Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Hujakatazwa kumuombea,Kwani hutaki tumwombeee? Huyu si ni wa sisi wote?
Wewe muombee aendele kuwa na afya njema akuletee maendeleo wewe pamoja na hilo genge lenu la wahuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujakatazwa kumuombea,Kwani hutaki tumwombeee? Huyu si ni wa sisi wote?
Ndio mnavyodanganyana katika hilo kundi lenu?Crimea leo kaingiza mkwanja wa nguvu kuliko wote wa Lumumba. Maana hulipwa kwa idadi ya jumbe zilizotumwa JF na kwingineko.
Leo amesaini mafaili mangapi? maana siku za nyuma mlituonyesha akiwa amezungukwa na mafaili kila kona ya meza yake.Hujakatazwa kumuombea,
Wewe muombee aendele kuwa na afya njema akuletee maendeleo wewe pamoja na hilo genge lenu la wahuni
Nakujibu kwa sababu unanijibu na huu ni mjadala umeletwa hapa tuujadiliFanya mengine, kwani lazima ujibu ujumbe wangu?
Haya basi na kesho utuletee up dates za maendeleo yakeNakujibu kwa sababu unanijibu na huu ni mjadala umeletwa hapa tuujadili
Nenda ofisini kwake ukapate ripoti. Au la subiri uone matokeo ufanyaji kazi wakeLeo amesaini mafaili mangapi? maana siku za nyuma mlituonyesha akiwa amezungukwa na mafaili kila kona ya meza yake.
Ndiyo Ukweli WenyeweMaadili hayajashuka, Ila watu watakutreat kulingana na wewe unavyowatreat.
What goes around comes back around. Tusitafute mchawi.
Amen Man Of God.Hujakatazwa kumuombea,
Wewe muombee aendele kuwa na afya njema akuletee maendeleo wewe pamoja na hilo genge lenu la wahuni
Siyo jamii bali ni wajinga wachache sana wenye hasira za mbelgiji kupigwa kwenye uchaguziKwanamna matamshi yanayotoka kwa viongozi wetu,inawezekana ndiyo wamesababisha jamii kuwa hivi.....kuanzia madc-state house lugha zinazotumika zinachangia usugu wa hiki kizazi cos saizi kuna reasoning tofauti na enzi za early 1990's.......na technologia hii ndiyo inaongeza uelewa zaidi kwa kizazi hiki
Hata chadema sasa hivi wanashangilia uvumi wa rais kuumwa!
Ndio Lissu atakuwa Rais?Hamna mtu anashangilia uvumi, bali wengi tunaomba kila siku parapanda lililie jizi lolote la kura litangulie ahera.
Sasa kama hamjitambui unataka sisi tufanyaje?Tugongwe kwani mna uwezo wa kushindana kisiasa, au kugongwa kwa maagizo ya mlevi wa madaraka,?
Hujakatazwa kumuombea,
Wewe muombee aendele kuwa na afya njema akuletee maendeleo wewe pamoja na hilo genge lenu la wahuni
Sasa kama hamjitambui unataka sisi tufanyaje?
Lazima uchaguzi ukija tuwapige za uso
Wewe endelea kufyatua majengo ukiamini hospitali ni jengoKundi dogo sana la chadema haliwezi kumfundisha mtu jinsi ya kuishi