MBOKA NA NGAI
JF-Expert Member
- Jan 31, 2025
- 350
- 576
Taarifa zinazotoka mjini Goma, ni kukamatwa kwa watu kutoka Afrika kusini, waliosafiria Passport za Tanzania, kuelekea Goma.
Inasemekana, lengo lilikuwa kudukuwa mifumo ya ulinzi inayolinda anga la Rwanda.
Kupitia picha zinazosambaa, inasemekana walipofika Goma, walitumia magari ya MONUSCO.
Vyombo vya usalama na Intelijensia ya M23,iliweza kuwakamata na mpaka sasa, wapo mikononi mwao.
Inasemekana, lengo lilikuwa kudukuwa mifumo ya ulinzi inayolinda anga la Rwanda.
Kupitia picha zinazosambaa, inasemekana walipofika Goma, walitumia magari ya MONUSCO.
Vyombo vya usalama na Intelijensia ya M23,iliweza kuwakamata na mpaka sasa, wapo mikononi mwao.