iamriq_arthur
JF-Expert Member
- May 1, 2021
- 440
- 1,086
Kumbe ndo habari yenyewe ππ€£π€£π€Tatizo linaanzia hapa
Nahitaji kuongeza mwili (Kunenepa)
Habarini wana JF, Nini kifanyike ili kuongeza mwili (unene) ili niwe na muonekano mzuri wa kiafya unaovutia? Nahitaji kunenepa.www.jamiiforums.com
Likaja hapa.
Mwanamke wangu mbaya wa sura na muonekano ila ndie anaeniweka mjini
Nina demu mmoja anasoma chuo, ananipenda sana lakini mimi namchukulia kawaida tu kwasababu ananiweka mjini, naishi kwake ananilisha na bills zote analipia yeye, mimi mchango wangu kweke ni kidogo sana nkipata pesa kidogo kidogo ndipo nachangia. Kwanza kabisa demu tulikutana mtandaoni...www.jamiiforums.com
Kuna shida.
Kumbe ni mwanaume π³π³π§π§π€Unavyosemaga mishangazi inakupenda kumbe unajichubuaπ
Nenda hospitali
Ni mwanaume huyu chakula ya mishangaziKumbe ni mwanaume π³π³π§π§π€
Ikubali rangi yako wewe achana na mikorogo. Tafuta mafuta ya kusoftisha rangi yako bila kuchubua.
Madhara ya mikorogo ni makubwa, hasa uzeeni tunawaona wanavyoteseka.
BTW ulikuwa unatumia 'lotion' gani?
Kumbe ni mwanaume [emoji15][emoji15][emoji47][emoji47][emoji848]
Sasa wewe lotion ya nini?kuna lotion niliyokua naitumia first time ilinikubali sana nikawa mweupe kama mwarabu, kopo liliisha nikanunua jingine sasa hii ya mara ya pili ndo imenikataa kabisa yan nimekua mweusi mpaka nimepitiliza.
Najiuliza hii ya mara ya pili ilkua imeexpaya ama vp,.?
Naombeni ushauri.
Am out πππΆββοΈπΆββοΈπΆββοΈNi mwanaume huyu chakula ya mishangazi
Sasa wewe lotion ya nini?
Wakati ni mwanaume?
Wanaume wa Dar wana mambo kwa kweli πππDuuh we ni ke au me?
Hamna kazi hapo..Kumbe ndo habari yenyewe ππ€£π€£π€
Bland**Napaka ili kupendeza, kulinda bland yangu
KIPA KATOKA KAACHA GOLI WAZIWanaume wa Dar wana mambo kwa kweli πππ
Mwanamke wangu mbaya wa sura na muonekano ila ndie anaeniweka mjini
Nina demu mmoja anasoma chuo, ananipenda sana lakini mimi namchukulia kawaida tu kwasababu ananiweka mjini, naishi kwake ananilisha na bills zote analipia yeye, mimi mchango wangu kweke ni kidogo sana nkipata pesa kidogo kidogo ndipo nachangia. Kwanza kabisa demu tulikutana mtandaoni...www.jamiiforums.com