Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji817]%✓Habari Wakuu!
Tangu nijiunge humu JF nimekuwa nikiwapigia chapuo wanawake wenye bikra ndio wake bora.
Asilimia 90% ya wanaume tuliooa wanawake wenye bikra hatuna kesi za ajabu ajabu ndani ya ndoa. Wanawawe sio malaya, wanaadabu, hawana tamaa ya hovyo hovyo. Wakati 10% iliyobakia ya waliooa wanawake wenye bikra wanapata mikasa na vitimbwi vya ndoa.
Hii ni tofauti na wale wenzangu na miye waliooa wanawake wasio na bikra ambao 90% wanahenyeka, wanaipata fresh ya shamba. Huku 10% ndio wakineemeka.
Wakati 99% ya wanaume waliooa single mother wakiiona dunia jehanamu, ndoa chungu na maruweruwe. Huku 1% ya wanaume waliooa single mother ndio wakienjoi.
Sisi tuliooa wanawake wenye bikra mpaka hivi leo tunapeta na wengi tunaenjoi maisha.
Faida ya kuoa mwanamke mwenye bikra
1. Hawezi kukuona kibamia
2. Kiroho mnamafungamano
3. Mtazaa kizazi kisicho cha zinaa tofauti na kuoa mwanamke ambaye tayari ameshafanya uzinzi. Ambapo mtoto wako atapitia kwenye uke ulionajisiwa na wanaume wengine na kumwagiwa manii zingine.
4. Heshima na adabu
Siku zote mwanamke anayekuheshimu atakupa kitu kipya na sio mtumba. Wanawake wa siku hizi wanawadharau wanaume kwa sababu wanaume wengi siku hizi wameamua kula makombo, kula mtumba. Mwanamke hawezi kukuheshimu ikiwa ulimuoa akiwa hana bikra. Hata Mungu mwenyewe hapendi makombo, Mungu kumpa sadaka au zawadi used ni kama umemdharau. Ndio maana akawaambia hata watu wake waoe wanawake bikra, ili wasijitie unajisi wao na kizazi chao.
5. Ukioa Bikra huwezi pata sijui mwanamke aliyetoa mimba, sijui aliyezaa.
Siku hizi wanaume wanaoa wanawake wauaji bila ya wao kujua. Unakuta unaoa jianamke lisilo na bikra kumbe tayari limeshaua watoto kwa kutoa mimba nyingi tuu. Sasa njia bora kuzuia mashaka hayo ni kuoa mwanamke bikra.
6. Mwanamke hatakuwa na Kumbukumbu za Ma-ex wake
Ukioa mwanamke bikra huna wasiwasi, unajiamini kwa sababu wewe ndio wa kwanza. Huwezi linganishwa na mwanaume mwingine kwa sababu hakuna wa kulinganishwa naye. Ila ukioa mwanamke asiye na bikra ni lazima afanye ulinganisho baina yako na wanaume waliompitia. Siku zote awali ni awali. Na siku zote upendo wa kwanza ndio upendo halisi.
Nafahamu mada hii itawaumiza wanawake wengi ambao hawana bikra na hawajaolewa, au waliombioni kuoa mwanamke ambaye hajamkuta bikra. Lakini huo ndio ukweli. Wewe kama huna bikra au uliolewa bila bikra na ukaolewa na mwanaume mwingine ambaye hajakutoa bikra basi tambua wewe ni malaya.
Sisemi malaya wasiolewe, ila lazima mtu kabla hajaoa atambue kuwa changamoto za kuooa malaya ni zipi.
Siku hizi watu wanakuambia ndoa ndoano, au ndoa uvumilivu moja ya sababu ni kuoa wanawake wasio na bikra. Kuoa mwanamke asiye na bikra yataka moyo. Yaani unaoa mwanamke ambaye unafahamu fika kuwa mwanamke huyu ni malaya yaani tayari keshalala na mwanaume mwingine. Kabla hujaoa mwanamke asiye na bikra jiulize utaweza vumilia changamoto za malaya?
Ni tofauti na sisi tuliooa wanawake bikra ambao kimsingi tunakuwa waalimu wa wake zetu tukiwafundisha kila mazuri na mabaya. Lakini unapooa mwanamke asiye na bikra basi tambua yale aliyojifunza kwa waliomtoa bikra basi anakuja ku-apply kwako.
Wakuu bikra zipo, mabinti wapo kibao wenye bikra, acheni kusema bikra hakuna, bikra zipo nyingi kidato cha tano, cha sita, chache zipo chuo.
Nafahamu kuna bikra za kutengeneza, lakini mwanamke bikra hata akili yake huwa bikra hilo ni muhimu.
