Lissu ukirudi Tanzania zingatia hili, kumkashifu Baba wa Taifa ni off limits

Lissu ukirudi Tanzania zingatia hili, kumkashifu Baba wa Taifa ni off limits

Tundu Lissu karibu Bongo.
Nchi hii imeundwa, na walioiunda wengi wametangulia mbele za haki.
Lakini sera, misimamo na misingi yao ya haki na maendeleo kiuchumi, kijamii kwa ujumla mustakabali kitaifa iko pale pale.

Misingi ya umoja wa kitaifa ndio umeijenga nchi inayoitwa Tanzania.

Kinara wa utaifa wa nchi hii bado ni Mwalimu Nyerere.
Hapo nyuma Lissu uko on record kumkashifu na kumtukana kisiasa Mwalimu.
Tatizo kubwa hukuwa na sera, taratibu na itikadi mbadala kupitia chama chako.

Kama kuna kitu kitakurudisha Ulaya ni kumkashifu Mwalimu kwa mara nyingine.


Kikatiba Tanzania ni nchi ya kidemokrasia hakuna mtu yeyote ambaye anaweka masharti useme nini na usiseme nini ili mradi unafuata sheria. Kuna tofauti ya kumkashufu mtu binafsi au taasisi Lissu anaongelea Uraisi wa Mwalimu sio Mzee Nyerere kibinafsi. Kumbuka Lissu alienda kuona kaburi la Nyerere. Uraisi ni taasisi sio mtu mmoja
 
Katika kumbukumbu zako ni wapi na lini TL amewahi kumkashfu mtu yeyote achilia mbali huyu mtu na binadamu aitwaye hayati Mwl Julius K. Nyerere?

The problem with you people and most likely Tanzanians ni Kwamba, mmekulia na kulelewa ktk culture mbaya ya unafiki ya "Zidumu fikra za Mwenyekiti" na kutokuwa wakweli ktk maisha yenu yote.

Akitokea mtu jasiri dizaini ya TL akavuka mstari wa kuishi ktk utamaduni huu mbaya wa kinafiki na maisha ya uongo na kudanganyana ktk nchi hii na kuanza kusema na kuweka wazi yaliyokuwa "taboo" kusemwa au kuwekwa wazi ktk jamii mnang'aka na kudai ni kashfa au matusi..

We know and remember kuwa, hii ilianza mwaka 2014 wakati wa Bungee La Katiba (BLK) wakati wa mjadala wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar mwaka 1964.
View attachment 2494407
Hapo nyie wanafiki ndipo mlipoanzaga kumuwakia TL kuwa kamkashfu baba wa taifa. Hebu tazama na sikiliza video hiyo. Huyu mtu tukubali tu kuwa anajua sana Kila asemacho na kukifanya. Kuna kashfa gani hapo????

Kivipi na Kwa namna gani?

It was simply because he broke the taboo of hypocrisy by exposing the weak side of the said "father of this nation" Kwa kuweka wazi makosa yake ya kimaamuzi ktk utawala wake wa miaka 24 ya nchi hii (ambayo hata yeye binafsi alitambua na kukiri waziwazi wakati wa uhai wake kwa mdomo na Kwa maandishi ya vitabu vyake) hususani ktk suala katiba ya JMT na Muungano wa TZ & Zbr mwaka 1964 ambayo mpaka leo yanaitesa nchi hii.

Kwa hiyo, huu ni ushauri wa kipuuzi. It's better ukakaa nao wewe mwenyewe au shaurianeni ninyi Kwa ninyi huko CCM Lumumba kisha pangeni tena kumdhuru kwa ubaya wowote halafu muone matokeo yake this time juu yenu na watoto wenu..

Na ofcoz ni ushauri usiotakiwa kusikilizwa wala kufuatwa na mtu yeyote anayejitambua na mwenye akili timamu.

Hatutaki mturudishe kwenye ujima na utwana. Tunataka kwenda mbele..
Mkuu 'Uzima Tele', nimekusoma kwa makini, na nikarudia kusoma tena mara ya pili baada ya kusikiliza hiyo 'clip' ya video uliyoiweka hapo, ambayo ninakushukuru pia kwa kuiweka.

