Lissu ukirudi Tanzania zingatia hili, kumkashifu Baba wa Taifa ni off limits

Lissu ukirudi Tanzania zingatia hili, kumkashifu Baba wa Taifa ni off limits

Mbona unaongelea yale yaliyo marahisi rahisi, pengine unasahu jinsi Lady Diana alivyo tendwa na MI6, alipoenda kimyume na establishment.

Kwa US umemsikia jamaa wa WIKILEAKS huko S anavyotafutwa , au ndio hujui?
Kwa Urusi , pengine wewe unawajua pimbi wa Pussy Riots, lakini hujui wala huelewi kuwa Oligarch karibia 40 wamesha kufa kwa kuanguka toka maghorofani kwa bahati mbaya.

Mkuu, go against the establishments foundations , you become fair game.
Mkuu,

Unaelewa maana ya "two wrongs do not make a right?".

Kwa nini unataka hizo nchi ziwe mfano kama hizo habari kimsingi si nzuri?

Kwa nini tuige wanaofanya vibaya?
 
Mkuu,

Unaelewa maana ya "two wrongs do not make a right?".

Kwa nini unataka hizo nchi ziwe mfano kama hizo habari kimsingi si nzuri?

Kwa nini tuige wanaofanya vibaya?
Hiyo mifano kwa nchi husika ulinza wewe kuitoa, lakini wewe ulitazama upande unaoupenda tu.
Mifano niliyokupa ndio ile halisi na inayohusika na Lissu.
 
Mwaka 1984 na kufanyiwa amendments mwaka 2010 (Naweza kusahihishwa kama nimekosea)


Mimi sijasema hivyo.

Hata hivyo, jibu la swali lako ni HAPANA. Kwa sababu Muungano ni makubaliano ya pande mbili au zaidi. Hakuna makubaliano yasiyoweza kufanyiwa marekebisho kwa kadiri mnavyoendelea mbele kuyatekeleza. Mara nyingine makubaliano huvunjika au hufikia ukomo na kila upande ukaenda kivyake.

Upo mkataba wa makubaliano mmoja tu maarufu kama "agano" ambalo ni irreversible. Ni lile kati ya Mungu Muumba na wanadamu. Unalijua?


Obviously, ni hivyo. Soma hapo juu

Sijadharau mtu tafadhali!

Ila ni kweli kuwa Kwa miongo kadhaa timejengwa ktk misingi ya unafiki na uongo na kuhanganyana kwingi kiasi cha baadhi yetu kuanza kujiita "waheshimiwa" badala ya "ndugu" eti tu Kwa sababu wako kwenye nafasi ya utawala au uongozi fulani.

Huu ni utamaduni mbaya sana. Wakaenda mbali zaidi na kuingiza mambo haya mpaka kwenye mitaala ya shule za watoto wetu.

Vyema umelitambua hili. Na hoja yangu iliwahusu wao



Hakuna mahali Mimi au pengine hata Tundu Lissu tunayemjadili hapa amesema Hayati Mwl Nyerere J. K hakufanya mema ktk nchi hii. Alifanya mema mengi na mazuri, and we appreciate them

Lakini pia alifanya mengi mabaya na yaasiyofaa ambayo kizazi chetu na vile vijavyo havipaswi kuyaiga isipokuwa yatumike kama kumbukumbu ya kujifunzia kufanya mema zaidi. Hii ndiyo hoja ya Tundu Lissu nami nakubaliana naye 100%. Kuna ubaya hapo?

Au Kuna shida gani kwani ndugu Kalamu kusema makosa yaliyofanywa na yanayofanywa na viongozi wetu?

Je, si Kwamba tujifunze ili wengine wasifanye makosa hayo?

Mbona sasa "kukosoana" mnakuita ni kutusiana au kukashifiana? Mna matatizo gani nyie???

Nisome hapo juu.

Kwa lugha rahisi ndugu Kalamu iko hivi:

Mazuri ya viongozi wetu yaenziwe na kila mtu na makosa na mabaya yao yote tuyapinge na kuyakataa Kwa uwazi bila hofu yote. Ndicho afanyacho Tundu Lissu. Na nakubaliana naye kabisa 100%

Au kusema mabaya na kuwakosoa viongozi wetu kwenu ninyi huko ni mwiko na ni matusi?

USHAURI: Ukitaka kujifanyia mambo yako mwenyewe Kwa namna yoyote na Kwa njia yoyote bila kujali watu, basi huyo mtu awe kiongozi wa familia yake mwenyewe japo hata ndani ya familia kama ana watoto, basi ategemee kukosolewa na kupingwa tu!



Exactly, anastahili heshima

Lakini usisahau kuwa alikuwa mwanadamu. Msikilize Tundu Lissu vizuri kwenye video hiyo tena ili umwelewe.

