Elections 2015 Lowassa: Viwanda bila elimu ni sawa na kazi bure

Elections 2015 Lowassa: Viwanda bila elimu ni sawa na kazi bure

MITAMBO YA KUCHAKATA UMEME WA GAS SIYO YA SERIKALI NI MALI YA MTU BINAFSI.

chongchung 15:50 Today

Gazeti la mwananchi la Leo linasema... jiandaeni kwa mgao ambao haujawahi kutokea wa umeme baada ya TANESCO kushindwa kulipa mpaka sasa kampuni iliyobaki ikizalisha umeme mwingi.

Baada ya mabwawa yoote kukauka na kampuni hiyo kunuia kuzima mitambo yake ifikapo wiki ijayo kama hawatalipwa pesa zao mpaka sasa mkurugenzi wa tanesco anahaha kusaka pesa hazina.

source mwananchi

Sijamuelewa vizuri simbachawene

Katika hali isiyo ya kawaida mheshimiwa Waziri wa Nishati Madini, George Simbachawene kwa mara ya kwanza amesema kuwa mitambo ya kuzalisha umeme kwa kutumia gesi kutoka Mtwara iliyojengwa eneo la Kinyerezi, Dar ni MALI YA WATU BINAFSI NA SIO MALI YA SERIKALI.

Kauli hiyo imewashangaza watu wengi kwa kuwa mara zote serikali ilikuwa ikisema mitambo ile ni mali ya umma na inajengwa kwa pesa za serikali sambasamba na ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara na Mitambo ile mradi wa serikali chini ya TANESCO.

Jamani naomba mniambie Kikwete amelifanyia nini hili Taifa kwa miaka 10 tumeambiwa mradi huu umeigharimu Tanzania dola million 100 tena mkopo Kumbe mradi wa company fulani na haumilikiwi na serikali.

Na bado tunaambiwa tusubirie miaka 7 ndio wachina watuachie GAS.

Navumilia kuwa Mtanzania Lowassa tuokoe watanzania.

SHARE ujumbe huu kwa watu wengi zaidi ila kuwaamsha watanzania usingizini bila kujali chama gani sababu umeme ni wa wote.
 
Waajiriwa kufunzwa namna ya kuendesha viwanda umerudi pale pale, ELIMU ELIMU ELIMU. Jisikilize unavyojichanganya mwenyewe. Kwa maana rahisi wasomi wetu sio competent. Mitaala ya Elimu inatakiwa kufumuliwa na kusukwa upya. Zitaanzishwa elimu maalumu kwa waliohitimu Ku brush walipopungukiwa, waziri wetu wa Elimu Mh Mbatia aliahidi Arusha atalishughulikia hilo.
..... Sounds too partisan....!Not sure about that
 
So, the current plants/factories we do have now, how are we operating them? The dude is a fool and dumb.

Can u mention any factory Owen by government of Tanzania???
 
dist111 we kwel bogus tatzo c kua na vyuo vingi tatzo n elim gn wanaipata we hujiulz kwa nn wakenya wanatuzd kete na kngine elim ya sasa inatakiwa ikisaidie kua mbunifu na co kutegemea kuajiriwa shtuka ww
Wenzio tunaijua elimu ya TZ sio kama wewe unayekurupukakurupuka tu! tunaposema elimu ya TZ imeongezeka tunaushahidi, ukitaka details nifuate pm nikupe details? Acha kuwasikiliza wanasiasa,
Sasa n wakati wa vijana kutafutiwa kazi,kazi zenye tija sio bodaboda tena, na elimu iendelee kuboreshwa (uboreshwaji hauishi)
 
Acha kujichanganya kijana, elimu bora haipimwi kwa wingi wa majengo(vyuo) wala kwa idadi ya wahitimu. First priority ni kuimarisha elimu. Hivyo viwanda si vitakufa tu kama vilivyokufa awali!?. Elimu bora inahitajika, tupate graduate wengi wenye ubora wa kusimamia viwanda vyetu na kuweza kushindana ktk soko la ajira la kimataifa. EL yuko sahihi, hata ccm wanalijua hili.