Mbali ya kutokubaliana na uwasilishaji wa machache katika andiko lako, ninakubaliana nawe katika mengi.

Lakini, kilichonisukuma hasa ni'quote' andiko lako ni kutaka tu kuuliza swali, kama utakuwa na jibu nalo: Hivi Katiba ya Zanzibar iliandikwa na kupitishwa lini? Ningependa kujuwa hilo.

Na wakati nikimaliza kuuliza, nimekumbuka pia swala la nyongeza, kama utakuwa na jibu nalo nitashukuru.

Hivi Muungano wetu ulipoasisiwa, hatua hiyo ndiyo iliyohitimisha kwamba Muungano huo umekuwa kamilifu, au ilitegemewa kwamba patakuwepo na hatua kadhaa kuendelea kuurutubisha zaidi?

Mwisho mkuu wangu 'Uzima Tele', isikuwie rahisi sana kuwadharau waTanzania kuwa ni watu wasiokuwa na akili. Ndiyo, kati yetu, na hasa enzi hizi, pamekuwepo na waTanzania wenzetu wengi ambao unafiki na mambo mengi ya hovyo yamekuwa kama ndiyo tamaduni ya nchi hii.
Ni Mwalimu huyo huyo aliyehimiza watu wjitambue na wajue haki zao, au umesahau?
Kwa hiyo, unapoona kuna waTanzania wanaoheshimu mambo mengi yaliyofanywa na Mwalimu Nyerere, ukadhani wamejitoa akili kichwani bila ya kujua sababu za kumuenzi mwasisi huyo wa taifa letu.
Ni heshima iliyo dhati anayoistahili Mwalimu Nyerere katika mambo mengi sana aliyoyafanya katika uhai wake kama kiongozi wa nchi yetu.

Sasa, tunapotoa heshima hiyo, tafadhali usione kuwa sote ni wanafiki.
 
Pamoja na mazuri yake mengi, kuua mfumo wa vyama vingi kwa takribani miaka 30 ulikuwa ni uamuzi mbaya sana. Mpaka sasa taifa hili bado linakabiliwa na kivuli kizito cha utawala wa chama kimoja kutokana na legacy hiyo.
Mkuu 'Uzima Tele', nimekusoma kwa makini, na nikarudia kusoma tena mara ya pili baada ya kusikiliza hiyo 'clip' ya video uliyoiweka hapo, ambayo ninakushukuru pia kwa kuiweka.

Mbali ya kutokubaliana na uwasilishaji wa machache katika andiko lako, ninakubaliana nawe katika mengi.

Lakini, kilichonisukuma hasa ni'quote' andiko lako ni kutaka tu kuuliza swali, kama utakuwa na jibu nalo: Hivi Katiba ya Zanzibar iliandikwa na kupitishwa lini? Ningependa kujuwa hilo.

Na wakati nikimaliza kuuliza, nimekumbuka pia swala la nyongeza, kama utakuwa na jibu nalo nitashukuru.

Hivi Muungano wetu ulipoasisiwa, hatua hiyo ndiyo iliyohitimisha kwamba Muungano huo umekuwa kamilifu, au ilitegemewa kwamba patakuwepo na hatua kadhaa kuendelea kuurutubisha zaidi?

Mwisho mkuu wangu 'Uzima Tele', isikuwie rahisi sana kuwadharau waTanzania kuwa ni watu wasiokuwa na akili. Ndiyo, kati yetu, na hasa enzi hizi, pamekuwepo na waTanzania wenzetu wengi ambao unafiki na mambo mengi ya hovyo yamekuwa kama ndiyo tamaduni ya nchi hii.
Ni Mwalimu huyo huyo aliyehimiza watu wjitambue na wajue haki zao, au umesahau?
Kwa hiyo, unapoona kuna waTanzania wanaoheshimu mambo mengi yaliyofanywa na Mwalimu Nyerere, ukadhani wamejitoa akili kichwani bila ya kujua sababu za kumuenzi mwasisi huyo wa taifa letu.
Ni heshima iliyo dhati anayoistahili Mwalimu Nyerere katika mambo mengi sana aliyoyafanya katika uhai wake kama kiongozi wa nchi yetu.

