List ya wasanii wa Bongo ambao walipata umaarufu na mafanikio makubwa, lakini leo wako juu ya mawe

List ya wasanii wa Bongo ambao walipata umaarufu na mafanikio makubwa, lakini leo wako juu ya mawe

Una uhakika au umemuweka tu hapo khamis kisa ya cheo chake?umewahisha sana mpe muda kidogo

FA wala AY hawajawahi kuchalala namna hiyo.

2015 nilikutana na FA anasukuma range mpyaa,nikauliza nikaambiwa ni yake.
Sakata lao na tigo linakuja baadae mpaka ubunge linakuja kuwaongezea tu zaidi.

Ni kama Prof,ni ugonjwa tu ndio unaleta majaribu ila walikaa kimasta.
 
Mr Nice nasikia alikuwa anajaza vibunda kwenye buti ya gari. Inasemekana alikuwa na zaidi ya 1.5 billion kipindi hiko.

Kuna interview alifanyiwa na millard ayo akasema alikuwa anatumia pesa haswa yaani hadi pesa zinatoa machozi kwa hiyo hajutii kufirisika. Lakini ukiangalia usoni ni mtu mwenye majuto sana
Ila ana genes kali anatafuna njugu minjingu booster mda mrefu. Angekuwa wengine kajambanani kama yeye alivyofulia angeshakufa zamani

dronedrake
 
Sijawahi kuona mtu mpuuzi kama Mr Nice, niliwahi kwenda kwenye show yake zamani na mwisho wa show nilijua huyu mshamba soon mziki utamshinda na ataishia kufilisika, alipiga Minneapolis siku hiyo watu walikuwa wamejaa vibaya sana kuanzia wakenya, wazungu na west Africans wote walikuwepo, nyimbo zake maarufu wakati huo nafikiri zilikuwa kidari poa na ...i dont remember, kwanza akaanza na vibe mbaya sana akaingia baada ya midnight watu wakamind sana lakini wakampotezea ili show iendelee, badala ya kuimba na kupiga show akaanza kuongea ujinga kwenye stage na kibaya zaidi kiingereza kibovu hakuna anayemuelewa, then akaanza show akatupigia nyimbo hata hatuzijui, watu wakamwomba apige show ya zile nyimbo tunazojua, jamaa akasema leo ni nyimbo mpya tuu, watu wakamind sana na stimu za watu zikakata kabisa, akaimba nyimbo zake za ovyo hakuna anayecheza wala kumsikiliza, akaanza kupiga kelele mbona hamchezi basi mimi naondoka, watu wakachoka naye wakaanza kumzomea na kumwambia aondoke, badala ya show yakawa matusi baina yake na washabiki, zilirushwa beer, viti, maji na kila kitu ilibidi wamtoe kupitia mlango wa nyuma, baada ya hapo nasikia show zake zote States zilipigwa chini na sponsor wake, i hope kaacha kiburi na majivuno yake ya kishamba
Kumbe alikuwa mjinga kiasi hiki..
 
Kwanza nkusahihishe

Ferooz hakuwahi kupewa zawadi ya gari na Mkapa ...Kipindi ngoma ya starehe imepata umaarufu , Ferooz album yake ya Safari ilifanya vizuri sana na kupelekea kupata fedha nyingi ndo akajinunulia ile gari ya Jeep
 
Msanii mwenye bahati toka tupate Uhuru ni Diamond, dogo amewekeza sana na amewekeza katika maeneo potential.

Ana bahati pia investments zake zinafanya vizuri,Huyu hata akifilisika kimziki bado investment zake zitamtunza.
 
Sema wanangu NICE alisumbua nyie[emoji28][emoji28][emoji28]

By 2003 niko zangu bush huko moro namsoma kupitia magazeti ilikuwa ni balaa.
Mr 9C mpaka katika vijiji vya nchi jirani kama vile Congo, Uganda, Burundi, Malawi, Zambia nk pia alisumbua sana mpaka watu wengine wakajiita jina lake.
Lakini leo yuko juu ya mawe hata hela ya kununua sim ya touch hana.
 
FA wala AY hawajawahi kuchalala namna hiyo.

2015 nilikutana na FA anasukuma range mpyaa,nikauliza nikaambiwa ni yake.
Sakata lao na tigo linakuja baadae mpaka ubunge linakuja kuwaongezea tu zaidi.

Ni kama Prof,ni ugonjwa tu ndio unaleta majaribu ila walikaa kimasta.
Nakubaliana na wewe kuwa hao uliowataja hapo juu wote wako vizuri miaka yote.
Hawajawahi kukaa juu ya mawe hata siku moja.
 
Back
Top Bottom