M23 wakamata mji FARDC na washirika wak wakimbia

M23 wakamata mji FARDC na washirika wak wakimbia

Waasi hawa wanajieleza wenyewe:

View attachment 2497219

Ikumbukwe hawa waliwahi kupongezwa kwa walichokiita kujiondoa kwenye mji mwingine siku za nyuma.

Hawa hawastahili pongezi wala kusikilizwa kwa lolote.

Bila ya kutumia nguvu zinazostahili kuwafurusha wahuni hawa kutoka kokote waliko DRC, amani ya Congo ingali mbali sana.

Source: DW.
Mie sielewi haya mambo! Hivi huo mrundikano wa wanajeshi kutoka nchi mbalimbali kwa jina la "kuleta amani DRC" wanafanya nini huko mpaka M23 wanaendelea kupata mafanikio haramu huko? Kumbe ndio maana wakongo wanawataka waondoke maana hakuna wanachosaidia!!
 
Mie sielewi haya mambo! Hivi huo mrundikano wa wanajeshi kutoka nchi mbalimbali kwa jina la "kuleta amani DRC" wanafanya nini huko mpaka M23 wanaendelea kupata mafanikio haramu huko? Kumbe ndio maana wakongo wanawataka waondoke maana hakuna wanachosaidia!!

Kwa ujumla ni heri wakaondoka tu
 
Watutsi wachukiwe kwa sababu gani?
Yani kati ya hundreds of tribes hapa Afrika Watutsi wachukiwe kwa lipi walilonalo. Kuna mtu anahangaika kuchukia kabila linalokaa kwenye nchi ya 26,000 km2. Nchi sawa na nusu ya Selous game reserve, ambayo zaidi ya nusu ya Watanzania hawajui hata iko mkoa gani?

Hayo matumizi mabaya ya chuki
Usijitoe akili mpuuzi wewe, unafikir 1994 wahutu walikaribia kuwamaliza watusi wote kwa sababu walikuwa wanawapenda, na nani amesema watanzania wanachukia watusi mpuuzi sana wewe
 
Usijitoe akili mpuuzi wewe, unafikir 1994 wahutu walikaribia kuwamaliza watusi wote kwa sababu walikuwa wanawapenda, na nani amesema watanzania wanachukia watusi mpuuzi sana wewe
Kwa hiyo huyo jamaa uliyesema anawachukia ni Mhutu? Mnajipa umuhimu kwenye nchi za watu, humu hakuna mtu ana haja ya kuchukia hao wafugaji. Ni mambo yenu uko Rwanda
 
Kwa hiyo huyo jamaa uliyesema anawachukia ni Mhutu? Mnajipa umuhimu kwenye nchi za watu, humu hakuna mtu ana haja ya kuchukia hao wafugaji. Ni mambo yenu uko Rwanda
Sasa umeshajiona wewe ndio mwenye nchi na wengine sio, unajipa umuhimu ambao huna mpuuzi wewe👎
 
Congo anapaswa kuwa mtoto wetu pendwa kama ilivyo Burundi ni muda sasa wa kujitanua na nadhani tunapaswa kufanya hivyo Kwa sasa.
Ndio Maana hao warundi wanatafuna mahindi tu hapo Bunjumbura siku hizi hawaguswi.
 
Naijua vizuri sana historia ya maeneo hayo na nimeisoma 1994 Genocide vizuri sana, huwezi kunidanganya chochote au kunilisha propaganda
Mimi nimefuatilia documents za ICTR , nilizipata kwa NDUGU yangu aliwahifanya kazi pale Arusha ICTR.
Wewe umepata data kutoka wapi kaka? Naomba utueleze ili Tujue mimi na wewe nani ni muhongo.
Pia nimesema kitabu cha mwanasheria wa ICTR anaitwa peter erlinder na kitabu chake cha The accidental genocide
18569292.jpg

Pia Namjua hata chief prosecutor wa ICTR wa kwanza kabisa
Anaitwa Carla Del Ponte
Ambaye ni 👇👇
gettyimages-607455752-612x612.jpg

gettyimages-607455734-612x612.jpg

gettyimages-607455718-612x612.jpg

Na aliwahi kukutana na kagame mwaka 2001 ,
Screenshot_20230129-104337_Chrome.jpg

Sasa nikuhulize swali kwa nini walimtoa Carla Del Ponte na kumuweka MWINGINE kuwa chief prosecutor, MAANA UMENIAMBIA UMESOMA VITABU VINGU TUELEZE KWA NINI WALIOMTOA HUYO MAMA HAPO JUU?
NA KUMLETA MWINGINE anaitwa Louis arbour?
departing-chief-prosecutor-of-the-international-criminal-tribunal-for-the-former-yugoslavia-ic...jpg

Tueeleze si umesoma vitabu VINGI kaka, TUONE KATI YA MIMI NA WEWE NANI MUHONGO.
TUELEZE.
 
Waafrika tuna matatizo sana na roho mbaya. Kwani hao Watutsi wanaoishi Congo wakitambuliwa kama raia na wanafuata sheria za nchi tatizo lipo wapi? Congo na ukubwa wote hata wasomali wangehamia kule luna tatizo gani wakati yote ni Afrika.
Wapo loyal Kigali
 
Kagame ni hatari kwa usalama wa Afrika mashariki, aondolewe kwa njia yoyote ile, hata mapinduzi
Kagame ame stabilize Rwanda na kuwafanya waanze kuishi kama binadamu tena baada ya nchi kuwa na utawala wa kikatili,ubaguzi na mauaji kwa miaka mingi sana na kufanya raia wake wengi kuishia ukimbizini, na ndio aliyewaondolea lile dikteta lililowatawala, kuwaibia na kuwaua wacongo kama kuku kwa miaka zaidi ya 30, sasa Rwanda inapiga hatua mbele, nchi salama na opportunity za kupiga pesa, hakuna rushwa, elimu kwa wote etc Kigali ni safe kuliko Dar na hakuna rushwa au wizi wa kipumbavu, hiyo Dar Raisi angekuwa Kagame na resorces zake zote ingekuwa kama Europe tuu, unatakiwa uombe uwe na kiongozi kama Kagame siokusikiliza sumu za watu kama brazaJ na wenzake ambao kwao ukabila na ujinga ndio akili yao ilipoishia
 
Back
Top Bottom