Lissu: Watoto wangu wote ni raia wa Marekani

Lissu: Watoto wangu wote ni raia wa Marekani

Wahuni wa Benghazi walikuwa wanawaza hivi hivi!!! Yaliyowakuta, hawataki kuyasimulia.

Tujifunze madhara ya mawazo ya wahuni wa Benghazi tusije na sisi kuitwa "wahuni".


Najua ngumu kunielewa lakini jitahidi hivyo hivyo nitaeleweka.
Binafsi nimekuelewa mkuu!
Ila wale wa Benghazi walilewesha kampeni ya nchi za Magharibi,na laana inawatafuna mpaka leo.
Laana ya Gaddafi haijawaacha Salama kamwe!

Kila siku wanamwagika Baharini bila Msaada wa waliowadanganya!
 
Kauli hii ameitoa Tundu Lissu wakati akichangia mada katika space huko Twitter.

Kumbe wenzetu wanataka kuleta vurugu hapa nchini, wao wameshatanguliza familia zao nje ya nchi.! Wanahamasisha watoto wetu waandamane, wapigwe rungu, wa kwao wako Trump Hotels wanakula baga na pizza.

Kwa nini Lissu hawaambii watoto wake wakane uraia wa Marekani ili wafaidi matunda ya anavyopigania? Je, Lissu sio mpango wa C.I.A katika taifa letu?

Muda utasema. Kwa Sasa hana kazi ya kumuingizia kipato, lakini anatalii majiji ya Ulaya na Marekani akila maisha kwa fahari kuu, hatujui chanzo Cha mapato yake.

Napiga picha ikulu yetu imejaa raia wa marekani, wanazurura tu katika bustani, wanajisaidia vyooni, na kuoga, wanaleta marafiki zao, ambao pengine no majasusi wanapandikiza kamera na vinasa sauti, wanachomoa mafaili na kuondoka nayo, na kuhaki computer zetu, au ku-recruit staff wa ikulu dhidi ya nchi yetu
Kujaza wazanzibar ndiyo sifa
 
Mbona ni Yale Yale?. Ni Rais ila mtoto wake ana uraia wa nchi zingine.
Hapo ni uraia pqcha ambao una ruhusu kuchukua uraia mwingine bila kupoteza uraia ulio nao

Sasa huku kwetu hiyo haki ipo kwa wenye umri chini yq miaka 18 tu... na wengine ambao sheria ina watambua kwa utaratibu maalmu

Hivyo basi Liberia sio mfano wetu sababu wana dual citizenship na sisi hatuna hicho kitu...

Wangekuwa hawana hiyo dual citizenship basi tunge weza jadili vyema kabisa...

Tunacho weza ni kuangalia namna gani twende ktk uraia pacha kwa kuangalia manufaa au sababu za kufanya hivyo... kwa manufaa ya wote na taifa kwa ujumla na sio kwa ajili ya wachache
 
Sasa Tanzania haina uraia pacha hivyo lazima wawe raia wa taifa moja tu
Ni kweli lakini kama wapo chini ya miaka 18 basi wao wana wana weza kuwa raia wa nchi zaidi ya mojq...!

Nazani sheria ina ruhusu hivyo kwa walio chini ya miaka kumi na nane

Ndio maana ukichukua case ya diamond watoto wake kuwa na uraia wa tanzania na afrika kusini pamoja na zani na hati za kusafiria ni kwa sababu hiyo...!

Uraia wa afrika kusini ni wa kuzaliwa wa watoto wale
Uraia wa Tanzania ni asili ya baba au kurithi
Uraia wa uganda ni asili ya mama au kurithi

Hivyo wakifikisha umri wa miaka kumi na nane wakiwa na akili timamu na kuweza kujiamria, hapo ndipo ita wapasa kufanya maamuzi ya kubaki na uraia wa uganda na afrika kusini kwa pamoja au kubaki na uraia wa tanzania pekee
 
Binafsi nimekuelewa mkuu!
Ila wale wa Benghazi walilewesha kampeni ya nchi za Magharibi,na laana inawatafuna mpaka leo.
Laana ya Gaddafi haijawaacha Salama kamwe!

Kila siku wanamwagika Baharini bila Msaada wa waliowadanganya!
Asante sana Mkuu Kwa kunielewa. Mungu akubariki. Amen
 
Tujifunze madhara na matokeo ya udikteta na kuminya demokrasia kwanza.
Sitashangaa nikiambiwa una uraia wa nchi nne kwa maslahi yako binafsi tu badala ya maslahi yako, familia yako, Taifa lako na maslahi mapana zaidi ya kizazi cha Sasa cha Taifa letu Tanzania na vizazi vijavyo vya Taifa hili. Nasema sitashangaa!!!
 
Fikra nyingi za watu waovu huwa kama zimo ndani ya sufuria ni kuzunguka humohumo ndani haziwezi kutoka nje. Ebu fikiria kama baba alitaka kuuwawa ktk mazingira hayo je mtoto wake atakuwa salama ndani ya mazingira yaleyale? Ebu tujaribu kuwa na aibu ya fikra.
 
