Marie Antoinette
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 426
- 412
Za chini ya carpet ni kwamba team ya special force ya M23 ipo mjini nyumba hadi nyumba, mtalo hadi mtalo. Kazi moja ni kunyang’anywa silaha. Ya pili wanajuana wenyewe huko hukoHakuna ndege inayoweza kutua hapo itaangushwa na Rebels sasa hao wanaopigana hapo wanasubiriwa tu risasi ziwaishie nasikia baadhi yao wamenyoosha mikono na kupeperusha Bendera nyeupe na wengine haswa wale wanaojiita "Wazalendo" ambao ni FLDR bado wamejichimbia Airport wanajua wakijisalimisha wanakamatwa na kupelekwa Rwanda kushitakiwa.
Raia wameanza kuwapokea M23 kama wakombozi.Za chini ya carpet ni kwamba team ya special force ya M23 ipo mjini nyumba hadi nyumba, mtalo hadi mtalo. Kazi moja ni kunyang’anywa silaha. Ya pili wanajuana wenyewe huko huko
Uwoga,m23 wanakuchukua,wanakuvisha jezi zao,wanakuingiza kundini kwa nguvu, wanawake hubakwa,kwenda Rwanda sababu ni karibu na pana uhakika wa usalama,hata wamarekani walipoingia iraq walishangiliwa kisha wakashambuliwaNaona raia wanawashangilia rebels, what is the meaning of this? Why are the refugees fleeing to Rwanda of all the places? Aren't they supposed to be enemies?
acha uvivu nani unampaka kazi akufanyie screen short, washa TV muda huu maandishi yanapita muda wote, aljazira, bbc, cnn nk, kama huna TV nenda kwa jiraniWeka thread uikopi hapa siyo kuniandikia maneno yasiyo na ushahidi. Au screen shot hiyo post then iweke hapa
Naongea kwa kiburi sana,hakuna watu wenye hamu ya vita na Tanzania kwa sababu mbili.hahahaha tuache kuishi kwa historia, mfumo wa vita umebadirika sana sasa hivi.
Na tuwe makini sana kujiingiza kwenye hizi vita, kuna watu wana hamu sana na sisi.
Too good to be true.Inaripotiwa kuwa, mpaka majira ya saa 5 usiku, waasi wa M23 wameshindwa kuushika mji wa Goma na wameanza kuzidiwa.
Hii ni baada ya askari wa ranks za captain na Lieutenants kuoongoza vikosi vya jeshi la Kongo baada ya majenerali na wengine wa vyeo vya juu kukimbia.
Rwanda afanye mazungumzo na FDRL wamalize tofauti zao, vivyo hivyo na Congo, eneo hilo liwe na amani."Wazalendo" waliotekwa wote ni FLDR walikuwa recruited na Tshisekedi kwa lengo la kufanya Genocide nyingine Kongo.
So called Wazalendo ni Interahamwe ni vipi Jeshi letu JW lipigane bega kwa bega na Interahamwe.
Iundwe tume ichunguze hii blunder.
Haya, tayari umeeleweka. FDLR hiyo subiri kidogo tuone. Ila utasubili sana.Rwanda afanye mazungumzo na FDRL wamalize tofauti zao, vivyo hivyo na Congo, eneo hilo liwe na amani.
Nasisitiza, ni busara kila upande kuongea na waasi wao.Haya, tayari umeeleweka. FDLR hiyo subiri kidogo tuone. Ila utasubili sana.
Na Kongo nayo ifanye mazungumzo na M23.Rwanda afanye mazungumzo na FDRL wamalize tofauti zao, vivyo hivyo na Congo, eneo hilo liwe na amani.
Naam, ndo nilivyosema..."na vivyo hivyo Congo".....Na Kongo nayo ifanye mazungumzo na M23.
Uongo mtupu Jeshi la DRC ni mdebwedo dubwi debwee dubwana 🤣🤣🤣Inaripotiwa kuwa, mpaka majira ya saa 5 usiku, waasi wa M23 wameshindwa kuushika mji wa Goma na wameanza kuzidiwa.
Hii ni baada ya askari wa ranks za captain na Lieutenants kuoongoza vikosi vya jeshi la Kongo baada ya majenerali na wengine wa vyeo vya juu kukimbia.
KAMBA/UONGOJanuary 20, 2025 Congo walikuwa na ibada ya kumuomba Mungu awatie imani Tanzania iwasaidie,Wacongo wanaamini mgogoro wao ulipofika Mungu pekee kupitia Tanzania ndiyo msaada uliyobaki uki M23 ikiwa imeshakuchukua maeneo muhimu
Januari 22,Mkuu wa Mafunzo na Oparesheni za Kivita wa JWTZ,Meja Jenerali Ibrahimu Mhona,akiambana na Mkuu wa Itifaki Kimataifa wa JWTZ Meja Jenerali,Mbaraka Naziady Mkeremy,walifanya ziara fiche kwenda Congo.kilichofata vilishushwa vyuma hatari
Hadi jana asubuhi maeneo mengi yamekombolewa,wakongo wengi wanashangilia Tanzania Tanzania,Tanzania Wakongo wanaamini anayeratibu machafuko kwao ni Rwanda.Rai yao Rwanda apigwe ili kukomesha vurugu
Goma leo imekuwa na shangwe kubwa kumbe watz watu wa maana tunaogopwa sana aisee Mungu awalinde wapiganaji wetu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania