M23 wakamata mji FARDC na washirika wak wakimbia

M23 wakamata mji FARDC na washirika wak wakimbia

MPA-1.jpg

Mulenge3.jpg
 
hao watusi kwa nin wang'ang'anie kukaa kweny nchi ambayo kiasili sio yao? Nchi yao rwanda si ipo lakn? Hata kama ni sababu serikali ya congo imewaharass, ni sababu kiasili hapo sio kwao, solution ni kurudi kwny ardhi yao mama.
Unaeza twambia waliendaje pale walipo kama we unajua? au umerkia na kuaandika tu? kwahiyo Wahaya na Wasukuma wakianza kuua na kukimbiza Wahangaza wa Ngara na Kigoma solution ya Selikali ni kuwarudisha Burundi sio?je wakidai kuondoka na ardhi yao? kasome historia sio unakurupuka tu!.
 
Wabongo hawaandiki kiswahili kibovu kama wewe unayetumia UHONI na UHONGO, sema tuu wewe ni FDLR umekuja kutembeza propaganda zenu za sumu
Umeona?na wengi wao wako hapa Bongo! as long as wameshajua kiswahili basi wamekua wabongo. Damu za watu ziawaumbua. Tsisekedi amesha wafanya kuwa mstali wambele vitani kupigana na m23 inawakamata kila siku.
 
hao watusi kwa nin wang'ang'anie kukaa kweny nchi ambayo kiasili sio yao? Nchi yao rwanda si ipo lakn? Hata kama ni sababu serikali ya congo imewaharass, ni sababu kiasili hapo sio kwao, solution ni kurudi kwny ardhi yao mama.
Waafrika tuna matatizo sana na roho mbaya. Kwani hao Watutsi wanaoishi Congo wakitambuliwa kama raia na wanafuata sheria za nchi tatizo lipo wapi? Congo na ukubwa wote hata wasomali wangehamia kule luna tatizo gani wakati yote ni Afrika.
 
😃😃😃😅😅😅 kumbe wewe ni mtutsi.
Unajifanya mbongo.
Still bado mnachuki.
Hakuna mtu anachofurahia ukatili uliyofanywa na interahamwe pale rwanda
Naijua vizuri sana historia ya maeneo hayo na nimeisoma 1994 Genocide vizuri sana, huwezi kunidanganya chochote au kunilisha propaganda
 
hao watusi kwa nin wang'ang'anie kukaa kweny nchi ambayo kiasili sio yao? Nchi yao rwanda si ipo lakn? Hata kama ni sababu serikali ya congo imewaharass, ni sababu kiasili hapo sio kwao, solution ni kurudi kwny ardhi yao mama.
Wako pale tangu miaka ya 1800 na kabla ya uhuru leo unaambia sio raia, akili za kipuuzi kama hizi ndio maana migogoro ya kipumbavu Africa haiishi, ukabila wa kishamba kama wako utawamaliza wajinga kama wewe
 
Nchi yao iwafurushe waende wapi? kwa akili ya Congolese kama wewe ndio maana wanapigana, nawaunga mkono sana M23 na ikibidi sasa wasiishie tuu kuwatoa, wajikatie kipande chao watangaze uhuru kabisa then vita ianze kupigwa rasmi kam Eritrea na Ethiopia or Sudan na South Sudan, huwezi kuwafanyia wananchi wako genocide ukafikiri na wewe utapona
Genocide gani wanafanyiwa? RPF mnashambulia raia halafu mnaeneza propaganda kwamba ni FARDC. Asiefahamu janja yenu mtamyumbisha.
 
M23 wakamata mji wa Kishanga tena, Jeshi la Congo na washilika wake FDLR,MAIMAI NYATULA,CODECO,MAIMAI YAKUTUMBA NA WAZUNGU MERCENARIES waliopewa kazi na DRC wakimbia.

M23 yatangaza vita rasmi kupambana na hivo Vikosi kwa kuwa wanafanya Mauaji ya kuwalenga Watusi,Hema na wanaozungumza Kinyarwanda kwa ujumla yani Genocide!.

Serikali ya DRC ICC inawasubilia.

View attachment 2497047View attachment 2497050
View attachment 2497051View attachment 2497052View attachment 2497053
Mr. Putin kumbe na wewe ni Mtusi!
 
Boss unaonekana uko hapa kueneza propaganda tuu na unaonekana hupendi watusi
Watutsi wachukiwe kwa sababu gani?
Yani kati ya hundreds of tribes hapa Afrika Watutsi wachukiwe kwa lipi walilonalo. Kuna mtu anahangaika kuchukia kabila linalokaa kwenye nchi ya 26,000 km2. Nchi sawa na nusu ya Selous game reserve, ambayo zaidi ya nusu ya Watanzania hawajui hata iko mkoa gani?

Hayo matumizi mabaya ya chuki
 
hao watusi kwa nin wang'ang'anie kukaa kweny nchi ambayo kiasili sio yao? Nchi yao rwanda si ipo lakn? Hata kama ni sababu serikali ya congo imewaharass, ni sababu kiasili hapo sio kwao, solution ni kurudi kwny ardhi yao mama.
Serikali ya Congo haiui Watutsi wala Wahutu. Congo ina makabila zaidi ya 200 haijawahi taka kuua hata mojawapo. Ni Rwanda tu yenye makabila matatu, mawili kati ya hayo yanawindana
 
Back
Top Bottom