Kaka ushawahi kukaa kongo DRC kivu kaskazini au kivu kusini kaka????Au katika mji wa kishanga???M23 wakamata mji wa Kishanga tena, Jeshi la Congo na washilika wake FDLR,MAIMAI NYATULA,CODECO,MAIMAI YAKUTUMBA NA WAZUNGU MERCENARIES waliopewa kazi na DRC wakimbia. M23 yatangaza vita rasimi kupambana na hivo Vikosi kwa kuwa wanafanya Mauaji ya kuwalenga Watusi,Hema na wanaozungumza Kinyarwanda kwa ujumla yani Genocide!. Serikali ya DRC ICC inawasubilia.
Ila watusi wanavyowalenga wahutu huko rwanda na DRC sio genocideM23 wakamata mji wa Kishanga tena, Jeshi la Congo na washilika wake FDLR,MAIMAI NYATULA,CODECO,MAIMAI YAKUTUMBA NA WAZUNGU MERCENARIES waliopewa kazi na DRC wakimbia. M23 yatangaza vita rasimi kupambana na hivo Vikosi kwa kuwa wanafanya Mauaji ya kuwalenga Watusi,Hema na wanaozungumza Kinyarwanda kwa ujumla yani Genocide!. Serikali ya DRC ICC inawasubilia.
Congo ikatae pendekezo hilo kwa nguvu zote. By the wa South Sudan amani ipo?Hapa nasikia Harufu ya North and South Kive Republic!🤣🤣
Ukiona Serikali inaanza ku target Raia wake kama BASHIR kule SUDAN alicho kifanya Darfur basi hivo.
Mark my Word!
Tarehe 27/01/2023
Congo ni zaidi ya Tsisekedi.Tsisekedi Mjinga,kuwa kataa m23,kuwa bagua na kuua familia zao ndio ita mcost kupoteza hilo eneo.
Kudos M23.M23 wakamata mji wa Kishanga tena, Jeshi la Congo na washilika wake FDLR,MAIMAI NYATULA,CODECO,MAIMAI YAKUTUMBA NA WAZUNGU MERCENARIES waliopewa kazi na DRC wakimbia. M23 yatangaza vita rasimi kupambana na hivo Vikosi kwa kuwa wanafanya Mauaji ya kuwalenga Watusi,Hema na wanaozungumza Kinyarwanda kwa ujumla yani Genocide!. Serikali ya DRC ICC inawasubilia.
Udini inawezekana ila ukabila hapana!Hivi ndio hao maharamia wamarekani wametuonya kuwa makini na machavuko(uvamizi) unaweza jitokeza ghafla nini...Sababu hata sisi tupo karibu nao kweli hivyo nirahisi kuvuka mipaka yetu huku Tanzania 🇹🇿
Inawezekana kwani hata hapa naona kuna machafuko ya kidini yanachipukia taratibu huenda wakatumia mwanya huo kuingia na kusababisha machafuko(Uvamizi)Udini inawezekana ila ukabila hapana!