Vuta picha ndiyo wamepewa uraia wa Tanzania halafu yupo hivyo!Naunga mkono hoja jamaa ni mnyarwanda.
Hatofanikiwa.Ila Paulo yupo serious bila aibu na hii expansion movement yake
Kwa KAGAME, halafu wakiguswa kidogo kwa nini wanikimbilia mauwaji ya Kimbali?. Tanzania inauza mafuta sana Congo hasa AGO/PMS, pamoja na kusarisha sana mizigo hali ikiwa mbaya sana mapato yatapungua.Vuta picha ndiyo wamepewa uraia wa Tanzania halafu yupo hivyo!
Kule Congo watutsi wenzake M23 wanataka wawepo kwenye mamlaka ya serikali ya Congo na jeshini.
Kwa mfano wa wazi wa huyu mtutsi wa hapa Jf unafikiri hao M23 wakipewa wanayoyataka huko Congo watakuwa watiifu kwa nani? Kwa Congo au kwa Kagame huko kwao Rwanda?
Inategemea mifumo na ideology.Congo ni nchi yenye mfumo wa jeshi mbovu sana sasa afisa mwenye rank ya major General anaendaje front line kuongoza mapigano. Hao junior officers wanakazi gani mpaka senior officers kama brig general na major general waokaongoze vita ndiyo maana yule Gavana major general kauawa
Mbona wewe unaupenda Uarabu nimeshawahi kukuita Arab Slave?!Hata uruke uruke vipi bado haiondoi maana kuwa wewe ni mhaini wa hili Taifa.
Unaupenda Ututsi kuliko utanzania. Uwepo wako kwenye taifa la Tanzania ni najisi.
Kuna options mbili, kuwapiga rebels au kuongea nao. Option ya kwanza huwa ni kuwapiga mkiona hilo la kuwapiga mmeshindwa ndiyo mnaongea nao and there you'll have to make concession.Hints. Rwanda iongee na watoto na wajukuu wa wauaji.
Rwanda isihatarishe amani ya Congo kwa kisingizio cha kuwaangamiza FDRL.
Btw, Rwanda inavoshuri Congo waongee na M 23, kwanini wao wasiongee na FDRL?.....KILA UPANDE UONGEE NA WABAYA WAO ENEO LIPATE AMANI.
Acha ushabiki maandazi, unamshambulia mtu badala ya ku-challenge hoja?WEWE SIO MTANZANIA.
KINACHOFANYIKA NA RWANDA DRC NI UPUMBAVU.
Hali ikoje kwa sasaIkawe heri kama ni kweli,,, na pia nasikia baba wa majeshi Africa ya mashariki JWTZ nao wametia timu kwenda kupiga tafu hawa ndugu zetu wakongo , wanachojua kukata viuno na kupaka mkorogo ila kulinda nchi yao aaaah
Jeshi lenu na nani we mwanamgambo wa M23 unaleta propaganda za kigaidi hapa Kagame ajiandae kupokea kipigo"Wazalendo" waliotekwa wote ni FLDR walikuwa recruited na Tshisekedi kwa lengo la kufanya Genocide nyingine Kongo.
So called Wazalendo ni Interahamwe ni vipi Jeshi letu JW lipigane bega kwa bega na Interahamwe.
Iundwe tume ichunguze hii blunder.
UJINGA.Acha ushabiki maandazi, unamshambulia mtu badala ya ku-challenge hoja?
Don't take this shit personal, au nawe ni Mhutu au Mkongoman🤣🤣?
ShiiiihhhhInaripotiwa kuwa, mpaka majira ya saa 5 usiku, waasi wa M23 wameshindwa kuushika mji wa Goma na wameanza kuzidiwa.
Hii ni baada ya askari wa ranks za captain na Lieutenants kuoongoza vikosi vya jeshi la Kongo baada ya majenerali na wengine wa vyeo vya juu kukimbia.
.Mkuu vunga....usimwage mucheleJeshi lenu na nani we mwanamgambo wa M23 unaleta propaganda za kigaidi hapa Kagame ajiandae kupokea kipigo
Rejea post no. 123 na 135Aliewazuia hao FDLR kurudi kwao ni nani?
Kibarua wewe usiyejua biashara wewe umezoea kuajiriwa lofa weweWe kahaba la Goma sikia nikupashe upashike!
Walishindwa vipi kuhamisha biashara zao?
Hata sura yake tu imekaa kibwegeHuyu bwege alikuwa uber driver pale Brussels, hana uwezo wa kutawala nchi. Ni mwongo mwongo tuView attachment 3216469
FDRL wako Kongo anaongeaje na wakongo?Rwanda afanye mazungumzo na FDRL wamalize tofauti zao, vivyo hivyo na Congo, eneo hilo liwe na amani.
Mobutu ndio alifanya makosa,halafu kabila snr ndio akavuruga kabisa,TZ hao wakimbizi wa rwanda,burundi na congo wapo zaidi ya miaka 50 wapo camp tu,wanazaana humo humo lakini hawaesabiki kama wa TZ,imagine wangeachiwa kama walivyoachiwa congo saa hizi wangekua wanaclaim kagera na kigoma ni ya kwao while wakati wanakuja kiukimbizi miaka hiyo waliwakuta watu pale,tutsi sio watu wazuri hata kidogoVuta picha ndiyo wamepewa uraia wa Tanzania halafu yupo hivyo!
Kule Congo watutsi wenzake M23 wanataka wawepo kwenye mamlaka ya serikali ya Congo na jeshini.
Kwa mfano wa wazi wa huyu mtutsi wa hapa Jf unafikiri hao M23 wakipewa wanayoyataka huko Congo watakuwa watiifu kwa nani? Kwa Congo au kwa Kagame huko kwao Rwanda?