Lissu umeshinda, ioshe mioyo ya timu Magufuli tukukabidhi nchi

Kwa tume hii ya uchaguzi, sahau baba
 
Hajatikisa ilitarajiwa hivyo
Au sio
 
Sasa hii mada ni ya Sharifa ,hoja Yako nini hapa?
 
Lissu sio mtu wa kuficha ukweli na uovu ili afaidike yeye. Magufuli alikuwa muuaji, kichaa mpenda sifa za kijinga. Lissu na wengine wenye akili timamu tulimjua hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…