Lighton
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 1,424
- 2,333
Mfano Baba kumnyunda mtoto wake ni kinyume na maadili ya kibinadamu lakini Kuna wababa kadhaa Duniani wamewanyunda mabinti zao na imekuwa unyama tu, hakuna madhara yoyote waliyoyapata sanasana unakuta mtoto anautaka Tena au baba kanogewa.Nadhani suala la mvutano lipo kutokana na kutofautiana mitazamo kiimani. Ila kwenye suala la maadili kila dini inatetea maadili kwa namna wanavyoyaainisha wao. Na kuna wanafalsafa ambao waliainisha nadharia tofauti kuhusu maadili, mfano Plato na Alstotle wanaamini maadili hutokana na tabia au sifa za mtu (virtue characters), ipo pia nadharia ya kwamba ili tujue kuwa kitendo fulani ni maadili tuzingatie matokeo ya maamuzi fulani, nk
Lakini kwenye common sense tunasema, mzee na mtoto wake wote ni hayawani, kwasababu ni kinyume na fahamu timamu za kibinadamu.