Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Moderator Paw Tafadhali futeni huu uzi utaharibu na kuvunja ndoa za watu na kusababisha mauaji pia tokana na wivu wa mapenzi. Please shughulikieni hii bullying kwani inaharibu credibility ya JF kama chombo cha habari.
Toa utaahira wako hapa na wewe.

Yani mtu avunje ndoa sababu ya umbea tena wa kuandikwa mitandaoni? Nae atakuwa hana akili timamu kama wewe.
 
KIPINDI NIPO MITAA FLANI YA MIKOCHENI,,,LULU NA DEMU FLAN HV VIDEO VIXEN ANAITWA HUSNA WALIKUA WANANGU SANA.......ILA KUNA SIKU NIPO MITAA YA MAGOMENI KWA BIBI YAKE NA HUSNA,,,LULU AKAJA NAVIDEO VIXEN MMOJA ANAITWA WOLPER WAKAANZISHA BONGE LA VURUGU DHIDI YA HUSNA AFU BARABARANI KISA WANAMGOMBEA ALI KIBA🀣🀣🀣.
Sasa watu pale barabarani wakajua ninagombaniwa mimi,,,ikabidi nikodi tax nikimbie maana watu walikua wanacheka na kunisifia mimi kidume 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
NB: Kipindi hicho lulu hakua
maarufu sana ila alikua hakatai skendo za kusagana na huyo demu wolper.....lilikua group wanasagana kwa zamu na walikua vibinti vidogo ila daily maisha club na club bilicanas.
 
Kila nikijaribu kuizoom sura ya salama kwenye ubongo wangu, basi hii taarifa ya kwamba anasagana hua inagoma kabisa kuingia akilini[emoji849]
 
Mmhh hatar hii weka mbal aisee.. kusagana yeye... kutatuliwa marinda yeye... umalaya yeye.. huyu mtu sasa ana pride gan kwenye maisha yake? Hiv hata akikaa kujaribu kujipima nafsin as how worthy is she anapata jibu gani? Kuna kip cha thaman alichonacho cha kujivunia utu wake sasa kwa hatua hiyo aliyo fikia????
Maana kama ni chemical reaction, yeye ana fall as irreversible one..

Poor girl.. she is a dead living. Nimemuonea huruma sana. Yan hana thaman hata ukimlinganisha na mwajuma ndala ndefu anayepambana na life yake ki bishi huku uswahili
 
Yes, hata mimi nimewahi kusikia na kwa Ali pia nasikia sio haba. Huenda ndio maana hawaachani πŸ˜‚πŸ˜‚
Kwahiyo Mafundi wamekutana .......

Niliwahi kukutana na Mwanamke fundi miaka ya ujana, wakati huo hata hayo mambo ya kunyonya koni yalikuwa hayajaingia.

Bwana bwana, pamoja na kuwa tayari nilikuwa kwenye late 50 nilitamani kulia kwa raha....najiuliza hadi leo yule mwenzangu alijulia wapi yale mambo. Kwa lafudhi laini alisema ukijisikia kuCum you just cum 😜

Kweli Vijana wanafaidi πŸ€—
 
Kila nikijaribu kuizoom sura ya salama kwenye ubongo wangu, basi hii taarifa ya kwamba anasagana hua inagoma kabisa kuingia akilini[emoji849]
Why ? Mbona rahis sana.. mi nikivuta picha ya yeyre kupigwa mashine ndio naona ngumu haiji kabisa. Ushawah muona wap yule kakaa kike kike? Hata paja lake tu au tit ushawah liona kwenye picha tu japo???
 
mijegeje yote iliyojaa dunian mwanamke mwenzangu ana utam gani? kuna watu kwaMungu watakua ndio petroli
Kwakweli sijawahi kuelewa! Mtu anafanana na mimi kila kitu atanivutia kwa kipi?

Ila wenyewe wanavyojisifu, ati mwanamke anamjua mwanamke mwenzie zaidi! Ukionja hutokaa uache!
Ujinga mtupu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…