econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Walianza mwaka gani
Baada ya FDLR kufurushwa Rwanda na kukimbilia Congo DRC. Wakaaendeleza ujinga wa kuwaua watusi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walianza mwaka gani
Usikatae PK ndo anafanya banyamulenge wachukiwe.
Sina shida na wahutu , nawapenda sana, i hope sumu walizolishwa zitaisha tuuNa wewe huwapendi wahutu....mpo sawa tu...
Kwani majambazi huwa wanafurushwa kwenda wapi kama si jela au makaburini?
Mapambano yenye kuhusisha kubeba silaha hayakubaliki.
Habari ndiyo hiyo.
Naomba niletee USHAHIDI kuwa rwanda haihusiki na mgogoro na vita vya congo. Tumuone nano ni muhongo?
Kati ya mimi na wewe na mimi unaleta USHAHIDI wakwangu.
USITAKE KUKATAA WAPO ASKARI WENGI SANA WA RWANDA WAMEKUFA HUKO CONGO WE KATAA TUU HATA WAPO MAKANALI WALIOUWAWA.
HATA GAMES KABEREBE TUU ALINYING'ATANG'ATA KUHUSU KIFO CHA SECOND LUTEN PETER.
WAPO HATA MAKANALI WAMEKUFA HUKO CONGO MWAKA JANA.
hao watusi kwa nin wang'ang'anie kukaa kweny nchi ambayo kiasili sio yao? Nchi yao rwanda si ipo lakn? Hata kama ni sababu serikali ya congo imewaharass, ni sababu kiasili hapo sio kwao, solution ni kurudi kwny ardhi yao mama.
Hata HAO Banyamulenge asilimia kubwa hawampendi pk..
Nia yenu banyamulenge wapigane.
Eti wamege kipande cha ARDHI cha congo. Ili kutengeneza taifa Lao, wakipata wajiunge na Rwanda ndo mkakati yenu.
Ndo hivyo banyamulenge Hataki.
Wao wanajiona ni wacongo.
View attachment 2497850
Wao WANASEMA tuu stop war, stop violence against banyamulenge,
Ila wanaipenda congo.
Pole yenu.
1994 waliuawa wahutu wengi kuliko watusi
Ninadhani Congo ni victim wa foreign aggression.Mimi naunga mkono Kujitenga kwa Nord Kivu, kuwa nchi kamili.
Ina maana serikali ya Rwanda ndio mlinzi wa Watutsi kwenye eneo hili la maziwa makuu?....hakuna kitu kama hicho, Rwanda waache kuchochea uasi na machafuko huko Kivu.Sio
Sio uhuni watusi wanauawa huko Kivu Sasa Rwanda inawaprotect. Ndio Vita vya Urusi na Ukraine vilianza hivi.
Hawakuingia makubaliano , walifukuzwa tuuHawakupata acha uongo. Waliingia makubaliano tu wakaondoka. Hao utawachapa mpaka lini?. Maana hawaishi.
Kwa hio ndo apeleke jeshi (RDF) congo? Ni sawa eti??PK anakosa gani? Kulinda watusi wasiuawe? Watoto wamejazwa hate speech, eti watusi warudi kwao.
Niambie banyamulenge wameuawa wangapi huko congo tangu violence against banyamulenge ilipoanza?Acha uongo, mwambie Felix aache genocide ya Watusi. Makabuli mangapi ya halaiki yamegundulika huko kivu.? UN wameshatoa report.
Kwanza Tujue north kivu kuna watutsi wangapi , na south kivu kuna watutsi wangapi. Na wanaishi eneo gani.Rwanda wanawalinda watusi dhidi ya genocide wanayofanyiwa Nord Kivu.
Nionyeshe UHONGO WANGU upo wapi?Na wewe umeingizwa kingi kwa uongo
KWANI mimi nimesema Banyamulenge ni warwanda?Banyamulenge Ni wakongo, sio warwanda. Ndio maana unaoana waasi wa M23 wamevaa badge za DRC
Siyo maoni ni fact,palikua na watusi laki 8 Rwanda 1994,wameuawa watu milioni moja..na Leo bado watusi wapo,waliouawa wengi ni akina nani!?Ni maoni. Jambo ambalo halikuhusu utaropoka lolote.
Watutsi genocide survivor ni zaidi ya 300,000 vipi.watusi laki 8