Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Lisu kaongea ukweli kuhusu swala la lugha ya kufundishia. Vijana wetu wengi hawapati maarifa ya kutosha shuleni na vyuoni kwa sababu ya kutoelewa lugha wanayofundishiwa. Mfano, mtihani wa kidato cha 4 wanafuzi wengi wasingepata 0. mtihani huo ni rahisi na maswali mengine ni ya kawaida sana. lakini ukiangalia matokeo utaona nusu au zaid ya wahitimu hupata alama 4 au 0.
Watanzania tuwe wakweli tuache unafiki na ushabiki. Elimu yetu ipo mahututi , na selikali ya CCM haitaki kulikubali hilo.
Raisi wetu ni mhanga wa mfumo huo, mawaziri wabunge wote ni wahanga lakini hakuna anaechukua hatua.
Tanzania itaendelea endapo tutawekeza kenye elimu sio elimu majengo bali ubora
Watanzania tuwe wakweli tuache unafiki na ushabiki. Elimu yetu ipo mahututi , na selikali ya CCM haitaki kulikubali hilo.
Raisi wetu ni mhanga wa mfumo huo, mawaziri wabunge wote ni wahanga lakini hakuna anaechukua hatua.
Tanzania itaendelea endapo tutawekeza kenye elimu sio elimu majengo bali ubora