Dawa ya Uvccm
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 2,223
- 4,717
tusingekuwa na hoja hivyo hata mikutano tusingefanya maana wananchi wangewa na maisha bora lakin kitendo cha watoto wa kitila mkumbo na madelu kuwa BOT na TRA ndio moja ya hoja zinazotufanya tufanye mikutano ili kuwaondoa watu kwenye kaz za laana kama bodaboda.Sasa tujibu hao watoto wa viongozi huwa wanajazana hapo kwenye hiyo mikutano au hao wenye kazi za laana ndio hujazana na kusimama juani kwenye hiyo mikutano? Unafikiri hao wote wangekuwa wanafanya kazi huko BOT na TRA hiyo mikutano yenu mngewajaza akina nani?
Mbona unawafanya kama bodaboda wote ccm kwani si wengine wamemsindikiza Lema? Ina maana ni chadema hao wanaipigia kura chadema ila malipo yao kutukwanwa.watafanyaje boda wako wangapi nchi hii waendelee kuchagua ccm waone watakavyoendelea kupigika kwa upuuz wa ccm.
Hapa ndio unaona umeandika neno la maana eeehKwahiyo na mumeo naye ni bodaboda?
We kweli chizi huko nchi zilizoendelea tu bado kuna wapinzani wapo na wana hoja ndio itakuwa Tanzania?tusingekuwa na hoja hivyo hata mikutano tusingefanya maana wananchi wangewa na maisha bora lakin kitendo cha watoto wa kitila mkumbo na madelu kuwa BOT na TRA ndio moja ya hoja zinazotufanya tufanye mikutano ili kuwaondoa watu kwenye kaz za laana kama bodaboda.
Kama kundi lenye lahana la walimuKundi hili limekuwa likitumika sana, na hapa wanaendelea kutumika.
Huyu atakuwa askari wa zenji maana muda wote anawaza habari za mume tu.Hapa ndio unaona umeandika neno la maana eeeh
Askar wa zenji bhna sijui unashida gani.
Mafuta ya 10,000 plus 5,000 kilinda mfuko hata kama mimi ndo bodaboda naenda Tena mapeeeemaa...!!!Afisa usafirishaji.
Huwa anasema linaloujaza moyo wakeHuyu atakuwa askari wa zenji maana muda wote anawaza habari za mume tu.
Afisa usafirishaji.
Hah[emoji23][emoji23][emoji23]maafisa wa mchongo....
Hiyo bodaboda ni option yao, shughuli zengine za kufanya zipo ila wao wamechagua hiyo bodaboda tena wengine wameacha ajira za viwandani na kununua bodaboda.Hakuna viwanda na nafasi zilizopo wamezikosa
Hata Malaya wanaojiuza ni option zao, wameacha kazi nyingi tu.Hiyo bodaboda ni option yao, shughuli zengine za kufanya zipo ila wao wamechagua hiyo bodaboda tena wengine wameacha ajira za viwandani na kununua bodaboda.
We askari wa zenji nishwambia hizo nafasi hazitoshi watu wote, tufanye bodaboda wote wana sifa za kuweza kufanya kazi huko TRA n BOT je inawezekana kwa bodaboda wote kutosha kwenye hizo nafasi?Huna akili, kuna bodaboda wana masters, sifa ni kwa watoto wa Mawaziri, RCs, RASs, DCs, DASs, wabunge na vigogo wengine? au nafasi ni special kwao tu?
Ndio upo sahihi kabisa, ila ujambazi na umalaya si kazi halali.Hata Malaya wanaojiuza ni option zao, wameacha kazi nyingi tu.
Hata Majambazi nao wamefanya options
Laana kivipi!?..laana ni nini!?..unalinganisha bodoboda na wauza k!?Kazi za kilaana hizo ni vile tu.hawana namna