M23 wakamata mji FARDC na washirika wak wakimbia

M23 wakamata mji FARDC na washirika wak wakimbia

visingizio viingi amna lolote.hao jamaa washashindikana cha msingi wakae nao chini wanataka nini wapatiwe yaishe amani ipatikane.
kuwazuia kwa mtutu wameshindwa.

ni aibu kilasiku tunasikia jeshi la Congo linatupa ailaha chini linasepa kuwakimbia hawa wazee wa kazi.
huelewi lolote kuhusu hilo unatakiwa kujua kwann genera mwakibolwa chini ya JwTz aliwasambaratisha ,serikali yetu ilikumbana na nn baada yakikwete akiwa mwenyekiti jumuia ,baada yakubaili kanuni
 
Waasi hawa wanajieleza wenyewe:

View attachment 2497219

Ikumbukwe hawa waliwahi kupongezwa kwa walichokiita kujiondoa kwenye mji mwingine siku za nyuma.

Hawa hawastahili pongezi wala kusikilizwa kwa lolote.

Bila ya kutumia nguvu zinazostahili kuwafurusha wahuni hawa kutoka kokote waliko DRC, amani ya Congo ingali mbali sana.

Source: DW.
Walisema wameachia baadhi ya Maeneo kwa Regional Force na Siyo FARDC kwahiyo jeshi la Kongo wakiingiza miguu yao kwenye hayo Maeneo lazima warudi upya.
 
visingizio viingi amna lolote.hao jamaa washashindikana cha msingi wakae nao chini wanataka nini wapatiwe yaishe amani ipatikane.
kuwazuia kwa mtutu wameshindwa.

ni aibu kilasiku tunasikia jeshi la Congo linatupa ailaha chini linasepa kuwakimbia hawa wazee wa kazi.
Wewe unauelewa unachokifanya hapa.

Hao wanataka kupata mamlaka kamili ya Kivu Kusini kama wewe ni serikali upo tayari kuwaachia?
 
Congo wameamua kuwa wahuni wanawafanyia genocide raia wake wa Banyamurenge, huwezi kukaa ndani unasubiri waje wakuue, only solution ndio hii moto kwa moto, sitashangaa wakipiga mpaka Kinshasa kama walivyomfanyia Mobutu
Hao ni wanajeshi wa jeshi la Rwanda sio Wakongo.

Ndio maana mgogoro ni kati ya M23 na Kongo halafu wanaokaa kwenye maridhiano ni serikali ya Rwanda na Kongo DR.
 
Sisi ni Africa sisi ni ndugu!kupigana kwanini!!?

Kwanini tunauana ewe Africa!!?

Ni Mali tu!!?hatuwezi kukaa pamoja tukaongea!!?

Kama makubaliano yalikuwa kivu iwe chini ya tutsi na tutsi ikaonekana ni threat kwa Congo si wangetengeza katiba iliyohuru!!?

Kuliko watu kujuana ni Bora katiba iliyohuru kwa wote ingesaidia watu kuishi kwa amani kuliko kuchapana risasi kama Sasa!!

AFRICA UNATIA AIBU AFRICA!
Upo tayari kuwaachia Rwanda wautawale mkoa wa Kagera?
 
Waasi hawa wanajieleza wenyewe:

View attachment 2497219

Ikumbukwe hawa waliwahi kupongezwa kwa walichokiita kujiondoa kwenye mji mwingine siku za nyuma.

Hawa hawastahili pongezi wala kusikilizwa kwa lolote.

Bila ya kutumia nguvu zinazostahili kuwafurusha wahuni hawa kutoka kokote waliko DRC, amani ya Congo ingali mbali sana.

Source: DW.
Rwanda bado inaendeleza uhuni wake kwa mgongo wa Uasi.

Moronight walker
 
Tsisekedi Mjinga, kuwa kataa M23, kuwa bagua na kuua familia zao ndio ita mcost kupoteza hilo eneo.
Hakuna USHAHIDI wowote unaoonyesha felix Kaua mtu congo.
Felix KUINGIA madarakani kakuta nchi inashida tena yeye ndo anasimama mstari wa mbele KULETA amani, na kulinda banyamulenge.
Usidanganye watu hapa.
NYIE tuu rwandese mnachuki tuu na congo hakuna lolote .
M23 ni RDF wapo askari wengi sana wa RDF waliokufa congo
Screenshot_20230127-150328_Chrome.jpg
Screenshot_20230127-150546_Chrome.jpg
Screenshot_20230127-150851_Chrome.jpg

HAWA WAHACHE ILA WAPO WENGI.
KWANZIA MWEZI WA 4 2022 MPAKA MWEZI 11 2022 .
WALIKUFA MILLITARY OFFICERS ZAIDI YA 34 HAO WANAOTABULIKA.

Proved mtu chake
 
Rwanda hawapo Congo, kaeni chini mmalize matatizo yenu na muache kuua Banyamulenge, Tshesekedi anguko lake litakuwa ni hao banyamulenge maana hawatendei haki kabisa
Mzozo ni kati ya Kongo na M23 lakini mazungumzo ya maridhiano ni kati yaRwanda na Kongo. Rwanda inaingiaje sasa?????
 
Hakuna nchi inayokosa Kikosi cha anga wengine mnaita jeshi la anga,wacho kikosi cha anga /jeshi la anga lakini halina maboresho kabisa kwa ujumla jeshi la Congo lilitawaliwa na uzandiki na hujuma maana maafisa wengi walikua na asili sio ya Congo walijua wanachofanya bwana mkubwa Mh Felix Tshekedi anapaswa alisuke haswa kinidhamu na medani za kivita aombe hata msaada maeneo kadhaa apewe wakulaumiwa kwanza ni Hipolite Kanambe a.ka Joseph Kabila kwa kulichezea
 
Back
Top Bottom