Luhaga Mpina, mmoja wa Wana CCM waliochukizwa Samia kuwa Rais, awaita Mawaziri awamu ya 6 matapeli

Luhaga Mpina, mmoja wa Wana CCM waliochukizwa Samia kuwa Rais, awaita Mawaziri awamu ya 6 matapeli

Luhaga Mpina, mmoja kati ya Mawaziri waliochukiwa sana hasa Kanda ya ziwa, alichukizwa sana kuona Samia Suluhu Hassan anaapishwa kuwa Rais.

Yeye na kundi la akina Polepole na Ndungai, Kalemani kwa pembeni walijipanga vilivyo kuhakikisha bajeti ya mama Samia 2022/2023 haipiti, lengo lao lile lile kuangushwa serikali kwa sababu Wana chuki kubwa sana na uraisi wa Samia.

Hotuba yake ya Leo kaandikiwa na Kalemani, waliiandaa pamoja na Polepole na Ndungai. Ndungai bado hajaridhishwa kuondolewa Bungeni, hivyo ameacha ma parody yake, na amepanga kuyatumia kutimiza lengo lake la kumtikisa Samia.

Mama, shughulika naye huyu, wanazunguka tu, lakini lengo ni wewe mama yetu. Tunaapa kukulinda, kama ni uhalifu, hakuna muhalifu kama Luhaga Mpina.
nonesense.
 
Mpina analeta siasa kwenye mambo ya kiufundi, Hivi anajua time frame ya SGR project!!? Mpaka JPM anafariki tulikuwa nje ya muda ambao ulipangwa awali je alihojia!?! Waziri makamba ni mtu smart sana na sababu za bwawa kuchelewa kukamilika zimeshaelezwa waziwazi, Inshu ya umeme kukatika pia liko open kabisa
Lakini kama Nchi tunakoelekea ni pazuri sana hata haya mambo ya kukatika umeme yatabaki historia kama anaona Uchungu kalemani kutoka wizarani kwa vile kuna deals kibao walifanya basi atambue wakati wao umepita.

Eti makamba ni mtu smart sana shuwani
 
Luhaga Mpina, mmoja kati ya Mawaziri waliochukiwa sana hasa Kanda ya ziwa, alichukizwa sana kuona Samia Suluhu Hassan anaapishwa kuwa Rais.

Yeye na kundi la akina Polepole na Ndungai, Kalemani kwa pembeni walijipanga vilivyo kuhakikisha bajeti ya mama Samia 2022/2023 haipiti, lengo lao lile lile kuangushwa serikali kwa sababu Wana chuki kubwa sana na uraisi wa Samia.

Hotuba yake ya Leo kaandikiwa na Kalemani, waliiandaa pamoja na Polepole na Ndungai. Ndungai bado hajaridhishwa kuondolewa Bungeni, hivyo ameacha ma parody yake, na amepanga kuyatumia kutimiza lengo lake la kumtikisa Samia.

Mama, shughulika naye huyu, wanazunguka tu, lakini lengo ni wewe mama yetu. Tunaapa kukulinda, kama ni uhalifu, hakuna muhalifu kama Luhaga Mpina.


Haya yote uliosema ni ya kwako…sisi tunataka Waziri awajibishwe hii sio nchi ya baba yake…angekuwepo Makongoro Nyerere tungejaribu kumsikiliza kidogo anajiteteaje….lakini huyu ajiuzulu…

Ndugai mbona mlimuandama mpaka akajiuzulu wakati alikuwa anaokoa mapato ya serikali kwa kushauri kupunguza mikopo…huyu waziri kakosesha mapato mnamtetea…
 
Mldg1.jpeg
🐒🐒🐒👇
 
Luhaga Mpina, mmoja kati ya Mawaziri waliochukiwa sana hasa Kanda ya ziwa, alichukizwa sana kuona Samia Suluhu Hassan anaapishwa kuwa Rais.

Yeye na kundi la akina Polepole na Ndungai, Kalemani kwa pembeni walijipanga vilivyo kuhakikisha bajeti ya mama Samia 2022/2023 haipiti, lengo lao lile lile kuangushwa serikali kwa sababu Wana chuki kubwa sana na uraisi wa Samia.

Hotuba yake ya Leo kaandikiwa na Kalemani, waliiandaa pamoja na Polepole na Ndungai. Ndungai bado hajaridhishwa kuondolewa Bungeni, hivyo ameacha ma parody yake, na amepanga kuyatumia kutimiza lengo lake la kumtikisa Samia.