Mwenzio ninazungumza kwa data, na experience sio natumia mihemko kama wewe,uliza kuna maPhD holder wangapi wanasoma japan,china,korea,marekan na ujeruman ukiacha hizo nchi nyingine! wangapi wamehitimu ndani ya miaka miwili iliyopita, sijazungumzia wanaolihitimu masters wala waliohitimu degree ya kwanza hapo bongo!

tumia kichwa kufikiri na siasa zisipotoshe ukweli wa mambo! sasa n muda wa viwanda, wasomi tunao wakutosha kutosogeza for next 10years
 
Mgombea Urais anayeungwa mkono na vyama vinne vinavyounda UKAWA amesema, kila Mtanzania anatakiwa aneemeke na rasilimali zake zilizomo nchini sio wageni.

Pia akaongeza akipata ridhaa kuwa Rais atahakikisha elimu inatawala kwa kila rika ili iwasaidie watu kujiajili kwani bila elimu huwezi leta viwanda, maana viwanda bila elimu haiwezekani.

Akaongeza ukileta viwanda Watanzania hawana elimu ya kutosha kwani itabidi kuajili watu toka nje na kuajili tena watanzania na kuwa madereva, akasema hiyo kitu hataki.

Elimu kwanza, watanzania wasome na wasimamie viwanda wao wenyewe na kuongeze pato la ndani la taifa.

Hiyo kauli iko sawa kweli?

View attachment 297290

Hiyo kauli ipo sawa kbs 100%. Soma mapinduzi ya china,Britain na nchi zozote duniani,bila kuwa na elimu can do nothing. Vitu vingine hautaji kufika kindergarten ili ujue ni sawa au si sawa.
 
Ananiuzi sana anapoponda elimu, kwamba madaktari Bingwa, wahasibu wenye ACCA, Mapurofesa wote hao hawawezi kupata Ajira nje ya nchi??? Kweli???? Kazi zipi hizo ambazo sisi tuliosoma TZ hatuwezi kuzifanya???? Kuanzia sasa me na ukawa basi. Huwezi kuniambia Elimu ya Tanzania ni Zero, haiwezekani...Me nafanya kazi na watu wa nje na still they appreciate..
 
Kwenye ilani ya CCM elimu imepewa kipaumbele! Sasa huyo fisadi anazungumzia elimu ya aina gani?

Niandike kwa ufupi tu, duniani hakuna nchi inayotaka kuendelea ikakosa viwanda!

Ndgu msidanganye watu...Viwanda mtaviendesha kwa KUNI? ikiwa hadi leo mnatupimia UMEME kwenye vibakuli wacheni upuuzi
 
Mgombea Urais anayeungwa mkono na vyama vinne vinavyounda UKAWA amesema, kila Mtanzania anatakiwa aneemeke na rasilimali zake zilizomo nchini sio wageni.

Pia akaongeza akipata ridhaa kuwa Rais atahakikisha elimu inatawala kwa kila rika ili iwasaidie watu kujiajili kwani bila elimu huwezi leta viwanda, maana viwanda bila elimu haiwezekani.

Akaongeza ukileta viwanda Watanzania hawana elimu ya kutosha kwani itabidi kuajili watu toka nje na kuajili tena watanzania na kuwa madereva, akasema hiyo kitu hataki.

Elimu kwanza, watanzania wasome na wasimamie viwanda wao wenyewe na kuongeze pato la ndani la taifa.

Hiyo kauli iko sawa kweli?

View attachment 297290
Vijana wa engineering wapatao elfu kumi wanagraduate kila mwaka na hawana ajira yeye analeta porojo..?
 
Hata tukisoma wote hatuwezi kufanya kazi viwandani, wanaitakiwa kufanya kazi hizo wqpo wengi sana na ni watu wa kawaida sana hao watoto unaowaita wa vigogo wengi hawana lolote katika elimu, mbeleko kibao mwanzo mwisho. . . . .

Wako watu wengi sana wanafanya kazi na makampuni ya nje. . . .Weengi sana tu anzia Toyota, Atlas Copco, Caterpillar na mengine wabongo wapo wenye uwezo huo wa kuendesha viwanda. . . . .constrction industries nenda, Derm electrics na mengine ni wabongo wanavuja jasho huko. . . . .

Watu wamesoma na wana uwezo achana na siasa. . . . .

