Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Koba,
Tuliokuwa Mwembeyanga tumeambiwa ushahidi upo lakini cha kushangaza hapa anasubiriwa mtuhumiwa kwanza akafungue kesi ili mtuhuma aje kumwaga ushahidi! Kazi ipo kweli...
What a ----...
umechambua nini zaidi ya kuuliza maswali tu .... CCM kwa kujipa majina makubwa .... mara mchambuzi mara nimechambua... hakuna ulichochambua hapa .....
Matusi hayatasaidia kumaliza rushwa....
Hii case haiendi bungeni wala mahakamani.... case hii ni kwa wananchi na wajichukulie sheria mkononi..... bungeni kwa kina mdhihiri wakaanzishe ngonjera kwenye issue muhimu?
Mko nani hapa?
ukimshika mwizi unafanya walichofanya polisi Arusha... unachapa risasi kama mvua. utawashangaa CCM vipi wakati wewe ni CCM?
Kama sio malumbano wewe unachofanya hapa ni nini?
Sina chakukujibu hapa mwafrika
Koba,
Tuliokuwa Mwembeyanga tumeambiwa ushahidi upo lakini cha kushangaza hapa anasubiriwa mtuhumiwa kwanza akafungue kesi ili mtuhuma aje kumwaga ushahidi! Kazi ipo kweli...
Of course you dont... you never had
Practically Dr Slaa hajamshutumu yeyote ukiangalia sentense hizi...... Kazi iko Tz.
Katika posting yangu nimechambua ushahidi wa Dr Slaa ambao ameutoa dhidi ya watu aliowatuhumu. Na conclusion yangu ni kwamba tuhuma alizotoa ni mzito lakini ushahidi hafifu. Nilitegemea wachangiaji wenzangu waonyeshe wapi ushahidi wa Dr Slaa una strength, badala yake wachangiaji wengi wanajaribu kushawishi kwamba Dr Slaa anayajuwa mengi zaidi ya aliyoyasema. Mimi sio mtaalamu wa ndoto wala sio mpiga ramri, hivyo basi nachambua kile kilichosemwa.
Je Dr Slaa ni mjinga? Sidhani, ila kwa hili anastahili kuitwa mjinga machoni mwangu. Mwenye ushahidi wakutosha, mzalendo mpenda haki na maendeleo ya watu habembelezwi kuutoa, wala hakimbilii waandishi wa habari. Badala yake anakwenda mahakamani, na bungeni ikiwezekana. Dr Slaa hajafanya hivyo, badala yake ana-adaa wananchi wanaolia kwa kipindi kirefu juu ya rushwa.
JF tumekuwa mstari wa mbele kuipiga vita rushwa, ila kwa mshangao naona tuna double standard. Amina Chifupa (R.I.P)alipokatazwa kutoa press conference, JF kulikuwa na movement ya kushinikiza aruhusiwe. Nilitegemea JF kuwe na movement ya kumshinikiza Dr Slaa afungue kesi dhidi ya hao aliowatuhumu...tunapinga rushwa kweli JF ama tuna ibwekea tu?
Kama Dr Slaa ana ushahidi mzito zaidi ya huo alioutoa (kama wachangiaji wanavyojaribu kutuongopea)anasubiri nini kuwashitaki? Vyama kama CUF, TLP, NCCR, viko wapi wakati vina kila ushahidi dhidi ya watuhumiwa? Hivi hii sio BINGO kwa wapinzani? Nadhani Dr Slaa ameamua kutupa makengeza tuzani ukungu ni moshi.
Sasa wachangiaji wengine humu wamenichekesha, wakisema kwamba wanataka viongozi walioshutumiwa wamjibu Dr Slaa. Nadhani JF tunataka kuona malumbano badala ya suluhisho. Hatufiki tunakokusudia. Ukimshika mwizi unampeleka kwa pilato, wala hauhitaji kumhoji kama kaiba au lah, mana kama kuna possibility kwamba hajaiba basi kuna possibility kwamba sio mwizi. Na mwizi ana haki ya kukaa kimya unapomuhoji na akasubiri kwenda kujibu kwa pilato. Hasipokujibu na ukaishia kutokwenda kwa pilato haina mana kaiba, hata kama utampiga.
Kadhalika inanishangaza kuona kwamba JF tunalazimisha viongozi washutumiwa wamjibu Dr Slaa. Kana kwamba rushwa inapigwa vita kwa malumbano. By the way, nitawaona viongozi wa ccm wajinga endapo watajibu shutuma zenye ushahidi wa kuokotezea.
Again, uzalendo wa Dr Slaa sijauona katika hili. Huwezi kuitwa mpenda haki na mtetea wananchi wakati huo huo ushahidi ambao ungetoa maovu ya viongozi unauweka kibindoni, na unasubiri ubembelezwe uutoe. Huwezi kuitwa kiongozi bora kwa kuanzisha malumbano na wala rushwa kupitia waandishi wa habaru, badala ya kuwapeleka kwa pilato. Rushwa haipigwi vita kwa malumbano ya kisiasa.
I guarantee you the person you are looking for to have beef with today won't be me.
Basi! Nimeamini kwamba Mgonjwa Ukimwi na Masatu ni wagonjwa wa akili. Hata kama wametumwa mambo mengine mtu mzima akitumwa kuyatetea anayakataa. Kama wamejituma basi, tujue nao ni wezi tu kama hao wanaowatetea.
Mwaka huu si mchezo naona kila kona watu wanacharuka, ndio demokrasia hiyo.