Mabaya yake lazima yasemwe ili kizazi cha leo na cha kesho kijifunze na kisije kufanya makosa kama yake.

Na sisi wengine tunapoonesha mapungufu yake, msituone ni wanafiki vilevile Kwa sababu tunathibitisha ubinadamu wake!!

Au huyu mtu alikuwa Mungu Kwa umbo la binadamu?

Thibitisha ili tumheshimu Kwa masafa hayo. Kama sivyo, basi ni vyema tukubaliane kutokukubaliana!!

Thanx
Nitakujibu kiufupi tu.

Mwalimu Nyerere hakuwa mungu, alikuwa binaadam na mapungufu yake. "Mapungufu ya binaadam" hayapo sawa kwa kila binaadam aliyeumbwa, tunatofautiana kama ilivyo katika vipaji vyetu.

Hata katika vipaji vya kuona makosa ya wengine, tunatofautiana na ni hivyo hivyo hata katika tabia za uzushi za binaadam, kuona ubaya au uzuri katika wanayoamua wao wenyewe kuyaona kivyao.

Inapotokea mtu anaona mwenzake kafanya vibaya, si lazima iwe kweli kwamba anayoyaona yeye kuwa ni mabaya kwa kila mtu au kwa jamii inayohusika.

Tundu Lissu, kama tulivyo wengi wetu, pengine pamoja na wewe, anazo tabia za kuona ubaya hata katika mambo hayakulenga yawe ya ubaya, ari mradi tu amekuwa na "a contrary opinion/view" kwa mambo mengi; watu wenye tabia hii wapo sanana yeye ni mmojawapo.

Niseme, licha ya uwezo mkubwa alionao, hili la kutochambua uzito wa jambo analolipinga ni 'weakness' kubwa kwake; na hasa kama kiongozi wa kisiasa.
 
Nyerere sio Mungu ni binadamu kama wengine ana mazuri yake na mabaya hivyo kusifiwa au kukosolewa ni kawaida tu,hata kutukanwa ni kawaida tu.
Kama Mungu mwenyewe mwenye dunia yake na mitume wanatukanwa sembuse binadamu wa kawaida tu.
 
Hiyo mifano kwa nchi husika ulinza wewe kuitoa, lakini wewe ulitazama upande unaoupenda tu.
Mifano niliyokupa ndio ile halisi na inayohusika na Lissu.
Hapana,

Unaandika kwa mifano isiyo na mantiki, halafu wewe mwenyewe unasahau kwamba ndiye uliyeanzisha hiyo mifano.

Unanisingizia mimi kuanzisha mifano.

Mifano umeianza wewe katika post #105 hapa

Uzuri JF inahifadhi maandishi, ingekuwa ni maongezi tu ingekuwa tabu saa hizi.
 
Hapana,

Unaandika kwa mifano isiyo na mantiki, halafu wewe mwenyewe unasahau kwamba ndiye uliyeanzisha hiyo mifano.

Unanisingizia mimi kuanzisha mifano.

Mifano umeianza wewe katika post #105 hapa

Uzuri JF inahifadhi maandishi, ingekuwa ni maongezi tu ingekuwa tabu saa hizi.
Logic ni ile ile!
Go against the State Icons, the State goes against you.
Hii si Tanzania tu, ni all over the world.
 
Logic ni ile ile!
Go against the State Icons, the State goes against you.
Hii si Tanzania tu, ni all over the world.
Sasa hatujamaliza suala la nani kaleta mifano, umekubali kwamba mifano umeleta wewe na si mimi kama ulivyodai awali?

Kuhusu hiyo logic.

Na wewe unaikubali logic hiyo? Unaifurahia?
 
Sasa hatujamaliza suala la nani kaleta mifano, umekubali kwamba mifano umeleta wewe na si mimi kama ulivyodai awali?

Kuhusu hiyo logic.

Na wewe unaikubali logic hiyo? Unaifurahia?
Hapo kwenye logic hakuna suala la mimi au wewe kukubaliana au la, dola perpetuates itself!
Mifano notwithstanding.
 
Wakoloni waliikuta nchi inaitwa Tanganyika? Ahahaha
Tizama chini(##)
Nani alikuwa kiongozi wake?

