Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 18,042
- 19,787
Yaani Dr. Slaa angekubali tu, hivi kwanini haelewi kuwa akichukua nchi, Dr. Slaa anaweza kuwa Waziri wa Fedha, Mbowe Waziri Mkuu kisha Lowassa Rais...
Nchii ya Tanzania ingebadilika mwaka mmoja tu, kuwa kama Ulaya...
Dr. Slaa ana nn lakini..!?
Nchii ya Tanzania ingebadilika mwaka mmoja tu, kuwa kama Ulaya...
Dr. Slaa ana nn lakini..!?