Moo Click
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,495
- 3,236
Mtafunwa ni Nani uyu tena?Nani alikua analitafuna? Sema lilikuwaga lizuli sikuhizi naona limepwaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtafunwa ni Nani uyu tena?Nani alikua analitafuna? Sema lilikuwaga lizuli sikuhizi naona limepwaya.
Mmh...spana namba 12 msaada tafadhal..[emoji1]Bonna
Ilo Benz ataliweza baasHahahahah alitakiwa amchune mama ampe business zake! Sema alichofanikiwa ni kumjengea bi mkubwa wake tu na kaondoka na benz S Class la zawadi[emoji23]
Kwamba litamshinda tu arudi kwenye porte?Ilo Benz ataliweza baas
HahahahLile ni v12 biturbo linakunywa wese v8 inasubiri, yaani ukikanyaga tu lita imeisha
Labda PassoKwamba litamshinda tu arudi kwenye porte?
Ila dai ktk watu ambao hatakiwi kuwasahau n wema mana alimpandisha sn hadhi yake.Wanamfamyia bure matangazo kwa kudaganywa na swala la mahusiano Yale Yale ya wema kutoka na diamond akiwa hajulikami katumika na diamond sasa hivi kapotea hana mbele wala nyuma
Ila dai ktk watu ambao hatakiwi kuwasahau n wema mana alimpandisha sn hadhi yake.Wanamfamyia bure matangazo kwa kudaganywa na swala la mahusiano Yale Yale ya wema kutoka na diamond akiwa hajulikami katumika na diamond sasa hivi kapotea hana mbele wala nyuma
ktk watu waliojua kutumia vzr umaarufu wa ni zari. Yani ana akili sn sn madili km yotwUjue mastar wetu empty set na wame lack exposure ya mambo na wanashindwa kutumia umaarufu wao kuwa matajiri wategemea kudanga tu. Shilole yeye kazi yake kuwasaidia vibenten kupata umaarufu vikishajulikana vinaanza usumbufu. Zari baada ya kupata umaarufu tzi alipata madili makubwa kuliko mastaa wetu
Dah wema sikuhizi anatia huruma sana, na hivi kakonda madanga yamekimbia yoteTtzo la domo anapenda sifa
Akizu gumziwa hapo ndo Raha kwake
Ila ndo hivo Kama ulivosema
Ukwel mtupu n huo wako empty set
Mastaa wetu hawa
Sasa ndio uwe mama huruma na kukosa self control jomoniLakin simlaumu jaman chini si mnasemaga panawasha asa angefanyaje
Kdg ss hv hamisa kajiongeza, na yy anatumia vzr umaarufu wake.Ttzo la domo anapenda sifa
Akizu gumziwa hapo ndo Raha kwake
Ila ndo hivo Kama ulivosema
Ukwel mtupu n huo wako empty set
Mastaa wetu hawa
Hata huyo shishi vile shule yake ndogo na huwa anajiropokea angejua potential yangu angekuwa mbali zaidi shida anawaza kuoa vibeten na kuolewa olewa hovyo na kujiropokea mitandaoniExposure matters alot...mastaa wetu wengi ukiacha exposure wengi shule hamna...asa ni kampuni gan itampa dili mtu anajiita shishi trump? Watu ngeli zinawashinda kila uchwao maskendo ya hovyo umalaya malaya tu...hovyo sana hawa
Naona km ss hiv anaanza kupata vinyama nyama kwa mbaaliDah wema sikuhizi anatia huruma sana, na hivi kakonda madanga yamekimbia yote
Awe Bibi mara ngapi jamani lohKajala anaenda kuwa bibi, duh time flies
No way ndio aliko ona patamkunaSasa ndio uwe mama huruma na kukosa self control jomoni
Zamani alikuwaga mzuri sikuhizi inaonyesha ana mawazo mengi kichwaniBonna
Apo tu ndio tatizo na kutazidi kuzaa matatizo kila uchwaoHata huyo shishi vile shule yake ndogo na huwa anajiropokea angejua potential yangu angekuwa mbali zaidi shida anawaza kuoa vibeten na kuolewa olewa hovyo na kujiropokea mitandaoni
[emoji1787][emoji1787]Awe Bibi mara ngapi jamani loh