Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko kinadharia zaidi.Kumvaa kiongozi wa chama inataka kuwashawishi kwanza walau 60% ya kamati kuu ya chama.
Kama ni serikali 60% ya kamati kuu ya chama, 60% mawaziri wakiwemo wale seniors na 60% ya wabunge.
Sio rahisi hivyo kama Lissu anavyodhani, amejichimbia kaburi ndani ya CDM.
Hatoboi miaka 800 ameonyesha uchanga wake wa siasa; hakina Zitto walijipanga kwanza kushinda yeye.
Kama utaelewa sakata la kina Julianza Shonza, Mtela Mwambapa, Dr Kitila Mkumbo kufukuzwa CDM na wengineo.
Ni mwisho wa siasa kwa Lissu, too ambitious.
Unafahamu kwamba nadharia ndio msingi wa hypothesis?Uko kinadharia zaidi.
SahihiToo late, keshavuka mipaka ya uvumilivu ndani ya CDM hiyo ndio conclusion yangu (aina maana nitakuwa sahihi mwisho wa siku).
Mbowe mission yake imeisha, akae pembeniKutoka juzi ni yeye tu na CHADEMA mitandaoni, kaifunika kabisa ccm
CCM akili zao sijui wanaweka rehani wapi Mbowe leo kageuka lulu na hawataki tena atoke ofisini.Tulieni CHADEMA ni imara
Sijui boss. Ninachojua zama za Mbowe kuwa mwenyekiti wa cdm zimeisha.Unafahamu kwamba nadharia ndio msingi wa hypothesis?
Walitaka Msigwa awe MwenyekitiCCM akili zao sijui wanaweka rehani wapi Mbowe leo kageuka lulu na hawataki tena atoke ofisini.