Mr Putin
JF-Expert Member
- Feb 13, 2019
- 515
- 520
M23 wakamata mji wa Kishanga tena, Jeshi la Congo na washilika wake FDLR,MAIMAI NYATULA,CODECO,MAIMAI YAKUTUMBA NA WAZUNGU MERCENARIES waliopewa kazi na DRC wakimbia.
M23 yatangaza vita rasmi kupambana na hivo Vikosi kwa kuwa wanafanya Mauaji ya kuwalenga Watusi,Hema na wanaozungumza Kinyarwanda kwa ujumla yani Genocide!.
Serikali ya DRC ICC inawasubilia.
M23 yatangaza vita rasmi kupambana na hivo Vikosi kwa kuwa wanafanya Mauaji ya kuwalenga Watusi,Hema na wanaozungumza Kinyarwanda kwa ujumla yani Genocide!.
Serikali ya DRC ICC inawasubilia.