Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Asante sania wewe dada...nataman nikupe zawad...siku zote humu watu wanakuja na magumi yao waja wanashauri leo hii anaanbiwa tumskilize na mume hahahahaMadame, ushauri wote unaotoaga humu huwa unakuwa umepata stori ya upande wa pili?
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha fanya unipe tu hiyo zawadiAsante sania wewe dada...nataman nikupe zawad...siku zote humu watu wanakuja na magumi yao waja wanashauri leo hii anaanbiwa tumskilize na mume hahahaha
Labda atakusikia lakini sometimes nahisi anaftahisha genge[/QUOT
Labda atakusikia lakini sometimes nahisi anaftahisha genge[/QUOT
Nataka nifanye maamuzi magumu ya kuachana na huyu Mwanaume, nahofia kitu kimoja
1) Ukweni kwangu pamoja na mume wangu hawana dini yaani ni waganga sana. Je watanibakiza?
2) Nilitolewa mahari mil 1.6 bi mkubwa ameshakula na taratibu za kisukuma ukiolewa kama haujazaa mahari inarudi na faini juu, nafanyaje?
3) Jamaa nampenda japo simuhitaji nitaweza kusahau na kurudi katika hali ya kawaida?
Sababu za kumuacha
1) Sielewi nina roho mbaya au vipi lkn nahisi hii hali imenichosha.Mume wangu hajali sana kuhusu mimi wala maitaji yangu wala mahitaji ya familia lkn 90 anajali ndugu zake.
Before sijaishi nae nilikuwa nina kipharmacy changu ambacho kilikuwa kinanitosha tu kwa mahitaji yangu baada ya kunioa kimila ikabidi nimfuate mkoa mwingine na duka kuajiri mtu ambapo huwa naenda kukagua biashara baada ya mwez 1 japo mapato yamepungua Sana.
Kinachoniuma nimemuomba sana mume wangu anifungulie biashara huku nilipomfuata kutokana na fani yangu amekuwa mgumu sana ananiambia kaa tu kwanza so nimekuwa mtu wa kukaa tu ndani sina kipato chochote zaidi ya hicho kidogo nachopata nacho nakuweka kwenye ac ya familia.
Nina mtoto ambae nilizaa before yupo kwa mama angu nashindwa hata kutoa matumizi nyumbani kwetu kipato Sina,
Kinachoniuma mtaji sipewi lkn jamaa kila kitu anahudumia kwao tu.
3) Tangu mwaka Jana mwez wa 11 afya yangu sio nzuri naumwa mambo ya kizazi nimetibiwa hospitali za wilaya bila mafanikio ameshindwa hata kunipeleka kwa madaktari bingwa wa wanawake najua mwenzangu hana hela leo nimeshika simu yake nimeumia sana kuona salary ya mwezi huu imeingia mil 2 .3
Anajenga kwao hata kunipeleka hospital za maana hakuna kweli jaman?
Tangu kanioa hajaninunulia hata chochote juzi nipo nyumbani nilikuja kimatibabu mama akanipa hela nikanunua nguo jamaa nimemwambia kafurahi tu.
Kilichoniuma zaidi Leo, mwaka Jana tulilima mpunga kwa ajiri ya kuongezea tununue kiwanja tukapata magunia Kama 20 tu lao yameuzwa hela zinaweka milango kwao hata kupewa elf 50 ya nguo hakuna Wala kupewa tu taarifa hamna nimeumia Sana.
Yaani 15% tu ya kipato chake anatoa katika familia lkn 75% ya kipato chake anapeleka kwao.
Jamaa ni mhanisi TANESCO lkn ndani tunakalia viti na meza vya baa ukimwambia tununue kitu kwa ajiri ya ndani hataki.
Binafsi naona napoteza muda tu acha nikapambane kivyangu.
Naombeni ushauri namuachaje?
Vumilia kwa mumeo wewe hyohyo kazi ya uganga ndo inawafanya mnakula. Huenda uliingia kweny ndoa bila kujua kaz yake maalum.Nataka nifanye maamuzi magumu ya kuachana na huyu Mwanaume, nahofia kitu kimoja
1) Ukweni kwangu pamoja na mume wangu hawana dini yaani ni waganga sana. Je watanibakiza?
2) Nilitolewa mahari mil 1.6 bi mkubwa ameshakula na taratibu za kisukuma ukiolewa kama haujazaa mahari inarudi na faini juu, nafanyaje?
3) Jamaa nampenda japo simuhitaji nitaweza kusahau na kurudi katika hali ya kawaida?
Sababu za kumuacha
1) Sielewi nina roho mbaya au vipi lkn nahisi hii hali imenichosha.Mume wangu hajali sana kuhusu mimi wala maitaji yangu wala mahitaji ya familia lkn 90 anajali ndugu zake.
