mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Mama mwenye ujauzito wa miezi minne Jamila Hamisi (34) mkazi wa mtaa wa Remtula kata ya Elerai Jijini Arusha, amedai amejeruhiwa macho yake kwa kupigwa ngumi za uso na mume wake baada ya kutokea mzozano kati yao desemba 27, 2022.
Jamila ameliomba Jeshi la polisi mkoa wa Arusha limkanye mwanaume huyo ili aweze kuendelea kuishi naye kwakua bado ana upendo naye.
Hawa ndio wanaishiaga kugawana majengo ya serikali - warudiane kisha mmoja aishie mortuary mwingine jela
Jamila ameliomba Jeshi la polisi mkoa wa Arusha limkanye mwanaume huyo ili aweze kuendelea kuishi naye kwakua bado ana upendo naye.
Hawa ndio wanaishiaga kugawana majengo ya serikali - warudiane kisha mmoja aishie mortuary mwingine jela