List ya Business Ideas kuhusu viwanda vidogo vidogo

biashara ya home derivery , hapa unachukua oda za mahitaji ya familia mbalimbali una wasambazia mahitaji hayo bila wao kwenda sokoni au dukani kama gesi , mboga ,mchele n.k
 
Si kweli mkuu, hata Tanzania kusajili kampuni ni 24 hrs labda uniambie kuanza kufanya kazi(Operations) mpaka upate vibali vingine kutoka mamlaka mbalimbali kuhusiana na biashara yako UOTE="mdukuzi, post: 11906447, member: 194966"]nani kasdma hataki quality control na matusi ya nini,tanzania kusajili kampuni inachukua siku kadhaa ,kuna nchi jirani kampuni ndani ya masaa 24,urasimu huu una maana ya rushwa na sio quality control[/QUOTE]
Si
 
Wanaajiri watu wasio na weledi.....fukuza weka damu mpya uangalie sido itavyobadilika. Tutakuta hadi rocket za kuendea nje ya dunia na mitambo ya nyukilia....shenzi
 
nani kasdma hataki quality control na matusi ya nini,tanzania kusajili kampuni inachukua siku kadhaa ,kuna nchi jirani kampuni ndani ya masaa 24,urasimu huu una maana ya rushwa na sio quality control
Usibishane naye huyo......mtu atayekuelewa ni yule aliyekumbana na hizo kadhia hawa watoto wa mama hawaelewi kero za wajasiliamali. Just mpotezee
 
Biashara ya kutengeneza mauwa ya plastic,
Yanahitaji ubunifu,
Ila siifahamu vizuri.
 
Ukishaona wazo Fulani limekuingia vema...waza kuanza usichelewe...pia gawa jukumu...Mimi nimewekeza ktk ushauri na uandishi wa michanganuo au proposals...Tafadhari tuwasiliane, kwakuwa mitaji shida nitafute tuandike proposal ya mradi wazo kuanza sh 150,000 hadi 350,000 kutegemea ukubwa wa mitaji...yaani milioni 1-50m. Contact 0682096669
 
The first thing linapokuja idea ya biashara ni muhimu kuàndika.The Nobel prize winning in literature bwana sir John lous Braogas alisema"if you can't write your idea in the back of your note book,you haven't a right idea.
 
hata me nakuunga mkono biashara ya kushona nguo ni nzuri hata mimi nina wazo la kufungua kiwanda siku moja
 
Inawezekana kutengeneza mkaa kwa kutumia pumba za mpunga au hata yale maranda.ila sijui kama itakua na faida.na mkaa unaotengenezwa kwa hayo mabaki unawaka kwa mda mrefu kuliko huu mkaa wa kawaida wa miti
 
Safi hii
 
Hivi mkuu sio kwamba fenicha zinatoka taratibu sana au inaionaje hii biashara kama una A,B,C nipatie mkuu
 
waswahli wana hila, utarekebisha nyumba kwa makubaliano uikodishe kwa muda kodi mgawawane au uchukue yote, pia baadaye wanaweza kukugeuka.
Kuna mdada mtaani uku alijenga kwenye kiwanja cha mtu madarasa ya chekechea Kwa makubaliano ya kumlipa kiwanja kidogokidogo
Ee banae Dada kapandisha mpaka kwenye linta jamaa akamgeuka na hawakuandikishana popote
Kumbe yule Dada alikopa ile hela bac nasikia ilivyokuja sintofaham presha ikapanda kalazwa Hosp sijui anaendeleaje
 
Ni kosa sana kufanya makubaliano yasiyo na maandishi kwa mswahili.
Ni vigeugeu sana kwenye mambo ya pesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…