Uzuri wa elimu mimi naona kwa upande wa uelewa na kutodanganyika. Uchaguzi wa mwaka huu ni mgumu kwa ccm kwa vile wasomi wameongezeka. Wasomi wakiongezeka watawala wanakuwa na hofu ya kuharibu/au kudanganya na hivyo maendeleo yanakuja. Elimu, elimu, elimu.
 
Uzuri wa elimu mimi naona kwa upande wa uelewa na kutodanganyika. Uchaguzi wa mwaka huu ni mgumu kwa ccm kwa vile wasomi wameongezeka. Wasomi wakiongezeka watawala wanakuwa na hofu ya kuharibu/au kudanganya na hivyo maendeleo yanakuja. Elimu, elimu, elimu.

Umuhimu wa elimu upo lakini isiwe sababu ya ku undermine other sectors majukwaani hiyo elimu ya bure bila production ya kueleweka itakuwaje sustainable??!!

Tunahitaji viwanda much as tunataka social services ziboreke
 
dist111 acha ujinga ww hao wanaosoma nje n impact gan wameleta nchin, kwa kujishushia hadhi kwa uelewa duni elimu ya tz haimuandai kijana kua mbunifu bal n elim ya kukariri tuu utasema una wasomi akati kwenye taasis mbalmbal wanashka nafac za juu n wakenya na waganda kwel we n mbumbumbu asee
mtu mzma unaongea utumbo kiac hcho ptuuuuu!!!!!! elim ikukomboe we mwenyewe na co kutegemea kuajiriwa. china waliwekeza kwanza kwenye elim kwa kubadilisha mifumo ya elim kuendana na technolojia. kwa elim mbovu ya tz hata usomeshe wtu wote ujinga utakua mulemule acha upimbi wewe
 
Last edited by a moderator:
Lowasa kusema vipaumbele vyake vikubwa ni hivi hakukosea kabisa-
1-Elimu
2-Elimu
3-Elimu
sasa Magufuli anasema atajenga viwanda je hivyo viwanda vitatumia power bank?
 
MITAMBO YA KUCHAKATA UMEME WA GAS SIYO YA SERIKALI NI MALI YA MTU BINAFSI.

chongchung 15:50 Today

Gazeti la mwananchi la Leo linasema... jiandaeni kwa mgao ambao haujawahi kutokea wa umeme baada ya TANESCO kushindwa kulipa mpaka sasa kampuni iliyobaki ikizalisha umeme mwingi.

Baada ya mabwawa yoote kukauka na kampuni hiyo kunuia kuzima mitambo yake ifikapo wiki ijayo kama hawatalipwa pesa zao mpaka sasa mkurugenzi wa tanesco anahaha kusaka pesa hazina.

source mwananchi

Sijamuelewa vizuri simbachawene

Katika hali isiyo ya kawaida mheshimiwa Waziri wa Nishati Madini, George Simbachawene kwa mara ya kwanza amesema kuwa mitambo ya kuzalisha umeme kwa kutumia gesi kutoka Mtwara iliyojengwa eneo la Kinyerezi, Dar ni MALI YA WATU BINAFSI NA SIO MALI YA SERIKALI.

Kauli hiyo imewashangaza watu wengi kwa kuwa mara zote serikali ilikuwa ikisema mitambo ile ni mali ya umma na inajengwa kwa pesa za serikali sambasamba na ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara na Mitambo ile mradi wa serikali chini ya TANESCO.

Jamani naomba mniambie Kikwete amelifanyia nini hili Taifa kwa miaka 10 tumeambiwa mradi huu umeigharimu Tanzania dola million 100 tena mkopo Kumbe mradi wa company fulani na haumilikiwi na serikali.

Na bado tunaambiwa tusubirie miaka 7 ndio wachina watuachie GAS.

Navumilia kuwa Mtanzania Lowassa tuokoe watanzania.

SHARE ujumbe huu kwa watu wengi zaidi ila kuwaamsha watanzania usingizini bila kujali chama gani sababu umeme ni wa wote.
mimi sijaelewa kitu kimoja hapo kwa hiyo gesi ya mtwara siyo mali yetu?
 
Back
Top Bottom