Bikra matters!
Povu Ruksaa
Mkuu John henryKakuita malaya kwasabab umeonesha tabia za kimalaya!!!! Mwanamke anayejiheshimu hawezi tamka eti papuchi ni ya kusuguliwa sana!! tena unasema na mtoto ya mtoto wako itumiwe sana!!! Unaleta picha gan kwa jamii kwa hyo maeneno yako na kizaz cha baadae na ww ni mama mtarajiwa,,, binti wadogo watajifunza nn kutoka kwako kama sio umalaya kutokana na kauli yako!!
The story book "Rose Mistika"Nafahamu yote hayo, akichepuka haina shida, nitamfukuza kwa umalaya.
Nitatafuta bikra mwingine, lakini kamwe siwezi oa mwanamke asiye na bikra.
Yaani mtoto wangu apite kwenye njia iliyoingiziwa Mboolo nyingi hiyo sitaruhusu, lipo chini ya uwezo wangu.
Mkuu..hichi kitabu unasoft copy?
Sister nadhani kwa mtazamo wako hukutakiwa kuchangia hapa,pia nadhani humuelewi bwana joka jeusi,tunaposema kitu ni dhambi sio kwamba ni kwa mujibu wa mtazamo wa binadamu mwingine..mfano zinaa au tuseme umalaya hiyo ni dhambi iko wazi katika dini zoteMimi nitazungumziaje maamuzi ya watu na miili yao jamani, kwangu mimi na mipaka mtu anayejiskia kufanya na afanye tu kwa Raha zake Mimi ni Nani nihukumu wengine.
**** haina makombo, alisikika padri akihimizaHata shetani anaupendo.
Ndoa zote uzionazo zilianza kwa upendo lakini kuna upendo wa malaya sijui kama unaujua huo?
Kama anaupendo wa dhati asingekupa kitu used, na ndio maana mwanamke mwenye upendo wa dhati humpa mume wake vinono vikiwa vipya. Sasa mtu anasema anakupenda alafu anakupa K makombo duuu!
Mkuu umechanganya nyaraka (documents), Hapo wewe umeongelea HYMEN.. Ngoja nikukumbushe kidogo, kuna tofauti kubwa kati ya HYMEN na VIRGINITY.Kuna wengine wametolewa bikra na ufanyaji wa kazi ngumu au michezo ya kuendesha baiskeli wakiwa mabinti wadogo nk nk.
Hawa unawaweka katika kundi gani?
We km sio bikra tulia, maana unaforce Sana watu tuone demu asiye bikra n kawaida tuuHyo huwa mnajifariji tu haina maana yoyote hasa sikuhizi bikra xinatengenezwa na uke una banwa vizuri wewe hujui wajiona umepata
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuwa specific Bro Mambo ya kunitembeza kwenye Uzi weka mbali.
Dada ficha ficha bhac ,Yan unatamka waziwazi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji4][emoji23]Mkuu...usimuache mtoto wako awe mzinzi kwa kigezo Cha kuenjoy maisha...Khaaa SASA ULEZI GANI HUU...
yaani utamsihi akatombane afurahie maisha...Mh
Good point [emoji3578]Kuna watu naona wanahoji kuhusu kama aliyeleta mada an yy alikuwa bikra au la?? Kwa mwanaume ubikra hauna maana yoyote na pia kwa experiece yangu wanawake hawaipi upaumbele bikra kwa mwanaume kama sisi tunavyoipa kipaumbele kwa wnawake!!! Af cha msingi wanaume tunajua kutofautisha sex na hisia na hyo ndo tofauti yetu na wanawake,, mwanaume hata akicheat na ex wake na ana mke hawez kumsahau mke wake au kuondoa feelings kabisa ila mwanamke akianza kukucheat na ex wake au mtu yyte feelings zinahamia huko!!
Utakuja kutupa mrejesho ndoa inaendeleajeKuna mdau mmoja kafunga ndoa majuzi na binti fresh. Shangazi wa binti kamng'ang'ania atoe zawadi kwa kumtunzia bikra. Nimeipenda sana hii kwamba bado wako watu wanaenzi tamaduni za malezi sahihi ya binti. Hii ni heshima kubwa kwa wazazi wa binti
We km b.k zote bado unazo wasiwasi wa niniHAKUNA kitu kinaitwa bikra ya unyololo..hayo.mambo mmejitengenezwa wenyewe...Kwa kutaka kuhalalisha vilivyo haramishwa.
Wala sio kusudi langu. Heshima kwa binti huyu na wazazi wake piaUtakuja kutupa mrejesho ndoa inaendeleaje