Zanzibar 2020 Maalim Seif akamatwa wakati akienda kupiga kura ya mapema

Zanzibar 2020 Maalim Seif akamatwa wakati akienda kupiga kura ya mapema

hata wazanzibar wote wapigie kura upinzani bado atatangazwa Mwinyi kashinda
Lengo ni kwamba mgombea wa upinzani ataki muungano ccm awawezi kumpa urais Maalim Seif Zanzibar labda kama angegombea mtu mwingine...
Porojo tupu, ila maalim hawezi kuwa Rais wa Zanzibar. Hakuna Tanzania bila Zanzibar, hakuna Zanzibar bila Unguja na Pemba. Huyo maalim hata akiwa Rais atakuwa rais wa Pemba sio wa Zanzibar. Wazanzibar wameapa kulinda Mapinduzi matukufu na Muungano. Busara ni kutii sharia bila shurti. Maalim atawatanguliza wengi mbele ila yeye kamwe hataweza kwenda mbele kwa lolote including maandamano.
 
Watu maalumu ni wale ambao wanakuwa na majukumu siku ya Uchaguzi

Hili lipo kisheria

Hao watu maalum kesho wanaenda kupiga kura kumchagua Raisi wa JMT na wabunge. Hakuna hoja ya msingi zaidi ya kutaka kuitawala Zanzibar kimabavu.
 
Hivi Wazanzibari neno kujitoa mhanga hamjawahi kulisikia? Au njia ile iliyomtoa Karume madarakani 1972 mmeisahau?
 
Mithali 34:14
Haki huinua Taifa na dhambi ni aibu ya watu wote

Pia imenenwa kuwa AMANI NI ZAO LA HAKI

Tunapaswa kama Taifa tujiulize je HAKI tunaitenda wakati tunahimiza tudumishe AMANI?
Hakuna taifa dunian linalotenda haki,mataifa yote yanafata katiba ambayo ni msingi wa sheria zote pamoja na kanuni za nchi husika.
 
Inasemekana Maalim Seif Sharif Hamadi amekamatwa na polisi huko Zanzibar baada ya kwenda kupiga kura yake katika kituo cha kupigia kura cha Mtoni Garagara..

Jeshi la Polisi limekana kukamatwa kwake. Sasa atakuwa amekamatwa na nani?
 
Kundi maalum ndio la kina nani?
3A3CFFCE-BCA5-469E-B93C-664004EF76DB.jpeg
 
Kwa mujibu wa ZEC: ni baadhi ya maafisa wa Tume ya Uchaguzi, maafisa wa vyombo vya ulinzi na usalama na watu wenye ulemavu
usisahau hilo kundi na umaalumu wake litapiga tena kura kesho ya muungano kituo kile alichopiga leo, kama ni maalum basi walipaswa kupiga kura zote.
 
Kwa mujibu wa ZEC: ni baadhi ya maafisa wa Tume ya Uchaguzi, maafisa wa vyombo vya ulinzi na usalama na watu wenye ulemavu
Na wala hakuna list ya majina yao wala idadi ya hao watu maalumu iliyotolewa na ZEC kwa mujibu wa maelezo ya Maalimu,sasa hapo ndipo unapokuja utata wa hao wanaoitwa kundi maalumu.
 
Kwa nini akamatwe wakati anatimiza haki yake ya kiraia ya kupiga kura ?
Raiya wote wanapiga kura kesho, leo nikwaajili ya watumishi watakao simamia uchaguzi kesho na yeye ana lijua hilo.

Ameenda leo makusuditu ili kupata tension.
 
Mimi naona kama vile hata polisi wanampaisha Maalim,wataacha watu wakapige kura za hasira na huruma.

Ninadhani hatayeye alijuatu kama atakamatwa hivyo kwake nikama kete ya ushindi
"Vijana nyinyi ndio wenye nchi hii msitumiwe na wanasiasa kuleta uvunjifu wa amani, kwa mfano jana usiku Zanzibar kule Pemba, kuna vijana wakati tunasambaza masanduku ya kupigia kura, wameanza kufanya fujo,kutupa mawe...hao baadhi ya vijana wamekamatwa ".#IGP_Sirro.
 
Na wala hakuna list ya majina yao wala idadi ya hao watu maalumu iliyotolewa na ZEC kwa mujibu wa maelezo ya Maalimu,sasa hapo ndipo unapokuja utata wa hao wanaoitwa kundi maalumu.
Harafu kundi maalumu why uchaguzi huu tu. ?Kimkoa chenyewe kina watu 500,000 or so😄
 
Back
Top Bottom