G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,795
- 36,704
Hata Mr. Nice ukikutana naye lazima akupige mzinga wa safari ndogo. Yule jamaa sijui kalogewa bia za safari?Chid ukikutana nae usimuangalie mara mbili lazima aombe umuungie za mihogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Mr. Nice ukikutana naye lazima akupige mzinga wa safari ndogo. Yule jamaa sijui kalogewa bia za safari?Chid ukikutana nae usimuangalie mara mbili lazima aombe umuungie za mihogo.
Nasikia alisilimu ili kumuoa anti mmoja kisha baadaye akapigwa chini. Bado anaitwa "Saeed" au kashaurudia "u_Bernard" wake!?Kuna yule mgogo mmoja skuhz anaitwa ngoswe,
Baada ya kudata na mkikuyu,mapenz yakamsahaulisha muziki. Alikua anavimba vizur sn[emoji4]
Gemu yao haikuwa na hela kiasi hiko kipindi hicho.KR wa wanaume family
Zay B
Sista P
Daz baba
.......
Unabishana na vitu haujui mzee au ww ndo ulimfilisi,Alipewa gari V8 kwa sababu ya wimbo wake wa Starehe/kuhusu ukimwi.Hiyo habari ya Ferooz kuzawadiwa gari na Mkapa ni za kutungwa, ile Jeep alinunua kwa pesa yake.
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Ila wangeamua ku make nina imani wasingekuwa kama walivyo leo.Gemu yao haikuwa na hela kiasi hiko kipindi hicho.
1) Mr Nice - huyu Afrika mashariki nzima na baadhi ya nchi za kusini kama vile Malawi, Msumbiji na Zambia hakuna mtu ambae alikuwa hamjui. Mpaka watoto wadogo huko vijijini Malawi walikuwa wanaimba kidali poo. Miaka ya 2002 mpaka 2005 alipiga hela sana lakini akaishia kushusha zipu, leo hii anazurura tu mitaani hana mbele wala nyuma.
2) Ferouz - Nyimbo kama kamanda, barua, kwaherini aliyoimba na prof Jay zilimpa umaarufu mkubwa hadi kupelekea kutunzwa gari na aliekuwa raisi wa JMT wa wakati huo hayati Benjamin W Mkapa. Na yeye alishika sana hela enzi hizo. Lakini leo inasemekana mambo yake yamekwenda ndivyo sivyo kwahiyo ni kama vile ashapoteza
3) 20 Percent - Huyu nae alikuja vizuri japo kwa muda mchache. Alikuja na vibao vyake matata na ile style yake ya kukwaruza kwaruza sauti huku mistari akiwa kaipangilia vilivyo, pia ukijulimsha na movie yake iliyovunja rekodi. Akaendekeza endekeza mjani na togwa. Leo hii inasemekana ukikutana nae mtaani lazima akupige mkuki umuunge buku akanywe chai.
Wapo wengi lakini acha niwataje hawa wengine mtaongezea wenyewe wasanii waliopata umaarufu na mwisho kupaki juu ya mawe kama gari isiokuwa na matairi.
Alikanusha kwenye media kuwa Ile gari hakununuliwa na mkapa, tena kipindi hichohicho hizo habari zilipovuma, na gari haikuwa Toyota kwa taarifa yako, ilikuwa JeepUnabishana na vitu haujui mzee au ww ndo ulimfilisi,Alipewa gari V8 kwa sababu ya wimbo wake wa Starehe/kuhusu ukimwi.
Ukikutana nae bar pale kwa bibi lazima akuoige mkuki wa shingo pale kwa bibiDaz baba vip pale segerea anaendeleaje
Mzee hacha basi kupotosha watu,huyu jamaa juzi kapiga picha kwenye v8 la watu kaliegamia anasema nakumbuka mashine yangu Pori kwa pori..Alikanusha kwenye media kuwa Ile gari hakununuliwa na mkapa, tena kipindi hichohicho hizo habari zilipovuma, na gari haikuwa Toyota kwa taarifa yako, ilikuwa Jeep
"Baada ya kumuokota mzungu" nimecheka sana[emoji1]Ray c nasikia ana unafuu kidogo baada ya kumuokota mzungu na kuishi nae kama mumewe.