mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Mbona wapo mamluki pia huko kutoka nchi za ulayaBora Nemes angeenda kuwasaidia DRC
Wawatangazie watu dau wenye uzoefu wataenda tu
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona wapo mamluki pia huko kutoka nchi za ulayaBora Nemes angeenda kuwasaidia DRC
Hiyo ni kwa mujibu wa DW labda wewe kama una taarifa zaidi.Mji muhimu wapi na wewe.
Usimsahau na Hamza!Bora Nemes angeenda kuwasaidia DRC
Air force wanayo ndiyo wana ndege za kivita, helicopter hata za usafirishaji pia.Hivi jeshi la DRC halina airforce ya kupigana na M23?
Majeshi yanazuiliwa kushambulia na tatizo hapa utaratibu uliopo mbovu ,bila kubadili baadhi ya mambo kazibureao jamaa wanatisha kama mpaka sasa majeshi kama Kenya,Munusco n,k bado wanajiuma kucha kuwafurusha hao awagusiki,gusa unate.
visingizio viingi amna lolote.hao jamaa washashindikana cha msingi wakae nao chini wanataka nini wapatiwe yaishe amani ipatikane.Majeshi yanazuiliwa kushambulia na tatizo hapa utaratibu uliopo mbovu ,bila kubadili baadhi ya mambo kazibure
Vyombo vya habari siku hizi siyo vya kuviamini. Vinatafuta like tu navyo. We kwa uelewa wako, ni mji muhimu umetekwa?Hiyo ni kwa mujibu wa DW labda wewe kama una taarifa zaidi.
Acha ujuwaji mjomba kwani una nini basi zaidi kuliko hao?Vyombo vya habari siku hizi siyo vya kuviamini. Vinatafuta like tu navyo. We kwa uelewa wako, ni mji muhimu umetekwa?
Mbona JWTZ chini ya Mwakibolwa aliwachapa mpaka wakakimbilia Rwanda kipindi cha JK.visingizio viingi amna lolote.hao jamaa washashindikana cha msingi wakae nao chini wanataka nini wapatiwe yaishe amani ipatikane.
kuwazuia kwa mtutu wameshindwa.
ni aibu kilasiku tunasikia jeshi la Congo linatupa ailaha chini linasepa kuwakimbia hawa wazee wa kazi.
Na wahutu si ndo walianza kuwaua watutsiIla watusi wanavyowalenga wahutu huko rwanda na DRC sio genocide
Mimi nilishangaa juzi eti DRC wana ndege za kivita ile iliyopigwa bomu la onyo na Rwanda. Yani hadi wana marubani kabisa wazawa siyo wa kukodi. Sijui nawaonaje hawa wakongo. Design ya kina kofi Olomide kweli wanaweza rusha ndege?Hivi jeshi la DRC halina airforce ya kupigana na M23?
Angalau damu yake isingeenda bure kama ilivyopotea kwa wazungu mafashisti.Bora Nemes angeenda kuwasaidia DRC
alafu baada ya hapo tatizo likaisha?Mbona JWTZ chini ya Mwakibolwa aliwachapa mpaka wakakimbilia Rwanda kipindi cha JK.
alafu baada ya hapo tatizo likaisha?