iamriq_arthur
JF-Expert Member
- May 1, 2021
- 440
- 1,086
Kuna lotion niliyokuwa naitumia first time ilinikubali sana nikawa mweupe kama mwarabu, kopo liliisha nikanunua jingine sasa hii ya mara ya pili ndo imenikataa kabisa yaani nimekuwa mweusi mpaka nimepitiliza.
Najiuliza hii ya mara ya pili ilkuwa imeexpaya ama vipi,.?
Naombeni ushauri.
Najiuliza hii ya mara ya pili ilkuwa imeexpaya ama vipi,.?
Naombeni ushauri.