Tetesi: M23 wamepewa kichapo na wamerudishwa nyuma baada na za Vikosi Maalum vya DRC kuingia Goma

M23 hawataki kuwasikia JWTZ wanakwambia "hawa JW NI hatari wanapiga usiku, mchana, jua mvua wao wanapiga tu hujui hata wanakula na kulala saa ngapi? NI wao ndio walituondoa" kile kipindi walichopigwa wakakimbilia Uganda [emoji3][emoji3]

hahahaha tuache kuishi kwa historia, mfumo wa vita umebadirika sana sasa hivi.
Na tuwe makini sana kujiingiza kwenye hizi vita, kuna watu wana hamu sana na sisi.
 
Hahahaha,khaa umesikika Mkuu
 
Watu wa mashariki mwa DRC hawathamiwi hata kidogo na wale wa kuanzia Mbuji-Mayi kuelekea mashariki up to Kinshasa ndiyo maana unakuta loyalty kwa M-23 upande wa Eastern DRC inakuwepo kwani vinginevyo wangekuwa wameshamalizwa kitambo.
 
Mkuu,
Kwenye falme za zamani watawala wa falme ndio waliongoza battle field mfano kina mfalme daudi pia hata kule Korea kina JUMONG.

Ni kawaida kwa kamanda alie iva vizuri kutamani kuongoza askari wake kuwapa molari mstari wa mbele vitani..
 
Jana jioni breaking news Goma imeangushwa sasa unakuja habari nyengine, chanzo chako ni mashaka mashaka ueandika na kujithibitishia mwenyewe
Niwekee thread hiyo unayodai niliweka jana kuwa Goma imeangushwa
 
I was waiting for this comment, at least wewe unaifahamu historia ya jeshi la DRC and the then Zaire. Wengi humu hawaelewi historia wala kinachoendelea muda huu, wanahisi wanabishana mambo ya CCM vs CHADEMA yaani ushabiki zaidi ya uhalisia.
 
Hivi ikija timbwili kama hili,mtaweza kuhimili? Mapambano ya miaka yote yaani ukiamka ,ukilala ni bunduki tu
Mkuu nadhani hiki ulichosema ndicho kinawafanya watu waseme DRC ina jeshi dhaifu miaka yote wameshindwa kuwaeliminate m23, maana nchi yoyote inayojielewa na ina jeshi imara haiwezi kulea timbwili linalohatarisha usalama wa nchi yake.
 
Kwanza wenyewe kwa wenyewe hawapendani na wala hawaaminiani, watu wa Eastern hawawakubali kabisa hawa wanaoitwa Waswahili and vice versa. Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu wa za Banga alishawagawanya(divide and rule system) wakajengewa kuchukiana na kutokuaminiana na hiyo kuja kuifuta it's an uphill task, itachukua muda mrefu na waanze na watoto wadogo sumu walizopandikizwa hawa wa zamani gradually zitafifia na hatimaye kutoweka kabisa otherwise wagawane nchi yaani wa huku wa huku na wa kule wa kule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…