Inaguresheni
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 294
- 131
Tibaijuka alikuwa Boss UN HABITAT, Migire naibu katibu mkuu UN ! Bolshevick jipange !
Jamani toka nyerere upo, ulikuwa wapi kutoa ushauri huo!
..... Sounds too partisan....!Not sure about thatWaajiriwa kufunzwa namna ya kuendesha viwanda umerudi pale pale, ELIMU ELIMU ELIMU. Jisikilize unavyojichanganya mwenyewe. Kwa maana rahisi wasomi wetu sio competent. Mitaala ya Elimu inatakiwa kufumuliwa na kusukwa upya. Zitaanzishwa elimu maalumu kwa waliohitimu Ku brush walipopungukiwa, waziri wetu wa Elimu Mh Mbatia aliahidi Arusha atalishughulikia hilo.
So, the current plants/factories we do have now, how are we operating them? The dude is a fool and dumb.
Wenzio tunaijua elimu ya TZ sio kama wewe unayekurupukakurupuka tu! tunaposema elimu ya TZ imeongezeka tunaushahidi, ukitaka details nifuate pm nikupe details? Acha kuwasikiliza wanasiasa,dist111 we kwel bogus tatzo c kua na vyuo vingi tatzo n elim gn wanaipata we hujiulz kwa nn wakenya wanatuzd kete na kngine elim ya sasa inatakiwa ikisaidie kua mbunifu na co kutegemea kuajiriwa shtuka ww
Acha kujichanganya kijana, elimu bora haipimwi kwa wingi wa majengo(vyuo) wala kwa idadi ya wahitimu. First priority ni kuimarisha elimu. Hivyo viwanda si vitakufa tu kama vilivyokufa awali!?. Elimu bora inahitajika, tupate graduate wengi wenye ubora wa kusimamia viwanda vyetu na kuweza kushindana ktk soko la ajira la kimataifa. EL yuko sahihi, hata ccm wanalijua hili.
Mgombea Urais anayeungwa mkono na vyama vinne vinavyounda UKAWA amesema, kila Mtanzania anatakiwa aneemeke na rasilimali zake zilizomo nchini sio wageni.
Pia akaongeza akipata ridhaa kuwa Rais atahakikisha elimu inatawala kwa kila rika ili iwasaidie watu kujiajili kwani bila elimu huwezi leta viwanda, maana viwanda bila elimu haiwezekani.
Akaongeza ukileta viwanda Watanzania hawana elimu ya kutosha kwani itabidi kuajili watu toka nje na kuajili tena watanzania na kuwa madereva, akasema hiyo kitu hataki.
Elimu kwanza, watanzania wasome na wasimamie viwanda wao wenyewe na kuongeze pato la ndani la taifa.
Hiyo kauli iko sawa kweli?
View attachment 297290
Kwenye ilani ya CCM elimu imepewa kipaumbele! Sasa huyo fisadi anazungumzia elimu ya aina gani?
Niandike kwa ufupi tu, duniani hakuna nchi inayotaka kuendelea ikakosa viwanda!
Vijana wa engineering wapatao elfu kumi wanagraduate kila mwaka na hawana ajira yeye analeta porojo..?Mgombea Urais anayeungwa mkono na vyama vinne vinavyounda UKAWA amesema, kila Mtanzania anatakiwa aneemeke na rasilimali zake zilizomo nchini sio wageni.
Pia akaongeza akipata ridhaa kuwa Rais atahakikisha elimu inatawala kwa kila rika ili iwasaidie watu kujiajili kwani bila elimu huwezi leta viwanda, maana viwanda bila elimu haiwezekani.
Akaongeza ukileta viwanda Watanzania hawana elimu ya kutosha kwani itabidi kuajili watu toka nje na kuajili tena watanzania na kuwa madereva, akasema hiyo kitu hataki.
Elimu kwanza, watanzania wasome na wasimamie viwanda wao wenyewe na kuongeze pato la ndani la taifa.
Hiyo kauli iko sawa kweli?
View attachment 297290
Hata tukisoma wote hatuwezi kufanya kazi viwandani, wanaitakiwa kufanya kazi hizo wqpo wengi sana na ni watu wa kawaida sana hao watoto unaowaita wa vigogo wengi hawana lolote katika elimu, mbeleko kibao mwanzo mwisho. . . . .
Wako watu wengi sana wanafanya kazi na makampuni ya nje. . . .Weengi sana tu anzia Toyota, Atlas Copco, Caterpillar na mengine wabongo wapo wenye uwezo huo wa kuendesha viwanda. . . . .constrction industries nenda, Derm electrics na mengine ni wabongo wanavuja jasho huko. . . . .
Watu wamesoma na wana uwezo achana na siasa. . . . .
Uzuri wa elimu mimi naona kwa upande wa uelewa na kutodanganyika. Uchaguzi wa mwaka huu ni mgumu kwa ccm kwa vile wasomi wameongezeka. Wasomi wakiongezeka watawala wanakuwa na hofu ya kuharibu/au kudanganya na hivyo maendeleo yanakuja. Elimu, elimu, elimu.
mimi sijaelewa kitu kimoja hapo kwa hiyo gesi ya mtwara siyo mali yetu?MITAMBO YA KUCHAKATA UMEME WA GAS SIYO YA SERIKALI NI MALI YA MTU BINAFSI.
chongchung 15:50 Today
Gazeti la mwananchi la Leo linasema... jiandaeni kwa mgao ambao haujawahi kutokea wa umeme baada ya TANESCO kushindwa kulipa mpaka sasa kampuni iliyobaki ikizalisha umeme mwingi.
Baada ya mabwawa yoote kukauka na kampuni hiyo kunuia kuzima mitambo yake ifikapo wiki ijayo kama hawatalipwa pesa zao mpaka sasa mkurugenzi wa tanesco anahaha kusaka pesa hazina.
source mwananchi
Sijamuelewa vizuri simbachawene
Katika hali isiyo ya kawaida mheshimiwa Waziri wa Nishati Madini, George Simbachawene kwa mara ya kwanza amesema kuwa mitambo ya kuzalisha umeme kwa kutumia gesi kutoka Mtwara iliyojengwa eneo la Kinyerezi, Dar ni MALI YA WATU BINAFSI NA SIO MALI YA SERIKALI.
Kauli hiyo imewashangaza watu wengi kwa kuwa mara zote serikali ilikuwa ikisema mitambo ile ni mali ya umma na inajengwa kwa pesa za serikali sambasamba na ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara na Mitambo ile mradi wa serikali chini ya TANESCO.
Jamani naomba mniambie Kikwete amelifanyia nini hili Taifa kwa miaka 10 tumeambiwa mradi huu umeigharimu Tanzania dola million 100 tena mkopo Kumbe mradi wa company fulani na haumilikiwi na serikali.
Na bado tunaambiwa tusubirie miaka 7 ndio wachina watuachie GAS.
Navumilia kuwa Mtanzania Lowassa tuokoe watanzania.
SHARE ujumbe huu kwa watu wengi zaidi ila kuwaamsha watanzania usingizini bila kujali chama gani sababu umeme ni wa wote.
mimi sijaelewa kitu kimoja hapo kwa hiyo gesi ya mtwara siyo mali yetu?
mimi sijaelewa kitu kimoja hapo kwa hiyo gesi ya mtwara siyo mali yetu?