Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Usibalidi masharti, unafikili watakao enda motoni hawakulisikia Neno la Mungu ???

Chagua kimoja.
Bikira na hamtaki Mungu inshort yeye ni Atheist.

Amabe hana bikra na yupo kwenye wokovu.

Chagua wa kuishi nae kama alivyo.

Hoja yako ya msingi ilikuwa kuhusu mpagani, sio atheist... au kwako ni mtu mmoja huyu?

Nimechgua mpagani, nawe chagua wako.

Tukirudi kwa atheist, kama ameweza kuishi katika misingi kiasi cha kujiepusha na dhambi... doa lake liko wapi?

Pamoja na mambo mengine, kwa kuzingatia mada ya leo... nitachagua huyo uliyemwita atheist aliyejitunza.
 
Unataka kuharibu watoto wa watu.

Kama unalengo la kuoa waambie unataka kuoa ila kama hakuna bikra wajiandae kurudisha mahari na ndoa kuvunjika.
lengo la kuoa lipo hila Mimi, sina imani Na hawa viumbe me nipo huku, naofia wakija nitosa wakaliwa Na wengine ntakua nimepoteza sana,
 
Kwani hizo bikra wanajitoa wenyewe???? Au zinatolewa na nani???
 
We sio bure, hadi Mungu unamtolea mfano ???? Cheeeh mashikolo mageni
 
Duh wewe ulijuaje kwamba ni mabikra?
Lakini pia Mtu anapokuambia jambo anahitaji kutekelezewa yaani kama unania nao waweza kuwaoa
 
Lakini Mkuu mleta mada (Samahani lakini), kumbuka kuwa hata dada yako/ shangazi yako/ mama yako/ mtoto wako anaweza akawa single mother, au akawa mjane apo baadae, unamaanisha asiolewe tena kwakuwa tu tayari alishatolewa bikra siku za nyuma abakie hivyo hivyo tu kwakuwa ameshatengua agano la kuolewa akiwa na bikra?
 
Kama umeshindwa kumla mtoto wa chuo , wewe itakua si rijali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…