Ma-TO walipofunikwa na Sylivester Mwageni (True mathematician)

Noma sana enzi hizo nilifanikiwa kusalimiana na vipanga hawa kuna mjusi mmoja anaitwa ndege ulaya hivi huyu mdudu unampata...blaza
 
Uyo martin anafuatilia ata Mpira kweli..?manake izo sifa sasa...inaonyesha namba Moja ndo tabia take kuanzia vidudu had I phd
 
Yaani hizi mbwembwe zinazosambaa hapa mara T.O sasa mbona yakija mashindano ya kitaaluma yanayoshirikisha nchi mbalimbali kama yale ya ZAIN yaliyokuwa yanafanyika huko Kenya wabongo ilikuwa aibu tupu? kila sali PASS,PASS sasakama hawa ma TO bongo huwa wapo ama waliwahi kutokea kwa nini unbabe wao kwenye sehemu kama hizo hatuuoni?
 
Hahaha
ule ubishi pale Mchikichini kwa Moody Physics kwa hawa jamaa ilikuwa hatari.

Huyo Babu na Gwamaka walikuwa wanasoma namba kwa jamaa mmoja anaitwa Log,

Ilikuwa hatari
G hakuwahi kusoma mchikichini wala kwa logman. Kilichokua kinambeba Babu ni sifa sifa tu ambazo watu walikua wanampa, Azania kwenyew paper ya form 2 alipitwa, kuna watu walikua very smart ila hawana kelele, ila huyo Babu alikua anapigiwa kelele nyingi sana.. Paper ya form ya hesbu nakumbuka alipata 99..mm nilipata 97 lakini hzo sifa alzokua anapewa zilikua too much, G was the best jamaa yupo cool.. No wonder ametoka na first class ya civil engineering ya CoeT udsm
 
Ila tofouti na kukamia ila jamaa yuko so talented n humble.... Nadhani muda si mredu ataanza kula mema ya nchi juzi kati alikuwa U.S.A for 3 months kuna meeting fulani alienda na ma prof taratibu fursa zinamfuata jamaa....
yah vijana wa pale wengi ni unique na pia hawawabanii wenzao fursa ndo maana kama mtu akiwa yuko nje ikatokea nafasi au competition bas huileta pale kibaha straight kwa madogo!!!!!! mfano kuna jamaa alikua yuko oxford univ..sasa kulikua kuna competition ya kuandika idea flani ya ubunifu na winner kuchukua usd 1000( kwa viwango vya enzi zile) basi jamaa akaipeleka kwa madogo th madog wakawin...

hii inasaidia kujenga umoja na kuipeperusha shuleee
 
OLEV 2009 iMMACULTE ALIKUWA WA KWANZA na FAITH akawa wa 7 .
ALEV FAITH akawa wa kwanza na IMMACULATE akawa wa 5

ila mazee advance level ni pagumu especially kama mtu unachukua masomo ya sayansi, kuna watu nawafahamu wameondoka na div 1 ya 8, div 1 ya 12 "o' level lakini walipofika advance wengi wamepata division 2, division 3, na division 4 wachache waliofaulu wamepata div 1 ya 8 advance, its a sad life man Deadbody theriogenology
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…