Lockdown Kenya-Uhuru Kenya afunga Vyuo na Shule huku akifunga njia za wanafunzi kurejea makwao

Lockdown Kenya-Uhuru Kenya afunga Vyuo na Shule huku akifunga njia za wanafunzi kurejea makwao

Uhuru apige total lock down kwa miezi 12 ivi itaondoa kabisa Corona Kenya,waumini wa lock down mnaonaje hii itakua imekaa sawa?
 
kwani kuingia jF skuizi hadi mashart?
Yes, idiots like you deserve a serious and stringent Lockdown and some nonsense Curfews, as uhuru is imposing to his floaks.
Huku Tz tuko huru. Tunafutahia maisha. Muda huu nakunywa bia. Wajinga nyinyi.
Uhuru anawafungia ndani kama kuku yaani,
Halafu yeye anakula Hennessy na Jameson pale state house na msokoto mrefu wa kitu cha Arusha, Acount imenona kina muhoho watafaidi Milele na Milele Amina,
Nyie makajamba nani saa 12 jioni Ndani kwenye vibanda kibera kama kuku vile,
Wajinga nyie.
 
Uhuru apige total lock down kwa miezi 12 ivi itaondoa kabisa Corona Kenya,waumini wa lock down mnaonaje hii itakua imekaa sawa?
Naona kama hawako serious kabisa na Kirusi hiki hatarishi
Inatakiwa iwe ni Marufuku mtu kutoka nje ya nyumba yake, na wakiwa ndani ya vibanda vyao anatakiwa kuwa kwenye barakoa 24hrs/7 vinginevyo watapukutika kabisa na Kenya itabaki jangwa kama ilivyo kule Turkana
Uhuru anatakiwa afanye juhudi, they are not taking the virus seriously.
 
kila mtu atakufa dunia hii lakini inategemea utakufa kwa style gani.
sio kuja kufa kizembe namna starring wako alivyochotwa
Acha kuwaza na kinyeo, kufa kizembe? Mtu ako na heart pacer since 1990's, umbwa unasema amekufa kizembe.
Wacha mlockiwe kama mimbwa as you are.
 
Hawa jamaa walirogwa sio siri. Hata baada ya COVID-19 kupita na dikteta wao bado hawaamini kwamba janga hili ni la kweli. Yaani ni kama dejavu, wamerudi pale pale walipokuwa bila kujifunza jambo lolote! Ndio wale sikio la kufa ambalo wahenga walikuwa wanalizungumzia.
Janga ni la kweli kwenu huko, ndio maana mmefungiwa, you saw the demo kwa msiba wa magu, kama Corona was real people would be dropping now, but it's not happening licha ya uyo mutate mpya waume zenu wanawadanganya imetokea Tz, tutaona kama ataangusha watu as u wish.
Sasa naona wakenya woote roho zinawauma sana kutuona tupo free, mko na chanjo mko locked but your eyes are all over Tz, kwann hatukubali Corona.
Mind your bizness guys and just close the border, magu ameacha jeshi kubwa sana lenye itikadi zake. Mnapigia mbuzi guitar.
 
kuna picha moja niliiona kule twittani ya huyo starring na jamaa wengine watatu, sikujua kama alikua anakula kiapo au namna gani lakini imethibitishwa kuwa hao wote saa hizi wako futi sita chini ya ardhi wanaliwa na mabuu...
polepole tu mambo yanazidi kuwa mambo
Cheki ulivyo jinga, wale wale, wapambe walinzi wake wote wapo hai na wameshiriki mazishi yake wakilinda jeneza hadi kafukiwa, they are back to other duties, meanwhile some kunyan guy swallowed the lies that they're dead.
 
wale wote wametangulia mbele za haki,ila kutaka kudai ni corona kwa uongo wa wajinga wengine huku tz ni umasikini wa kufikiri.

corona ingefika pale juu hamna mtu angekuwa anazurula bila baracoa hap tz,sisi hatubahatishi mambo kama hapo failed state.
Kina nani wametangulia mbele za haki.
Wale walinzi wake hawajakufa bhana, wote wapo na ww uwe una fuatilia mambo vizuri
 
wametangulia mbele za haki, ndio, naona akili zako zinaanza kurudi sasa.
bado huwezi stuka tu na kujiuliza how comes, imekuaje na ni kivipi jamaa wanadondoka kwa style ambayo sio ya kawaida?
wewe huna akili kabisa, ubongo wako umejaa ubwabwa hadi unashindwa kufikiri
Walinzi wa magufuli, wapambe, mke wake, watoto wake, dereva wake, daktari wake, makamu etc, hakuna aliekufa, acha kuusambaza uzushi. Uyo nae sijui ameandika nn. Hakuna waliokufa na magu hajafa kwa Corona
 
This is the fate of electing a drunkard president, making decisions while high on miraa

Screenshot_20210328-140308_Facebook.jpg
 
Majority of Kenyans are not complaining just complying with the govt rules.God himself commands people to obey the govt in(Exodus 12:22)
 
So plz stop complaining on behalf of Kenyans sisi hatuna shida na prezzo wetu nyie endeleeni kubebwa ufala uku mkizidi kufa ama hanna habari prezzo wenu alikufa corona.
 
Jombaa, acha kujiaibisha kuna exemptions k.m. kwa wahudumu wa afya, polisi, trucks za long distance n.k, sasa itakuwaje wanafunzi wakatazwe kuenda makwao wakati tayari shule zimefungwa? Upo excited kuhusu nini haswa? Naona hamjajifunza hata baada ya msiba wenu wa hivi majuzi ambao ulisababishwa na hivi hivi virusi vya COVID-19. Ukimaliza kuwabeza wakenya nenda ukapige nyungu, wadosi wako wapo safarini wakifata ventilator nchini Kenya.

Mi nawashangaa majirani zetu , na mahangaiko yote hayo bado corona inawafuata, I thought since you guys mna implement all safety rules as WHO suggested bado tu hali ni mbaya sana kwenyu kuliko hata sie ambao tume relax and life goes on, Kwan nini mbaya ?

Mko na curfew na vaccine pia mmeletewa na bado mnakufa kama kuku na bado mnafungiwa ndani , bado tu hamjashtuka?

Nilijua curfew time itapungua instead ndo kwanza mnaongezewa kufungiwa that means hata hizo njia zenyu hazisaidii, poor you

Najua mnataman sana life style yetu , that I know for sure but hii sio shida yetu , mtaji sort mbwa nyie
 
Kwani Kenya si wamesha pokea chanjo kutoka WHO sasa kwanini wasijichanje badala yake wanarudi katika lockdown

I’m wondering too , akii something is wrong somewhere , chanjo wako nayo na bado wanakufa kama mbwa, curfew wamewekewa all this while bado tu hali mbaya , hivi wakenya I know them to be smart but this time wamebebwa ujinga, what’s the use of vaccine then ? https://jamii.app/JFUserGuide it
 
Back
Top Bottom