Kauli hii ameitoa Tundu Lissu wakati akichangia mada katika space huko Twitter.

Kumbe wenzetu wanataka kuleta vurugu hapa nchini, wao wameshatanguliza familia zao nje ya nchi.! Wanahamasisha watoto wetu waandamane, wapigwe rungu, wa kwao wako Trump Hotels wanakula baga na pizza.

Kwa nini Lissu hawaambii watoto wake wakane uraia wa Marekani ili wafaidi matunda ya anavyopigania? Je, Lissu sio mpango wa C.I.A katika taifa letu?

Muda utasema. Kwa Sasa hana kazi ya kumuingizia kipato, lakini anatalii majiji ya Ulaya na Marekani akila maisha kwa fahari kuu, hatujui chanzo Cha mapato yake.

Napiga picha ikulu yetu imejaa raia wa marekani, wanazurura tu katika bustani, wanajisaidia vyooni, na kuoga, wanaleta marafiki zao, ambao pengine no majasusi wanapandikiza kamera na vinasa sauti, wanachomoa mafaili na kuondoka nayo, na kuhaki computer zetu, au ku-recruit staff wa ikulu dhidi ya nchi yetu
Kwani watoto wa wakubwa wa ccm huwa wanaishi na kusoma wapi?

Ebu msikilize shangazi hapa chini halafu ulete mrejesho kama alisoma kwenye shule zenu za kata..
 
Wewew
Kauli hii ameitoa Tundu Lissu wakati akichangia mada katika space huko Twitter.

Kumbe wenzetu wanataka kuleta vurugu hapa nchini, wao wameshatanguliza familia zao nje ya nchi.! Wanahamasisha watoto wetu waandamane, wapigwe rungu, wa kwao wako Trump Hotels wanakula baga na pizza.

Kwa nini Lissu hawaambii watoto wake wakane uraia wa Marekani ili wafaidi matunda ya anavyopigania? Je, Lissu sio mpango wa C.I.A katika taifa letu?

Muda utasema. Kwa Sasa hana kazi ya kumuingizia kipato, lakini anatalii majiji ya Ulaya na Marekani akila maisha kwa fahari kuu, hatujui chanzo Cha mapato yake.

Napiga picha ikulu yetu imejaa raia wa marekani, wanazurura tu katika bustani, wanajisaidia vyooni, na kuoga, wanaleta marafiki zao, ambao pengine no majasusi wanapandikiza kamera na vinasa sauti, wanachomoa mafaili na kuondoka nayo, na kuhaki computer zetu, au ku-recruit staff wa ikulu dhidi ya nchi yetu

Kauli hii ameitoa Tundu Lissu wakati akichangia mada katika space huko Twitter.

Kumbe wenzetu wanataka kuleta vurugu hapa nchini, wao wameshatanguliza familia zao nje ya nchi.! Wanahamasisha watoto wetu waandamane, wapigwe rungu, wa kwao wako Trump Hotels wanakula baga na pizza.

Kwa nini Lissu hawaambii watoto wake wakane uraia wa Marekani ili wafaidi matunda ya anavyopigania? Je, Lissu sio mpango wa C.I.A katika taifa letu?

Muda utasema. Kwa Sasa hana kazi ya kumuingizia kipato, lakini anatalii majiji ya Ulaya na Marekani akila maisha kwa fahari kuu, hatujui chanzo Cha mapato yake.

Napiga picha ikulu yetu imejaa raia wa marekani, wanazurura tu katika bustani, wanajisaidia vyooni, na kuoga, wanaleta marafiki zao, ambao pengine no majasusi wanapandikiza kamera na vinasa sauti, wanachomoa mafaili na kuondoka nayo, na kuhaki computer zetu, au ku-recruit staff wa ikulu dhidi ya nchi yetu
wewe unasema nini hapa? tuulize sie tulio nje tukupe list ya watoto wa viongozi ambao tunajua yakini kuwa wana uraia wa nchi za nje na bado wanashikilia gamba la tanzania. Kuna pia watu ambao wapo serikalini hivi sasa ambao sio kwa kuzuliwa tunawajua kwa kuwaona nazo hasa passposrt za nje za nchi. Kuna ambao serikali inajua dhahiri kuwa wana magamba mawili mawili lakini wameamua kufumba macho. Wewe wacha tu watu wanasema funika chungu mwanaharamu apite,, kwa hiyo usione watu wako kimya ukadhani kuwa hatuwajui wenye uraia pacha tanzania.
 
Wewe kila siku unaleta upuuzi mtupu, hakuna simu hata moja akili yako inakaa sawa?

Nani ilikuambia kuwa Lisu hana kazi? Kama hujui, uliza kwanza kabla ya kuropoka.

Baada ya yeye Lisu kuwa targeted na utawala wa kishetani, ulitaka watoto wabakie hapa ili nao washambuliwe kwa risasi kama ngiri, kama alivyofanywa Baba yao?