Sasa, tunapotoa heshima hiyo, tafadhali usione kuwa sote ni wanafiki.
 
Tundu Lissu karibu Bongo.
Nchi hii imeundwa, na walioiunda wengi wametangulia mbele za haki.
Lakini sera, misimamo na misingi yao ya haki na maendeleo kiuchumi, kijamii kwa ujumla mustakabali kitaifa iko pale pale.

Misingi ya umoja wa kitaifa ndio umeijenga nchi inayoitwa Tanzania.

Kinara wa utaifa wa nchi hii bado ni Mwalimu Nyerere.
Hapo nyuma Lissu uko on record kumkashifu na kumtukana kisiasa Mwalimu.
Tatizo kubwa hukuwa na sera, taratibu na itikadi mbadala kupitia chama chako.

Kama kuna kitu kitakurudisha Ulaya ni kumkashifu Mwalimu kwa mara nyingine.
Maovu kama yapo lazima yasemwe ndiyo maana ya upinzani ili wabadilike
 
Mkuu 'Uzima Tele', nimekusoma kwa makini, na nikarudia kusoma tena mara ya pili baada ya kusikiliza hiyo 'clip' ya video uliyoiweka hapo, ambayo ninakushukuru pia kwa kuiweka.

Mbali ya kutokubaliana na uwasilishaji wa machache katika andiko lako, ninakubaliana nawe katika mengi.

Lakini, kilichonisukuma hasa ni'quote' andiko lako ni kutaka tu kuuliza swali, kama utakuwa na jibu nalo: Hivi Katiba ya Zanzibar iliandikwa na kupitishwa lini? Ningependa kujuwa hilo.

Na wakati nikimaliza kuuliza, nimekumbuka pia swala la nyongeza, kama utakuwa na jibu nalo nitashukuru.

Hivi Muungano wetu ulipoasisiwa, hatua hiyo ndiyo iliyohitimisha kwamba Muungano huo umekuwa kamilifu, au ilitegemewa kwamba patakuwepo na hatua kadhaa kuendelea kuurutubisha zaidi?

Mwisho mkuu wangu 'Uzima Tele', isikuwie rahisi sana kuwadharau waTanzania kuwa ni watu wasiokuwa na akili. Ndiyo, kati yetu, na hasa enzi hizi, pamekuwepo na waTanzania wenzetu wengi ambao unafiki na mambo mengi ya hovyo yamekuwa kama ndiyo tamaduni ya nchi hii.
Ni Mwalimu huyo huyo aliyehimiza watu wjitambue na wajue haki zao, au umesahau?
Kwa hiyo, unapoona kuna waTanzania wanaoheshimu mambo mengi yaliyofanywa na Mwalimu Nyerere, ukadhani wamejitoa akili kichwani bila ya kujua sababu za kumuenzi mwasisi huyo wa taifa letu.
Ni heshima iliyo dhati anayoistahili Mwalimu Nyerere katika mambo mengi sana aliyoyafanya katika uhai wake kama kiongozi wa nchi yetu.

Sasa, tunapotoa heshima hiyo, tafadhali usione kuwa sote ni wanafiki.
Wakoloni wa Tanzania hawakutesa watu wakati wa kuutafuta uhuru, walifanya vitimbi vidogo vidogo tu vya hapa na pale kuchelewesha uhuru ili upatikane katika mazingira ambayo yalikuwa na faida kwa pia. Ndio maana huwa nachelea hata kutumia maneno "kuupigania" uhuru.
 
