dongo.

Haya mkutano umeisha. Lissu kaenda kupumzika na kesha acha "the next phase agenda"on your behalf huko Mrudi Exeter Hall
for more Instructions.

Oh our St Augustine!
 
Kuna walioumbwa ili waje wajenge chuo kikuu Singida.

Wewe umejenga huko kwenu Mwamapalala Bariadi?

Jibu ni HAKUNA!..... Kwanini? Kwa sababu wewe umeumbwa kwa hilo au hayo ufanyayo sasa.

Hakuna mwenye uwezo wa kufanya yote. Kuna mgawanyo wa karama na majukumu kumbuka.

Tundu Lissu ni mwanasheria, mwana harakati na mwanasiasa. Amefanya makubwa kwenye maeneo haya
Kakukomboa nini kiakili na kimaisha?
 
Nini hii?

Yaani ulichokiandikia thread kukikataa ajabu wewe ndiye unakifanya, kutukana na kukashfu wanajukwaa wenzako direct?

Kwa hili wewe unataka nikupe jinai gani kweli?

Mlevi? Mwendawazimu? Mpumbavu?.... Chagua moja linalokufit.

Ningeweza kujibu hoja zako very precisely, lakini kwa lugha yako nimekudharau, nitakuwa najibishana na mlevi wa kwenye kilabu cha pombe tu!
Usihitie mjanja wa kuweza kutafuna nazi na maganda yake.
Punguza kiherehere!
 
It's true. Hakuna abishae kwa hili. Na ni vizuri kuwa una uelewa huu

This also is true

Kwa sababu ktk jambo moja lile lile wewe waweza kuona hivi, Mimi nikaona vinginevyo.

Hapo pana ubaya kwani? Hoja ni kwanini wengine wakiwa na muono tofauti wa jambo lile lile itafsiriwe kuwa ni tusi au kashfa kama mleta hoja Jidu La Mabambasi aavyodai na nyie kuunga mkono?

Na je, kutukana au kumkashfu mtu mwingine si ni kosa la jinai? Kama kuna matusi au kashfa kweli, ni kwanini anayekashfiwa asichukue hatua za kisheria.


Yes. You are very right..

The question is, Kuna mahali Tundu Lissu alimlazimisha mtu akubaliane au aamini Kila akitoleacho maoni yake?

Obvious, the answer is big NO!!

Kama hivi ndivyo ilivyo, hoja yako ni ipi has hapa? Tatizo liko wapi hapo ndugu Kalamu?


I once again agree with you.

Nauliza tena, tatizo ni nini kwani? Je, ni kosa la jinai kuwa na contrary views/opinions about someone/something?

Na je, kuwa ktk position hiyo kumhusu Hayati Nyerere J. K au Hayati John P. Magufuli au kiongozi yeyote yule kumbe huko ndiko kunakoitwa siku hizi "kutukana" au "kukashfu" viongozi siyo?

I don't know if it's a weakness or the opposite.

Ninachofahamu Mimi ni kuwa, hayo ni maoni na mtazamo wako wewe. Nayaheshimu, sina tatizo nayo

Sisi wengine tunamuona ktk muono tofauti kabisa na Kwa sehemu kubwa tunamuelewa.

Na ninaweza kuupinga Kwa hoja kinzani tu lakini si kusema kuwa anatukana au ana kashfu mtu kama mfanyavyo nyie wengine
Nimekwishakuelewa unaposimamia mkuu 'Uzima Tele'.

Andiko lako la mwanzo kabisa nililojibu sikuwa nimepata picha halisi.

Ninachoweza kumalizia nacho kumhusu Tundu Lissu ni ushauri tu, na ninautoa huu ushauri kwa sababu ninayo matumaini juu yake kuhusu hatma ya nchi yetu ambayo chini ya CCM hii tuliyonayo inaelekea shimoni.

Ushauri wangu kwake: Haimsaidii chochote yeye binafsi, wala maslahi ya chama chake au Tanzania kwa ujumla kupambana na yaliyofanyika enzi za Mwalimu Nyerere. Mengi yalifanywa kwa nia iliyolenga kuwakwamua waTanzania katika hali mbovu iliyokuwa inawakabili. Mazingira ya wakati huo ni tofauti kabisa na ya leo. Na kwa hakika kabisa, yapo mengi sana yanayohitaji kufanyika leo, kuliko kupoteza nguvu nyingi kupambana na yaliyomhangaisha Mwalimu Nyerere katika uongozi wake.

Tundu Lissu, anayo nafasi ya kujijengea heshima yake, na waTanzania watamtambua kwa hayo atakayokuwa ameyatimiza, kama wanavyotambua mapambano aliyosimamia Mwalimu Nyerere kwa wakati wake.

Ni kazi bure, na kwa kweli ni kupoteza muda kudhani kwamba kupambana na kivuli cha Mwalimu kwa wakati huu kitamwongezea heshima katika jamii.

