Live Updates: Simba Sc-Wenye nchi tunaiweka nchi mbele

Live Updates: Simba Sc-Wenye nchi tunaiweka nchi mbele

Simba wanaenda kupita mule mule Yanga walipoteleza.

Yanga kujibrand kama "timu ya wananchi" ilikuwa bonge la idea ila baadae kuja kusema hatuwezi kuitangaza nchi kimataifa mpaka tulipwe imeitia doa brand yao. Walijaribu kujirudi kwenye ile barua yao ila utetezi wao kuwa hawakuwa approached na wamiliki wa Visit Tanzania ni hoja isiyo na mashiko.

Simba wanaenda kuwaadhibu kwa kosa hili na kuwanyang'anya hoja ya kuwa timu ya wananchi.
Nchi ina wizara na wizara Ina bajeti yake... Watoe bajeti watangaziwe hakuna kitu Cha bure hapa Duniani. Zama za kijinga zibaki kwq Simba sio kwa yanga.
 
Mkuu, unapopangisha kwa mdhamini sehemu ya kifuani ya jezi kwa ajili ya nembo yako, huna mamlaka nayo tena, anayo yeye. Options ni either akuchagulie nembo au aache pabaki wazi, lakini si wewe kupangisha mtu mwingine. Kwa hiyo huwezi kusema ni bure wakati kodi ulishakula
Usikariri Mambo.
 
Simba wanaenda kupita mule mule Yanga walipoteleza.

Yanga kujibrand kama "timu ya wananchi" ilikuwa bonge la idea ila baadae kuja kusema hatuwezi kuitangaza nchi kimataifa mpaka tulipwe imeitia doa brand yao. Walijaribu kujirudi kwenye ile barua yao ila utetezi wao kuwa hawakuwa approached na wamiliki wa Visit Tanzania ni hoja isiyo na mashiko.

Simba wanaenda kuwaadhibu kwa kosa hili na kuwanyang'anya hoja ya kuwa timu ya wananchi.
Timu ya wananchi itabaki kuwa moja tu
 
Ujinga wako
Ujinga wetu
Screenshot_20230207-203218_1675791280539.jpg
 
Japokuwa Simba damu, ila huyu vunjabei mkataba wake ukiisha, please hii zabuni apewe mtu mwengine angalau tupate taste mpya, mwamba anapwaya sana, ubunifu mdogo yani kinyonge sana ..
Mmechoka kuvaa madekio eeeh[emoji23][emoji23]
 
Yanga wamezindua jezi, tumeona mashati tu yaliyovaliwa na mamodel wa mchongo wakati jezi iwe imekamilika ni shati, bukta na soksi. Yanga hawana umakini katika mambo yao.
Daah.. mkuu mbona toka mwanzo we unahangaika na Yanga wakati humu tunazungumzia uzinduzi jezi ya Simba? jitofautishe basi na wale mbu3 aliowasema mwenyekiti wetu Aden rage
 
Faida ilienda kuinufaisha nchi kawaulize sector ya utalii

Lakini

Ikiwemo kuitangaza mpira wetu na kutoa fursa ya wadau wa nje kuanza kufatilia ligi yetu pamoja na Clubs zingine ambazo hazifahamiki (ikiwemo Yanga)

Kujulikana kwa Yanga kumechagizwa na Visit Tanzania waliyoitumia Simba kupitia mafanikio yake kwenye hiyo michuano.

We don't need you but you need us
Kwahiyo pasipo kuwepo kwa neno Tanzania, hayo uliyoyataja yasingefanikiwa?
 
Nchi ina wizara na wizara Ina bajeti yake... Watoe bajeti watangaziwe hakuna kitu Cha bure hapa Duniani. Zama za kijinga zibaki kwq Simba sio kwa yanga.
Kwenye masuala ya branding, kila unachofanya lazima kishabihiane, mambo yako yakikinzana unafeli. Hauwezi kujiita "classic restaurant" halafu mteja akija anakuta sehemu yako imejaa inzi.

Kujiita timu ya wananchi kunaendana na matendo na si maneno tu.

Pia Yanga hana historia nzuri kumzidi Simba kwenye masuala ya kuijua pesa. Simba aliachana na SportPesa baada ya SP kutaka kuipa udhamini Simba unaofanana na wa Yanga wakati thamani ya timu hizi mbili haikuwa sawa.
 
Zungumzieni tukio la Simba. Mbona uzi unaanza kutawaliwa na habari za YANGA?
Ilo ndio limenishangaza badala ya kujadili tukio lillilopo wanaenda kutoa taarifa za tukio la Yanga.
 
Unawezaje kuandika article ndefu halafu ukakosa uelewa wa mambo madogo? Umenikumbusha shuleni unakuta jamaa kajaza booklets anakula 10% wewe pages 3 unakula 80%.
Kama ni suala la huo udhamini Simba ilishamalizana na Mbet nje ndani,kwa hiyo mdhamini ameamua atumie vipi nafasi yake. Kwa hiyo Simba ilishachukua hiyo hela unayoitolea povu wewe
Aisee umewezaje kuni quote wakati kichwani ni empty set[emoji848][emoji848][emoji23][emoji23]
Screenshot_20221121-132045.jpg
Screenshot_20230207-204517.jpg
Screenshot_20230207-203943.jpg
 
Simba wanaenda kupita mule mule Yanga walipoteleza.

Yanga kujibrand kama "timu ya wananchi" ilikuwa bonge la idea ila baadae kuja kusema hatuwezi kuitangaza nchi kimataifa mpaka tulipwe imeitia doa brand yao. Walijaribu kujirudi kwenye ile barua yao ila utetezi wao kuwa hawakuwa approached na wamiliki wa Visit Tanzania ni hoja isiyo na mashiko.

Simba wanaenda kuwaadhibu kwa kosa hili na kuwanyang'anya hoja ya kuwa timu ya wananchi.
Yanga inajua karaha ya kutembeza bakuli kwahiyo haitaki kurudi huko tena.
 
Back
Top Bottom