Hili ni doa ambalo haliwezi kufutika. Huwezi kumtukana baba wa taifa. Halafu ubaki salama.
Binafsi sijasikia Tundu Lissu akimtukana Mwalimu, kwa hiyo tusifanye hili jambo liwe kubwa zaidi ya lilivyo.
Hata hivyo, naelewa kwamba Tundu Lissu siyo mtu mjinga, na wala hawezi kuona kuwa anaongeza sifa kwake kwa kutumia ngazi ya kumkashifu Mwalimu. Hilo haliwezekani.
 
Kabla ya nchi kuingizwa kwenye chama kimoja 1965 Tanganyika ilishakuwa na vyama 4 vya siasa na Zanzibar ilishakuwa na vyama 3.
Nitakushukuru ukivitaja vyama hivyo, hasa vilivyokuwa Tanganyika.
 
Pamoja na mazuri yake mengi, kuua mfumo wa vyama vingi kwa takribani miaka 30 ulikuwa ni uamuzi mbaya sana. Mpaka sasa taifa hili bado linakabiliwa na kivuli kizito cha utawala wa chama kimoja kutokana na legacy hiyo.
Utadhani vyama vilifutwa Tanzania pekee, au hujui mtindo wa chama kimoja ulianzia wapi?
 
..unawezaje kuikosoa na kuichambua Katiba ya 1977 bila kumkosoa na kumchambua Mwalimu Nyerere muasisi wa katiba hiyo?

..au unaweza vipi kuukosoa muungano na jinsi ulivyoasisiwa bila kuwa umewagusa waasisi wa muungano Mwalimu Nyerere na Sheikh Karume?

..naamini Lissu ni kati ya wasomi ambao wanaweza kutoa mchango wenye tija kwa Watanzania wote tunapoelekea kuandika Katiba Mpya na kuunda Tume Huru ya uchaguzi.


..tumpe uhuru Lissu afundishe kuhusu Katiba bora na kutoa elimu ya uraia kwa faida ya Watanzania wote.
 
Unasema sera na msingi iko pale pale wakati NYAKATI zinabadilika ! eg. Huwezi ukaleta sera na misingi ya ujamaa nyakati hizi tukakuelewa maana ata waasisi wa ujamaa China na Urusi wameachana nao.

Pia ni ujinga kufikiri kwamba kukosoa ni kukashifu,au hauelewi maana ya kashfa na kukosoa?

Tuache ujinga na umbumbumbu,tutamkosoa yoyote maana hakuna Mungu mtu Tanzania.
Ila kuna mungu mtu "Mzungu"
Utabisha....
By the way nchi imeundwa na wakoloni,pia kuna wengi tu walisaidia kuleta uhuru wa kisiasa na sio Nyerere pekee
Wakoloni hawajawahi kuunda Nchi yeyote ile. Ni dhana potofu na upotoshaji Kudai kinyume chake....Nchi zote wamezikuta zikiwa na miundo yao ya Kiserikali, Kijeshi, Kijamii n.k

Walibomoa hawakujenga.

Wakoloni walichokifanya ni kuja kuwagaragasa wenyeji wa nchi hizo, ikiwamo Tanzania. na Hapa uwe mkweli na kusema Nchi zilizobomolewa na Ufalme Dhalimu wa Mabeberu wa Uingereza. Zipo Nchi nyingi hakuna hata haja za kuzitaja.


Ngoja nikunukuu hapa kabla hujaja kusema maneno mengine

"

"Pia ni ujinga kufikiri kwamba kukosoa ni kukashifu,au hauelewi maana ya kashfa na kukosoa?"

Asante kwa mchango wako kwenye Jamii inayojitambua. 'Bongo'.
 
9kama yule anaye mtukana Mwalimu hslafu hajui jiwe linatokea wapi.

Kama nawaona Sukuma genge na chawa wa Mama wakisikia Lissu anakuja:

IMG-20230125-WA0000.jpg
 
Tundu Lissu karibu Bongo.
Nchi hii imeundwa, na walioiunda wengi wametangulia mbele za haki.
Lakini sera, misimamo na misingi yao ya haki na maendeleo kiuchumi, kijamii kwa ujumla mustakabali kitaifa iko pale pale.

