sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,008
- 8,788
Sikuizi utaambiwa ni utumwa huo.Unakumbuka yale mashindano ya coka cola, vyuo vikuu Africa mashariki? Ilikuwa kichekesho kwa Tz. Tuseme hivi " ili upewe degree yako katika fani yoyote ni lazima uwe unaongea kiingereza kwa ufasaha na kuandika ".