List ya wasanii wa Bongo ambao walipata umaarufu na mafanikio makubwa, lakini leo wako juu ya mawe

List ya wasanii wa Bongo ambao walipata umaarufu na mafanikio makubwa, lakini leo wako juu ya mawe

Sijawahi kuona mtu mpuuzi kama Mr Nice, niliwahi kwenda kwenye show yake zamani na mwisho wa show nilijua huyu mshamba soon mziki utamshinda na ataishia kufilisika, alipiga Minneapolis siku hiyo watu walikuwa wamejaa vibaya sana kuanzia wakenya, wazungu na west Africans wote walikuwepo, nyimbo zake maarufu wakati huo nafikiri zilikuwa kidari poa na ...i dont remember, kwanza akaanza na vibe mbaya sana akaingia baada ya midnight watu wakamind sana lakini wakampotezea ili show iendelee, badala ya kuimba na kupiga show akaanza kuongea ujinga kwenye stage na kibaya zaidi kiingereza kibovu hakuna anayemuelewa, then akaanza show akatupigia nyimbo hata hatuzijui, watu wakamwomba apige show ya zile nyimbo tunazojua, jamaa akasema leo ni nyimbo mpya tuu, watu wakamind sana na stimu za watu zikakata kabisa, akaimba nyimbo zake za ovyo hakuna anayecheza wala kumsikiliza, akaanza kupiga kelele mbona hamchezi basi mimi naondoka, watu wakachoka naye wakaanza kumzomea na kumwambia aondoke, badala ya show yakawa matusi baina yake na washabiki, zilirushwa beer, viti, maji na kila kitu ilibidi wamtoe kupitia mlango wa nyuma, baada ya hapo nasikia show zake zote States zilipigwa chini na sponsor wake, i hope kaacha kiburi na majivuno yake ya kishamba
Kila uzi unaomhusu Mr Nice kuna watu lazima wamkande[emoji23][emoji1787] .

Utasikia ni mtu wa hovyo sana , kuna mwingine akianzisha anamnanga Mr Nice kwa mambo hizi unazisema[emoji1787][emoji1787]
 
Kila uzi unaomhusu Mr Nice kuna watu lazima wamkande[emoji23][emoji1787] .

Utasikia ni mtu wa hovyo sana , kuna mwingine akianzisha anamnanga Mr Nice kwa mambo hizi unazisema[emoji1787][emoji1787]
Mr Nice alitakiwa awe kioo bora cha jamii kwa kuonesha watu mfano mzuri wa kimaisha kama ilivyokuwa kwa hayati Kanumba na Diamond wa leo.

Lkn kwa bahati mbaya aliendekeza sana vyupi. Ndio maana leo hii yuko juu ya mawe anatubu.
 
Back
Top Bottom