Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Wanamfamyia bure matangazo kwa kudaganywa na swala la mahusiano Yale Yale ya wema kutoka na diamond akiwa hajulikami katumika na diamond sasa hivi kapotea hana mbele wala nyuma
Ila dai ktk watu ambao hatakiwi kuwasahau n wema mana alimpandisha sn hadhi yake.
 
Wanamfamyia bure matangazo kwa kudaganywa na swala la mahusiano Yale Yale ya wema kutoka na diamond akiwa hajulikami katumika na diamond sasa hivi kapotea hana mbele wala nyuma
Ila dai ktk watu ambao hatakiwi kuwasahau n wema mana alimpandisha sn hadhi yake.
Ujue mastar wetu empty set na wame lack exposure ya mambo na wanashindwa kutumia umaarufu wao kuwa matajiri wategemea kudanga tu. Shilole yeye kazi yake kuwasaidia vibenten kupata umaarufu vikishajulikana vinaanza usumbufu. Zari baada ya kupata umaarufu tzi alipata madili makubwa kuliko mastaa wetu
ktk watu waliojua kutumia vzr umaarufu wa ni zari. Yani ana akili sn sn madili km yotw
 
Ttzo la domo anapenda sifa
Akizu gumziwa hapo ndo Raha kwake

Ila ndo hivo Kama ulivosema
Ukwel mtupu n huo wako empty set
Mastaa wetu hawa
Kdg ss hv hamisa kajiongeza, na yy anatumia vzr umaarufu wake.
 
Exposure matters alot...mastaa wetu wengi ukiacha exposure wengi shule hamna...asa ni kampuni gan itampa dili mtu anajiita shishi trump? Watu ngeli zinawashinda kila uchwao maskendo ya hovyo umalaya malaya tu...hovyo sana hawa
Hata huyo shishi vile shule yake ndogo na huwa anajiropokea angejua potential yangu angekuwa mbali zaidi shida anawaza kuoa vibeten na kuolewa olewa hovyo na kujiropokea mitandaoni
 
Hata huyo shishi vile shule yake ndogo na huwa anajiropokea angejua potential yangu angekuwa mbali zaidi shida anawaza kuoa vibeten na kuolewa olewa hovyo na kujiropokea mitandaoni
Apo tu ndio tatizo na kutazidi kuzaa matatizo kila uchwao
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom