M-wekeza kutoka Vodacom Riba 13%

Je! kuna uwezekano wa kuwekeza kama kikundi?
 
Wajaribu kwenda kwenye mfumo wa UTT, ili iwe possible ku - withdraw kiasi cha faida monthly, hata ikibidi hawa wa monthly faida iwe 10.5%,ya capital installed. UTT itakuwa niagie, but this is business!
Bado hela ya voda kuitoa Kuna kukatwa labda watoe njia ya kuitapishia benki napo Kuna makato sio ya kitoto
 
Unatoa wapi hela mkuu mbona ina kibunda sana
๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒEbo! 50million nayo kibunda toka lini??!!! Hela ya kubadilishia mboga hiyo.
Hela ndu gu yangu nikianzia $1million.
Chini ya hapo wee una vijisenti vya kubalishia mboga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