Kujali ukatae, nchi za Afrika, 99% ziliundwa na Wakoloni, wao ndio walioamua majina na mipaka yake, walioamua mpaka lugha za kutumia serikalini

(##)Walichikuta Wakoloni Ni makabila tu, ambayo naweza kukubaliana na wewe kuwa hayo makabila yalikuwa nchi au tawala ambazo zilikuwa na mamlaka kamili na uogozi inayoeleweka kuanzia juu mpaka Chini, jeshi na kila kitu, mpaka taasisi za Kukusanya ushuru/ Kodi pamoja na lugha yao
Sioni unachobisha(##)
Yaan Ni Kama ilivyo, Wafasansa, Waingereza, Wahindi, Wahispania, tofauti Ni ukubwa wa eneo la utawala tu, yaan mfano Wahehe walikuwa nchi kamili ndani ya Iringa na sio yote maana kilikuwa na nchi nyingine iliyokuwa inatawaliwa na Wabena na ya Wakinga pia, hivyo hivyo kwa Wasukuma, Wachagga, Wanyamwezi, nk hayo yalikuwa mataifa/ Nchi kamili
Porojo, lakini haukatai nilicho posti, au?
Lakin haya tunayoita Mataifa/Nchi kwa sasa, waasisi wake Ni Wakoloni
Power mongering-Udalali
Huna uwezo huo ww chawa
Chawa tena?
Leta huo ushahid wa kukashifiwa Nyerere
???
Tatizo la watu wajinga Kama wewe mnadhan kuna kukosoa kwa kusifia, wenyewe wajinga mnasema kukosoa kwa staha, wajinga kweli nyie
???
Nyerere hakuwa Mungu na itabaki hivyo milele, atakosolewa milele

Ulipachika hilo, kwani hakuna sehemu huyo uliyemjibu kudai au kusajesti/kuelemea huko

Rejea posti yangu na Ad 'ila kuna Mungu mzungu?'
Hoja eti alikashifiwa kwa kukosolewa itabaki kwenu nyie punguani milele
Nilitarajia kuona unazo hoja na sio viroja, hoja bila porojo, kukosoa na sio ukashifu, ujengaji na sio udumazi.

Itakuwa vigumu kwangu kukujibu kwakuwa...

Ulichokikuta katika posti yangu kule juu(baina yangu na AD) ulikuwa ni msahihisho, na nilimsahihisha kwasababu mbili za msingi.

Anaonekana ni Dalali wa Wakoloni(Mzungu) na baada ya kuona hizo posti zako juu, nimekuweka katika kundi hilo, la madalali-power mongers
Piga ua ndivyo inavyonekana.

Kukashifu

Ni wazi vilevile kuwa, haubishi nilichobandika bali, kwasababu za itikadi zako hilo halikubaliki kwako bila ya kuwa ni "Mkoloni' au "Mzungu" ndiye mwenye msemo wa mwisho kwani mifano na kauli zako ni zinajikita huko.

Na umesimama pale pale
Kukashifu na matusi mengine

...narudia, itakuwa ni vigumu kwangu kujibishana na mkimbari



Zidumu Fikra za "Nyerere"

Aluta Continua
 
Hapo kwenye logic hakuna suala la mimi au wewe kukubaliana au la, dola perpetuates itself!
Mifano notwithstanding.
Kwanza kabisa, umelkubali kwamba wewe ndiye ulileta mifano? Tumalize hilo ili tuweke rekodi sawa kwamba ulighafilika, si mimi niliyeleta mifano.
 
Kwanza kabisa, umelkubali kwamba wewe ndiye ulileta mifano? Tumalize hilo ili tuweke rekodi sawa kwamba ulighafilika, si mimi niliyeleta mifano.
Mkuu huo ni unyasi, na mfano nilioutoa #105 bado uko valid na unaibeba argument yangu, its not going against the grain.
 
Mleta mada ficha ujinga wako, Kwahiyo kusema ukweli ndio kukashifu?
 
Mkuu huo ni unyasi, na mfano nilioutoa #105 bado uko valid na unaibeba argument yangu, its not going against the grain.
Mkuu,

Hata sijafika kwenye mfano ni valid au si valid.

Umekubali kwamba wewe ndiye uliyeuanzisha huo mfano hapa, na si mimi kama ulivyodai?
 
Nyerere sio Mungu ni binadamu kama wengine ana mazuri yake na mabaya hivyo kusifiwa au kukosolewa ni kawaida tu,hata kutukanwa ni kawaida tu.
Kama Mungu mwenyewe mwenye dunia yake na mitume wanatukanwa sembuse binadamu wa kawaida tu.
Mkosoe Lissu halafu uone.
 
Kama SAMIA kayataka haya na kuyabaliki yafanyike, Mimi nani nikampinge tundu lisu!!!?
 
You are running around in circles, I hope utaukamata mkia wako.
Wewe umechemka kuhusu nani kaanzisha mfano, JF inaonesha umechemka, ushahidi umepewa.

Lakini bado hukubali tu kwamba umechemka licha ya kupewa ushahidi wa wazi?
 
Wewe umechemka kuhusu nani kaanzisha mfano, JF inaonesha umechemka, ushahidi umepewa.

Lakini bado hukubali tu kwamba umechemka licha ya kupewa ushahidi wa wazi?
Urguing on irrelevancies.
Wish u luck!
Just try catching ur tail, wont u?
 
Back
Top Bottom