ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 7,719
- 14,506
Mbona baadhi ya app,sioni mabadiliko ya matokeo?
Ameshafunga goli moja huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameshafunga goli moja huko
AminaMungu wabariki Waha
Acha uongoAmeshafunga goli moja huko
Ngoja tusubiri mkuuMbeya City anabaki ligi kuu amini haya maneno
Mbona baadhi ya app,sioni mabadiliko ya matokeo?
Ivi unajua hata matokeo ya awali yalikuaje? Na sasa ivi ni dakika ya ngap? Ligi mtakayo baki ni kushuka darajaMbeya City anabaki ligi kuu amini haya maneno
Acha kuwapa matumaini hewa watu wa mbeyaMpaka sasa mbeya city anaongoza goli mbili
Ok! kapambana kiume,angeshuka daraja.Mpaka sasa mbeya city anaongoza goli mbili
Si kweliMpaka sasa mbeya city anaongoza goli mbili
Mna haribu uzi mkuuDakika ya 90 mby city anaweka kamba ya 5
Usilalamike. Kama timu ya daraja la kwanza inaweza kuwa na uwezo kuhonga kuliko timu ya ligi kuu basi mbeya city hastahili kuwa ligi kuu. Sometimes mkubwa anapimwa kwa vyote, kushinda kwa uwezo ila fitna piaMbeya City wamenyimwa goli halali kabisa, kama sio bahasha ya kaki kwa mwamuzi basi ni uchawi mtupu
Ok! kapa.bana kiume,angeshuka daraja.
Acha kutumia vpn,goli sita huko mbeya city anaongoza
Tuleteeni live update sisi tulioko huku Buhigwe, Mwandiga, Kasulu na Kakonko tujue timu yetu ya Taifa la Kigoma imefikia hatua gani kuingia ligi kuu.
Fungua redio tanzania wanatangaza mechiTuleteeni live update sisi tulioko huku Buhigwe, Mwandiga, Kasulu na Kakonko tujue timu yetu ya Taifa la Kigoma imefikia hatua gani kuingia ligi kuu.
0-0Acha kutumia vpn,goli sita huko mbeya city anaongoza
Zimebaki dk 22 kucheza ligi kuu Tanzania baraTuleteeni live update sisi tulioko huku Buhigwe, Mwandiga, Kasulu na Kakonko tujue timu yetu ya Taifa la Kigoma imefikia hatua gani kuingia ligi kuu.