Hilo litafanyika likitokea kwa sasa siwezi sema nitafanya nini. Mimi Ni Baba, kama nimesimamia kwamba Mke wangu nimuoe akiwa bikra na ikawa. Siwezi shindwa kuwaoza wanangu wakiwa mabikira. Mungu atanisadia coz ninafanya lililo jema
hapa anaongelewa mwanamke maada ni ya bikra.Nukuu
''Ulijuaje mkeo sio mtamu kama hukuwahi onja vya nje."
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
hahahaaaaaaaaaaaaaa usinitishe mkuu,atakayenioa ni mtu ambaye tunashibana na kuelewana kwenye mambo mengi..kwa hili lako nimeshangaa hata yeye atashangaa,na wala sio kuwa napinga tu ni kweli nashangaa at this time mtu anaweza kuwa na mawazo kama yakoβ¦..sio kosa,lako umelelewa kwenye misingi ya dini iliyopitilizaβ¦.again,sikushangai kama kuna wanaoua kwa sababu ya dini...
Mi nimekuelewa mkuu,ila pokea tu pole yanguIla kwa kweli mwanamke bikira mimi sioi.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mungu akupe upendalo
hahaha naona umelikwepa..wewe nawe ni 'baraka' kwa wazazi wako??lol
sasa tuambie kutokana na experience yako,labda tuna ya kujifunza...
Umeshampata bikira unayemtafuta umuoe,lol
Ana miaka mingapi?
usifanye wakaka wa watu humu wakafuata maelezo yako..
wakaendelea kuota kuoa mabikira...
kumbe mtu mwenyewe anaongea mambo ya nadharia tu...
Mkuu
hapa anaongelewa mwanamke maada ni ya bikra.
Sio mapya whitehorseMmh mapya[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Hili swali nilishalielezea huko nyuma. Mimi nipo na mwanamke niliyetoa bikra mwenyewe. Siwezi kwenda kinyume na kile ninachoamini na kile ambacho Mungu ananitaka nifanye
nitaliwa tu
Usipojaribu huwezi ku-declear kuwa umeshindwa. Tatizo tayari unadhana ya kushindwa nafsini mwako. Na ndiyo maana unaona ugumu.mkuu kuwakagua watoto?? ndio unaona nasaha?? wewe ukiwa na wanao utwakagua bikra zao???...mbona mnaongea vitu kama vile mnaishi sayari nyingine wakuu?
Usipojaribu huwezi ku-declear kuwa umeshindwa. Tatizo tayari unadhana ya kushindwa nafsini mwako. Na ndiyo maana unaona ugumu. Hivi unatarajia nani awakague kama siyo wewe? Ubaya wa wakati tulionao watu wanawaogopa watoto wao hata nobe kuwakemea!! JE! Utakuwa na ujasiri wa kumkagua mwanao? Na kwa hali hii si ajabu kwa mama kupata taarifa ya mwanaye kuwa ameharibiwa kwa kuingiliwa toka kwa majirani kuliko kugundua yeye mwenyewe. POLE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usijali Mkuu, jitahidi uwalee vizuri wanao.
Nitafutie mume Bikra huko Mwifwa.π π π πUmejibu, lakini jibu sio sahihi
Nitafutie mume Bikra huko Mwifwa.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Wanaume hawana Bikra, ila kuna wanaume wengi wanaingia kwenye ndoa zao wakiwa hawajawahi kufanya tendo la ndoa ukilinganisha na wanawake
Mwifwa una andika kama vile hayo mambo yapo. Simulizi hizi za kale zinanoga kweli kweli. Enhee endelea basi kunipa usahihi wa bikra za nyakati zile [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]