Lengo lake, kama lilivyokuwa kwa Mwalimu Nyerere ni kuijenga Tanzania yenye heshima na kusimamia juhudi za waTanzania kujikwamua katika rindi la umaskini.
Kama anayo nia ya kufanya hivyo kwa dhati ya moyo wake, nami nipo tayari kuungana naye kwenye safari hiyo mhimu kwetu sote.

Nimemalizana na hili.
 
Nimekwishakuelewa unaposimamia mkuu 'Uzima Tele'.

Andiko lako la mwanzo kabisa nililojibu sikuwa nimepata picha halisi.

Ninachoweza kumalizia nacho kumhusu Tundu Lissu ni ushauri tu, na ninautoa huu ushauri kwa sababu ninayo matumaini juu yake kuhusu hatma ya nchi yetu ambayo chini ya CCM hii tuliyonayo inaelekea shimoni.

Ushauri wangu kwake: Haimsaidii chochote yeye binafsi, wala maslahi ya chama chake au Tanzania kwa ujumla kupambana na yaliyofanyika enzi za Mwalimu Nyerere. Mengi yalifanywa kwa nia iliyolenga kuwakwamua waTanzania katika hali mbovu iliyokuwa inawakabili. Mazingira ya wakati huo ni tofauti kabisa na ya leo. Na kwa hakika kabisa, yapo mengi sana yanayohitaji kufanyika leo, kuliko kupoteza nguvu nyingi kupambana na yaliyomhangaisha Mwalimu Nyerere katika uongozi wake.

Tundu Lissu, anayo nafasi ya kujijengea heshima yake, na waTanzania watamtambua kwa hayo atakayokuwa ameyatimiza, kama wanavyotambua mapambano aliyosimamia Mwalimu Nyerere kwa wakati wake.

Ni kazi bure, na kwa kweli ni kupoteza muda kudhani kwamba kupambana na kivuli cha Mwalimu kwa wakati huu kitamwongezea heshima katika jamii.

Lengo lake, kama lilivyokuwa kwa Mwalimu Nyerere ni kuijenga Tanzania yenye heshima na kusimamia juhudi za waTanzania kujikwamua katika rindi la umaskini.
Kama anayo nia ya kufanya hivyo kwa dhati ya moyo wake, nami nipo tayari kuungana naye kwenye safari hiyo mhimu kwetu sote.

Nimemalizana na hili.
1. Ni vyema kuwa sasa tuanaweza kuwa tunaenda sambamba na tunaelewana. Vivyo hivyo kutofautiana kimitazamo na kihoja isiwe shida kiasi cha upande mmoja kudhani unatukanwa au kukashfiwa.

2. Kuhusu Tundu Lissu kukosoa waliowahi kuwa viongozi wa nchi hii na hawa waliopo, honestly hapo bado sijakuelewa na sina hakika kama naweza kukuelewa

3. Si Tundu Lissu pekee anayepambana na kivuli cha mwalimu bali ni kila mtanzania ukiwemo wewe iwe unajua na hata bila wewe kujua.

Yeye (Nyerere) ndiye aliyeweka misingi (footprints) ya taifa hili. Kuna footprints zingine ni mibaya na kikwazo cha maendeleo ya nchi hii hadi kesho, zinastahili kufutwa kabisa. Kwa hili atakosaje kutupiwa mawe? Haiwezekani bali watu watasema tu kuwa, hili lilisababishwa na Nyerere..!!

4. Na by the way, huwezi kufikiri kurekebisha makosa hayo bila kumtaja Mwl J. K. Nyerere kama mwasisi wa taifa hii. Na kama ambavyo nimekwisha kusema, lengo na dhamira si kumkashfu au kumdharau mwasisi huyu wa taifa hili la Tanzania bali ni kuthibitisha tu ubinadamu wake, kuwa, hakuwa Mungu. Alikuwa binadamu anayekosea pia.

Dhamira ni watu na watoto wetu waijue historia ya nchi yetu, viongozi wao waliyoyatenda, tulikotoka, tulipo na tunakoelekea kwa uzuri au ubaya..

Bado nakuuliza swali lile lile: Kuna ubaya gani TL ku - side upande huo?

Ni wazi kuwa huyu ndiye yuko kwenye njia sahihi kuelekea kwenye suluhu ya changamoto zinazoikabili nchi Kwa kufahamu kwanza chanzo cha matatizo haya.b

Mimi nadhani ukosoaji wa dizaini ya TL unakua mgumu kumezwa na wana - CCM kwa sababu unawaharibia sifa yao kisiasa na kuwapa wakati mgumu kujitetea majukwaani. Tutakwepa sana kusema, lakini shida iko hapa..!!

Kwa kuwa umesema hutarudi Tena. basi huko huko uliko take it as a challenge siku nyingine ukirudi, utie neno.

Good night
 
Back
Top Bottom