Lissu: Watoto wangu wote ni raia wa Marekani

.....potelea mbali Ubunge......
 
Uganda, DRC si Tanzania.
Lissu hawezi kuaminika na mtu yeyote Tanzania, na umaarufu wake kufanya siasa kupitia mtandao ni bure kabisa.

..wapinzani wakianza kushambuliwa kwa risasi mchana kweupe tunaweza kufanana na Uganda au Drc.

..Lissu, mkewe,na watoto, walikuwa wakiishi hapa Tanzania wamekimbia baada ya jaribio la kutaka kumuua.
 
Lissu hajawahi kufanya kazi Marekani.

..Lissu alikuwa Research Fellow World Resources Institute yenye makao makuu Washington DC miaka ya 90.

..watoto wake walizaliwa Marekani kipindi baba yao akifanya kazi huko.


Cc LGF
 
Wewe ni fala kweli kweli,kuikosoa Serikali ya Hovyo hovyo kabisa ya CCM ni kuwa wakala wa CIA?
Shenzi sana weye
 
..wapinzani wakianza kushambuliwa kwa risasi mchana kweupe tunaweza kufanana na Uganda au Drc.

..Lissu, mkewe,na watoto, walikuwa wakiishi hapa Tanzania wamekimbia baada ya jaribio la kutaka kumuua.
Aliyewapiga risasi wapinzani naye kaondoka, na anaumbuliwa kila kukicha.
We cant run away from our problems.
 
Kuna watu mna fikra za kimasikini hapo mleta mada usikute hata border Namanga hujawahi kufika.

George Weah ni Rais wa Liberia ila mwanae ana uraia wa Marekani na anachezea USMNT.

Hii kaliba ya kusema mtu akishakuwa na dual citizenship basi sio mzalendo ndio imelirudisha taifa nyuma miaka nenda rudi na sera hizi chakavu zimeponza taifa kupoteza wataalam na hata vipaji vingi sana.

Hujiulizi mfano kama hao nchi ingekuwa na uraia pacha hao watoto wangekuwa raia wa nchi gani na kukosa kwao uraia wa Tanzania kwa baba mtanzania huoni ni suala lililowazi kuwa ni Tatizo letu kama nchi?

Hata hiyo ikulu unayotamba kuwa CIA watakuja nikwambie wanaijua hata bila kuwepo hapo.

Tanzania kuingia kwenye ujamaa ilikuwa kaburi la uchumi na fikra
 
Wewe ni fala kweli kweli,kuikosoa Serikali ya Hovyo hovyo kabisa ya CCM ni kuwa wakala wa CIA?
Shenzi sana weye
Changia mada, acha matusi na tabia zako za uwanja wa fisi na tandale
 
Wanakusoma na kukucheka tuu, humu JF watu wengi sana na watoto wao ni raia wa Marekani, uraia na kupiga box ndio fursa zenyewe hizo, mawaziri wako pia watoto wao raia wa Marekani tunajua mpaka hospitali walizozaliwa anzia hapo kabla hujamrukia Lisu, pambana na hali yako
 
Tafuteni njia sahihi Mlambe Asali , kulalamika hakuwezi msaidia ntu yoyote ile bamutu batanzania
 
Sio LISU tu karibia watoto wa viongozi ni raia wa US UK CANADA halafu watoto wenu mkasomeshe Mlimani shule ya msingi.

Sem wakiwa hapa ni raia wa kawaida sana kama mlalahoi wa Tz unaweza tukanwa hata na mfagia barabara
 
Alaaaa! mliona kapona pona! sasa mnaanza za kuleta siyo?? lkn eti watoto wa jiwe wako Bongo! mbaya zaidi wanakula na kulalia vya marehemu baba yao! aliye mrenga Lissu kwa masasi! daaaa Dunia hii!

tena wale watoto wa Lissu wanasomea hela za UNHCR kudaadadadeki! mpaka wafikiea wanapo taka duuuu!
 
Mtoto wa George Weah anaichezea USA huko Qatar kwenye world cup, uzalendo wa mtu haupimwi kwq choices zake ila ile ideology anayoipigania.
 
Bado unawaamini wanasiasa wa bongo. Wote wachumia tumbo tu.

Mwendazake si alishapita hivi, kinachowakalisha huko ni kitu gani??
 
Hizi chokochoko za kuzuia misaada, mara kuzuia uwekezaji, au kuwazingua wawekezaji kwa mbinu za kiharakati.....kumbe zina sababu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…