Before sijaishi nae nilikuwa nina kipharmacy changu ambacho kilikuwa kinanitosha tu kwa mahitaji yangu baada ya kunioa kimila ikabidi nimfuate mkoa mwingine na duka kuajiri mtu ambapo huwa naenda kukagua biashara baada ya mwez 1 japo mapato yamepungua Sana.
Kinachoniuma nimemuomba sana mume wangu anifungulie biashara huku nilipomfuata kutokana na fani yangu amekuwa mgumu sana ananiambia kaa tu kwanza so nimekuwa mtu wa kukaa tu ndani sina kipato chochote zaidi ya hicho kidogo nachopata nacho nakuweka kwenye ac ya familia.
Nina mtoto ambae nilizaa before yupo kwa mama angu nashindwa hata kutoa matumizi nyumbani kwetu kipato Sina,
Kinachoniuma mtaji sipewi lkn jamaa kila kitu anahudumia kwao tu.
3) Tangu mwaka Jana mwez wa 11 afya yangu sio nzuri naumwa mambo ya kizazi nimetibiwa hospitali za wilaya bila mafanikio ameshindwa hata kunipeleka kwa madaktari bingwa wa wanawake najua mwenzangu hana hela leo nimeshika simu yake nimeumia sana kuona salary ya mwezi huu imeingia mil 2 .3
Anajenga kwao hata kunipeleka hospital za maana hakuna kweli jaman?
Tangu kanioa hajaninunulia hata chochote juzi nipo nyumbani nilikuja kimatibabu mama akanipa hela nikanunua nguo jamaa nimemwambia kafurahi tu.
Kilichoniuma zaidi Leo, mwaka Jana tulilima mpunga kwa ajiri ya kuongezea tununue kiwanja tukapata magunia Kama 20 tu lao yameuzwa hela zinaweka milango kwao hata kupewa elf 50 ya nguo hakuna Wala kupewa tu taarifa hamna nimeumia Sana.
Yaani 15% tu ya kipato chake anatoa katika familia lkn 75% ya kipato chake anapeleka kwao.
Jamaa ni mhanisi TANESCO lkn ndani tunakalia viti na meza vya baa ukimwambia tununue kitu kwa ajiri ya ndani hataki.
Binafsi naona napoteza muda tu acha nikapambane kivyangu.
Naombeni ushauri namuachaje?
serious ntakupa..hii tabia ya wanawake kuzidi kuumizana jaman ife
Nasubiria [emoji12][emoji12] samehe bureserious ntakupa..hii tabia ya wanawake kuzidi kuumizana jaman ife
Kuna mawili,unaweza kumuacha na usiolewe tena au unaweza kuvumilia na maisha unayoyategemea katika ndoto zako yasitimie;bado unanafasi kubwa ya kumbadilisha mumeo kwa sababu mwanaume ni kichwa cha familia na mke ni shingo ya familia inaweza kugeuza kichwa kiangalie kushoto,kulia n.k
naja..!
lione..unamfungia nan pm๐๐๐
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] nimemfungia shemeji yakolione..unamfungia nan pm[emoji23][emoji23][emoji23]
Kama hawabadiliki hilo ni tatizo,lakini bibie ana nafasi kubwa ya kushauriana na mwenzake kama kweli walioana bila kulazimishana mbali na kuwa faragha pamoja.sio kwa hlo kabila nadhan shida kubwa ni mahari kubwa wanazopangiwa ndo wanaamua kuwakandamiza wake zzao
hawz badilika tabia ni ngozi
[emoji23][emoji23][emoji23] mdogo wangu umenena, huwa naogopa sana kumwambia mtu ondoka na nikimwambia endelea kuvumilia ataona sijali maumivu yake kwa hiyo masuala ya ndoa mimi huwa sitoi ushauri kwa kweliMimi nafikiri bado hujachoka! Mtu alochoka hasubirii kuambiwa ondoka au baki!
Naamini kwenye akili yako una maamuzi ambayo unahisi ni sahihi kwako! Hebu fanya venye moyo wako unapenda!
Pole sana mdada, kanda hiyo ni ngumu sana halafu wazazi wengine utazani hawakuwa na wazazi lakini waliishi maisha yao, jaribu kuongea naye au rudi kwenye ofisi yakoIstoshe zijasema hanipi matumiz ya mtoto ...mzazi mwenzangu keshatangulia mbele za haki
Mwanangu yupo kwa mama angu kanikuta nina biashara zangu namsomesha mtoto wangu medium lkn Sasa nimeolewa nimeacha biashara Sina kipato chochote mtoto namleaje?
Ogopa watu waliojifunika shuka moja dada kwa miaka kadhaa![emoji23][emoji23][emoji23] mdogo wangu umenena, huwa naogopa sana kumwambia mtu ondoka na nikimwambia endelea kuvumilia ataona sijali maumivu yake kwa hiyo masuala ya ndoa mimi huwa sitoi ushauri kwa kweli
Sent using Jamii Forums mobile app