kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Kenya wanafanya nini Congo [emoji1078]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa mkuuAcha ujuwaji mjomba kwani una nini basi zaidi kuliko hao?
huelewi lolote kuhusu hilo unatakiwa kujua kwann genera mwakibolwa chini ya JwTz aliwasambaratisha ,serikali yetu ilikumbana na nn baada yakikwete akiwa mwenyekiti jumuia ,baada yakubaili kanunivisingizio viingi amna lolote.hao jamaa washashindikana cha msingi wakae nao chini wanataka nini wapatiwe yaishe amani ipatikane.
kuwazuia kwa mtutu wameshindwa.
ni aibu kilasiku tunasikia jeshi la Congo linatupa ailaha chini linasepa kuwakimbia hawa wazee wa kazi.
Rwanda bado haijaondoa askari wake (Rdf) wanaopigana bega kwa bega na M 23 ?...Tsisekedi Mjinga, kuwa kataa M23, kuwa bagua na kuua familia zao ndio ita mcost kupoteza hilo eneo.
Walisema wameachia baadhi ya Maeneo kwa Regional Force na Siyo FARDC kwahiyo jeshi la Kongo wakiingiza miguu yao kwenye hayo Maeneo lazima warudi upya.Waasi hawa wanajieleza wenyewe:
View attachment 2497219
Ikumbukwe hawa waliwahi kupongezwa kwa walichokiita kujiondoa kwenye mji mwingine siku za nyuma.
Hawa hawastahili pongezi wala kusikilizwa kwa lolote.
Bila ya kutumia nguvu zinazostahili kuwafurusha wahuni hawa kutoka kokote waliko DRC, amani ya Congo ingali mbali sana.
Source: DW.
Wewe unauelewa unachokifanya hapa.visingizio viingi amna lolote.hao jamaa washashindikana cha msingi wakae nao chini wanataka nini wapatiwe yaishe amani ipatikane.
kuwazuia kwa mtutu wameshindwa.
ni aibu kilasiku tunasikia jeshi la Congo linatupa ailaha chini linasepa kuwakimbia hawa wazee wa kazi.
Hakuna mji muhimu wowote uliotekwa labda wanatafuta likes.Vyombo vya habari siku hizi siyo vya kuviamini. Vinatafuta like tu navyo. We kwa uelewa wako, ni mji muhimu umetekwa?
Hao ni wanajeshi wa jeshi la Rwanda sio Wakongo.Congo wameamua kuwa wahuni wanawafanyia genocide raia wake wa Banyamurenge, huwezi kukaa ndani unasubiri waje wakuue, only solution ndio hii moto kwa moto, sitashangaa wakipiga mpaka Kinshasa kama walivyomfanyia Mobutu
Upo tayari kuwaachia Rwanda wautawale mkoa wa Kagera?Sisi ni Africa sisi ni ndugu!kupigana kwanini!!?
Kwanini tunauana ewe Africa!!?
Ni Mali tu!!?hatuwezi kukaa pamoja tukaongea!!?
Kama makubaliano yalikuwa kivu iwe chini ya tutsi na tutsi ikaonekana ni threat kwa Congo si wangetengeza katiba iliyohuru!!?
Kuliko watu kujuana ni Bora katiba iliyohuru kwa wote ingesaidia watu kuishi kwa amani kuliko kuchapana risasi kama Sasa!!
AFRICA UNATIA AIBU AFRICA!
Vipi silent genocide ya Banyamulenge, ongelea hilo pia sio kila siku kusingizia RwandaHao ni wanajeshi wa jeshi la Rwanda sio Wakongo.
Ndio maana mgogoro ni kati ya M23 na Kongo halafu wanaokaa kwenye maridhiano ni serikali ya Rwanda na Kongo DR.
Rwanda bado inaendeleza uhuni wake kwa mgongo wa Uasi.Waasi hawa wanajieleza wenyewe:
View attachment 2497219
Ikumbukwe hawa waliwahi kupongezwa kwa walichokiita kujiondoa kwenye mji mwingine siku za nyuma.
Hawa hawastahili pongezi wala kusikilizwa kwa lolote.
Bila ya kutumia nguvu zinazostahili kuwafurusha wahuni hawa kutoka kokote waliko DRC, amani ya Congo ingali mbali sana.
Source: DW.
Hakuna USHAHIDI wowote unaoonyesha felix Kaua mtu congo.Tsisekedi Mjinga, kuwa kataa M23, kuwa bagua na kuua familia zao ndio ita mcost kupoteza hilo eneo.
Rwanda hawapo Congo, kaeni chini mmalize matatizo yenu na muache kuua Banyamulenge, Tshesekedi anguko lake litakuwa ni hao banyamulenge maana hawatendei haki kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu atakuwa Mtusi anajiongelesha peke yakeUzi unaletea wewe na ku comment una comment mwenyewe..kuna nini kwani??
Mzozo ni kati ya Kongo na M23 lakini mazungumzo ya maridhiano ni kati yaRwanda na Kongo. Rwanda inaingiaje sasa?????Rwanda hawapo Congo, kaeni chini mmalize matatizo yenu na muache kuua Banyamulenge, Tshesekedi anguko lake litakuwa ni hao banyamulenge maana hawatendei haki kabisa
Gwanda si la kutupia tu mkuu?Mbona bendera ya begani ni ya jeshi la DRC?
Hiyo ilikuwa janja ya nyani tu. Ninakazia hawa si wa kusikilizwa wala kupongezwa. Hawa ni wa kufurushwa kibabe tu.Walisema wameachia baadhi ya Maeneo kwa Regional Force na Siyo FARDC kwahiyo jeshi la Kongo wakiingiza miguu yao kwenye hayo Maeneo lazima warudi upya.