Mama, shughulika naye huyu, wanazunguka tu, lakini lengo ni wewe mama yetu. Tunaapa kukulinda, kama ni uhalifu, hakuna muhalifu kama Luhaga Mpina.
Nimeisoma hotuba ya Mpina,nilichokiona kuna hoja za msingi bila kujali uhusiano wao ukoje.
Kumpenda au kutompenda Rais,sioni panaingilianaje na hoja alizoziibua.
Ni kweli aliondoa tozo ya sh 100 kwa nia njema ili apunguze makali ya mafuta japo haikusaidia, lakini alichokiibua Mpina ni kuwa hatua hiyo haikufuata utaratibu wa kikatiba hali iliyoleta madhara kwenye.bajeti na hata Rais alikiri hivyo na kuamua kuirudisha.
Ni vizuri tukajikita kwenye content kuliko kufanya makusudi ya kuwadistract watu kisa tu humpendi mtoa hoja.
Umesema utamlinda Rais, kwani yupo kwenye hatari gani?
Kumsema Makamba ni kuhatarisha usalama wa Rais?
Kama Kikwete aliridhia kuondoka kwa Lowasa rafiki yake mkubwa wa wakati ule aliyemsaidia pakubwa kuwa Rais nini msaada wa Makamba kwa Samia kuwa Rais!!! Labda angekuwa Gen. Mabeyo.
 
Luhaga Mpina, mmoja kati ya Mawaziri waliochukiwa sana hasa Kanda ya ziwa, alichukizwa sana kuona Samia Suluhu Hassan anaapishwa kuwa Rais.

Yeye na kundi la akina Polepole na Ndungai, Kalemani kwa pembeni walijipanga vilivyo kuhakikisha bajeti ya mama Samia 2022/2023 haipiti, lengo lao lile lile kuangushwa serikali kwa sababu Wana chuki kubwa sana na uraisi wa Samia.

Hotuba yake ya Leo kaandikiwa na Kalemani, waliiandaa pamoja na Polepole na Ndungai. Ndungai bado hajaridhishwa kuondolewa Bungeni, hivyo ameacha ma parody yake, na amepanga kuyatumia kutimiza lengo lake la kumtikisa Samia.

Mama, shughulika naye huyu, wanazunguka tu, lakini lengo ni wewe mama yetu. Tunaapa kukulinda, kama ni uhalifu, hakuna muhalifu kama Luhaga Mpina.
Ujinga ulionao ni kiwango ya Lami.!

Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
 
Kama wanagusa maslah ya watanzia tulio wengi hawa ndio watu sahihi kwa taifa kulko huyo mama yenu
 
Kwani we unaishi shimoni? Hii imetrend Jana siku nzima halafu unauuliza leo. Nachukia watu wa namba hii ndo wanagurufisha nyuma.
mbona makasiriko ndugu, unanichukia kwa sababu ndogo namna hiyo, ok tupo mwezi wa toba roho wa bwn akuponyekatika hili
 
Msimlenge Mpina..wananchi tunataka kujua uongo wake ni upi.Huyu ni mbunge critical tangu zamani anafahamika kwa misimamo yake sidhani kama anaweza kutumwa kuongea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Luhaga Mpina, mmoja kati ya Mawaziri waliochukiwa sana hasa Kanda ya ziwa, alichukizwa sana kuona Samia Suluhu Hassan anaapishwa kuwa Rais.

Yeye na kundi la akina Polepole na Ndungai, Kalemani kwa pembeni walijipanga vilivyo kuhakikisha bajeti ya mama Samia 2022/2023 haipiti, lengo lao lile lile kuangushwa serikali kwa sababu Wana chuki kubwa sana na uraisi wa Samia.

Hotuba yake ya Leo kaandikiwa na Kalemani, waliiandaa pamoja na Polepole na Ndungai. Ndungai bado hajaridhishwa kuondolewa Bungeni, hivyo ameacha ma parody yake, na amepanga kuyatumia kutimiza lengo lake la kumtikisa Samia.

Mama, shughulika naye huyu, wanazunguka tu, lakini lengo ni wewe mama yetu. Tunaapa kukulinda, kama ni uhalifu, hakuna muhalifu kama Luhaga Mpina.

IMG_20220305_151655_415.jpg
 
Kwamba Mama afukuze Luhaga? February katika ubora wako umejianzishia uzi?

IMG_20220305_151655_415.jpg
 
Back
Top Bottom