Misingi ya umoja wa kitaifa ndio umeijenga nchi inayoitwa Tanzania.

Kinara wa utaifa wa nchi hii bado ni Mwalimu Nyerere.
Hapo nyuma Lissu uko on record kumkashifu na kumtukana kisiasa Mwalimu.
Tatizo kubwa hukuwa na sera, taratibu na itikadi mbadala kupitia chama chako.

Kama kuna kitu kitakurudisha Ulaya ni kumkashifu Mwalimu kwa mara nyingine.
Akili za kijima hizi, akili zako za stone age peleka kwenu, Nyerere alikuwa binadamu kama wengine tuu, sio dhambi na hakuna cha ajabu akikosolewa
 
Tundu Lissu karibu Bongo.
Nchi hii imeundwa, na walioiunda wengi wametangulia mbele za haki.
Lakini sera, misimamo na misingi yao ya haki na maendeleo kiuchumi, kijamii kwa ujumla mustakabali kitaifa iko pale pale.

Misingi ya umoja wa kitaifa ndio umeijenga nchi inayoitwa Tanzania.

Kinara wa utaifa wa nchi hii bado ni Mwalimu Nyerere.
Hapo nyuma Lissu uko on record kumkashifu na kumtukana kisiasa Mwalimu.
Tatizo kubwa hukuwa na sera, taratibu na itikadi mbadala kupitia chama chako.

Kama kuna kitu kitakurudisha Ulaya ni kumkashifu Mwalimu kwa mara nyingine.
Unadhani huyu taaahiiria ana lolote la maana wala la mno?
 
Kwani wewe inakuuma nini akitukanwa J k Nyerere?
Basi titamwwmbia amkashifu baba yake mleta hoja Kuna watu wanaonaga Nyerere ni Mungu shida hatusomi hiatoria alikuwa na mapungu yake mengi tu hata huu ujinga ulioko kwa watanzania nyerere anahusika kwa kiasi kikubwa
 
Mtoa mada samahani kuna swali dogo tu hapa. Wewe ndani ya nafsi yako unaamini Nyerere as a human being aliwahi kosea kitu katika maisha yake au alikuwa as perfect as Malaika siku zote za maisha yake?
Mwambieni Lissu, ameshaonywa.
 
Kinara wa utaifa wa nchi hii bado ni Mwalimu Nyerere. Hapo nyuma Lissu uko on record kumkashifu na kumtukana kisiasa Mwalimu.

Tatizo kubwa hukuwa na sera, taratibu na itikadi mbadala kupitia chama chako.

Kama kuna kitu kitakurudisha Ulaya ni kumkashifu Mwalimu kwa mara nyingine.
Bwashee hivi unategemea kusikia nini kutoka kwa mtu asiyekuwa na akili timamu? Lisu ni hamnazo, sijui kwa nini watu hamulielewi hili?!
 
Tundu Lissu karibu Bongo.

Nchi hii imeundwa, na walioiunda wengi wametangulia mbele za haki. Lakini sera, misimamo na misingi yao ya haki na maendeleo kiuchumi, kijamii kwa ujumla mustakabali kitaifa iko pale pale.

Misingi ya umoja wa kitaifa ndio umeijenga nchi inayoitwa Tanzania.

Kinara wa utaifa wa nchi hii bado ni Mwalimu Nyerere. Hapo nyuma Lissu uko on record kumkashifu na kumtukana kisiasa Mwalimu.

Tatizo kubwa hukuwa na sera, taratibu na itikadi mbadala kupitia chama chako.

Kama kuna kitu kitakurudisha Ulaya ni kumkashifu Mwalimu kwa mara nyingine.
Kama kamkashifu mpelekeni mahakaman wananchi tutasikiliza hukumu sio mihemko n'a mahaba binafsi kwa mwalimu,lakini kama anamkosoa nankumpinga hilo ndo lengo la sheria ya vyama vingi,hata nyerere hayuko juu ya katiba yy pia aliapa kuilinda ikiwemo kuwalinda wanaomkosoa na kumpinga
 
Back
Top Bottom