Hata mimi najiuliza, hivi UD Songo kwa mfano akafungwa game ijayo, je, wataendelea mbele au ndo basi?Hivi mfano simba akafungwa game ijayo je wataendelea mbele au ndio basi?
Ile kesi mliyofungua kuhusu spray ilifikia wapi?...Ndio ndio...na wale wasipopewa taarifa mapema wataingia kingi,wazee wa spray sio kabisa
Kwa nini UD Songo wasubiri hadi mechi ya marudiano kuleta hilo balaa? Wanakwama wapi kumaliza game kabisa wakiwa home kwao?Kama simba mpira mnaocheza ndio huu basi kuna baraa kubwa linakuja kuwakuta mechi ya marudiano.
SIMBA AU SONGO YEYOTE ATAKAEPIGWA HANA PAKWENDA TENA.Hata mimi najiuliza, hivi UD Songo kwa mfano akafungwa game ijayo, je, wataendelea mbele au ndo basi?
Daah mzee umeanza leo kifuatilia mambo ya mpira nini?Hivi mfano simba akafungwa game ijayo je wataendelea mbele au ndio basi?
Wamecheza vzr sana Songo ila FINISH yao ni mbovu.Kwa nini UD Songo wasubiri hadi mechi ya marudiano kuleta hilo balaa? Wanakwama wapi kumaliza game kabisa wakiwa home kwao?
Hawa jamaa wako fasta sana, hawakuruhusu ukae na mpira muda mrefu,. Nafikiri home advant nayo imewabeba.Wapinzani wana press sana viungo wetu hawapati muda wa kukaa na mpira
Subiri upigwe nipo kwa mkapa hapa vyura mko wachache hata theluthi ya idadi mliyoingiza siku ya vyura haitoshiHivi nyie Mikia mbona mnapenda kutuiga sana? Tulianza kujiita Wa Kimataifa mkaiga tukawaachieni, leo hii tumekuja na Timu ya Wananchi mmeiga pia. Umizeni vichwa mbumbumbu nyie.
Wale jamaa niliona kama awataki kufunga goli nyepesi wenyewe kila wakipata nafasi yakufunga wanatandika mishuti mikubwa kweli kwamba kipa akidaka avunjike mikono mwisho www wasiku mipira inaishia kupaa juu ya lango. Jamaa wangekuwa serious simba alikuwa anakufa nne mtungi.Kwa nini UD Songo wasubiri hadi mechi ya marudiano kuleta hilo balaa? Wanakwama wapi kumaliza game kabisa wakiwa home kwao?
Kweli kiongozi, simba yangu leo sijaielewaWale jamaa niliona kama awataki kufunga goli nyepesi wenyewe kila wakipata nafasi yakufunga wanatandika mishuti mikubwa kweli kwamba kipa akidaka avunjike mikono mwisho www wasiku mipira inaishia kupaa juu ya lango. Jamaa wangekuwa serious simba alikuwa anakufa nne mtungi.
Mkuu nani kalambwa?Kuna mtu kaanza kuliwa uko taifa
Mikia FC kazini.
Sawa mchambuzi, hebu basi tuchambulie na kinachotokea Kwa MkapaWale jamaa niliona kama awataki kufunga goli nyepesi wenyewe kila wakipata nafasi yakufunga wanatandika mishuti mikubwa kweli kwamba kipa akidaka avunjike mikono mwisho www wasiku mipira inaishia kupaa juu ya lango. Jamaa wangekuwa serious simba alikuwa anakufa nne mtungi.