Usiwe mjinga, soma historical intelligency uelimike. Unafahamu Mwalimu Nyerere alienda kuificha wapi familia yake wakati wa kupigania uhuru? Unafahamu Samora alienda kuificha wapi familia yake wakati wa mapambano? Unafahamu Augustinho Neto alienda kuificha wapi familia yake wakati wa mapambano? Hivi unadhani wakati wa mapambano familia ya wewe kapuku itawindwa kwa nguvu sawa na familia ya kiongozi wa mapambano?
Ndio utuambie sasa walificha wapi
 
I wish angekuwa kweli huo mpango wa CIA ili atusaidie kuiondoa ccm madarakani.

Baada ya hapo tutajua cha kufanya. Ila kwa sasa adui wetu namba moja kama Taifa, ni ccm! Na siyo Tundu Lissu, au hao CIA.
Hii imewakata fisiemu maini...
 
Kauli hii ameitoa Tundu Lissu wakati akichangia mada katika space huko Twitter.

Kumbe wenzetu wanataka kuleta vurugu hapa nchini, wao wameshatanguliza familia zao nje ya nchi.! Wanahamasisha watoto wetu waandamane, wapigwe rungu, wa kwao wako Trump Hotels wanakula baga na pizza.

Kwa nini Lissu hawaambii watoto wake wakane uraia wa Marekani ili wafaidi matunda ya anavyopigania? Je, Lissu sio mpango wa C.I.A katika taifa letu?

Muda utasema. Kwa Sasa hana kazi ya kumuingizia kipato, lakini anatalii majiji ya Ulaya na Marekani akila maisha kwa fahari kuu, hatujui chanzo Cha mapato yake.

Napiga picha ikulu yetu imejaa raia wa marekani, wanazurura tu katika bustani, wanajisaidia vyooni, na kuoga, wanaleta marafiki zao, ambao pengine no majasusi wanapandikiza kamera na vinasa sauti, wanachomoa mafaili na kuondoka nayo, na kuhaki computer zetu, au ku-recruit staff wa ikulu dhidi ya nchi yetu
Agombee Marekani ndiopo atakuwa Rais ila kwa Tanzania hii asahau.
 
Nilishasema mara nyingi, Lisu ni CIA project,, na sasa wanadai wameamua 2025 hakuna uchaguzi,, hii maana yake inaweza kuwa wanapanga kuanzisha machafuko,, time will tell
Theory ya kijinga kabisa hii unatuletea, CIA kwani wanashindwa nini kama wanalo lao wanataka kufanya hapa?
 
Kauli hii ameitoa Tundu Lissu wakati akichangia mada katika space huko Twitter.

Kumbe wenzetu wanataka kuleta vurugu hapa nchini, wao wameshatanguliza familia zao nje ya nchi! Wanahamasisha watoto wetu waandamane, wapigwe rungu, wa kwao wako Trump Hotels wanakula baga na pizza.

Kwa nini Lissu hawaambii watoto wake wakane uraia wa Marekani ili wafaidi matunda ya anavyopigania? Je, Lissu sio mpango wa C.I.A katika taifa letu?

Muda utasema. Kwa sasa hana kazi ya kumuingizia kipato, lakini anatalii majiji ya Ulaya na Marekani akila maisha kwa fahari kuu, hatujui chanzo cha mapato yake.

Napiga picha ikulu yetu imejaa raia wa marekani, wanazurura tu katika bustani, wanajisaidia vyooni, na kuoga, wanaleta marafiki zao, ambao pengine no majasusi wanapandikiza kamera na vinasa sauti, wanachomoa mafaili na kuondoka nayo, na kuhaki computer zetu, au ku-recruit staff wa ikulu dhidi ya nchi yetu.
So what. Dharau kwa wafuasi wake kwamba mnampigania bure yeye watoto wake rais wa USA. Akiitisha maandamano awalete watoto wake nchini watangulie siyo achochee watoto wa wengine.
 
Asanteni sana wana JF kwa kumpa za uso huyo takataka chiembe ambaye ni wazi hazimtoshi hata za kuvuka barabara. Bila shaka aliamini akileta ujinga kama huu hapa jamvini atapata support. Naomba nimkumbushe kuwa hii ni Jamii Forums, ujinga aupeleke huko kwenye vikao vya CCM!

Latiti angejua viongozi wake wakuu huko CCM na serikalini watoto wao wako wapi na walifikaje huko na wanafanya nini huko. Kodi zetu zinaibiwa ili watoto wa viongozi wetu waishi kwenye mahekalu Marekani na Ulaya. Kodi zetu zimetumika kununua majumba makubwa kwenye miji mikuu ya huko.

Mh. Tundu Antiphas Lissu nakutakia kila la heri huko uliko wewe pamoja na familia yako. Nafurahi kusikia wanao kwa sasa ni raia wa Marekani na kama ni kweli hongera sana kwani nchi yetu hii kwa hivi sasa liko mikononi mwa walafi wanokula kwa urefu wa kamba zao mradi hawavimbiwi!
 
Back
Top Bottom