Kwani duaniani bikra hamna au?? Hivi hawa wanawake wanaokuja kupinga hii mada ni wake za kina nani?? Au wana mpango wa kuolewa na kina nani?? Sheeenzi kabisa! Wewe kama huna wenzako wanayo tena wengi tu! Omba upate mume na sio kupinga kwamba hakuna umuhimu wa kuoa bikra!!Pole kwako kuwa na one sided view of life!...
na wewe utaoa bikira, utampata wapi?...
Kabisa mkuu. Mwanamke aliyeolewa bikra ana heshima sana. Hana drama za kipuuzi.Tena ukioa bikira wala hamgombani, maisha yanakua mteremko
Umekua🙌🏻🤝Mimi..sijasoma...ila nachosema Ni kwamba..Kujitunza Ni jambo zuri Sana..
Ila Mwenyezi Mungu nimsamehevu anasemahe.....kila KITU..
Huyo Huyo Mungu anasema Tusikae kushughulishwa na.Mazambi ya watu wengine ...
Hakuna mkamilifu Huyu anakazana na kuona UZINIFU wa WANAWAKE....Yeye Hana ukamilifu kwani nae Ni mzifu..
Pia anamadhambi Mengi Sana ambayo yeye MWENYEWE anajua..
Mungu humpa Yule amtakae..Kuna watu Ni wadhambi Sana lakini bado Mungu akawabariki Sana...mfano FARAO.
Kwaiyo...nikweli Mungu anatutaka kujitunze...lakini PIA HAWEZI KUTUNYIMA wenza.. kwasababu HAKUNA Mwanadamu aso dhambi...
Single mother kwa huu mwezi tutatoa 'intro' tuBila kusahau single mothers [emoji16]
😂😂😂😂😂😂😂tuoee bikra tu!
Toka huku kabisa maan topic haiwahusu mizoga kama ww!! Hivi uliyenae kweny mahusiano anajua kwamba unatetea umalaya huku kweli!!MUNGU WANGU!! unamuita mama yako malaya for few likes za Jamii forums?? WEWE UMEPINDA more than i thought,
Kwa heri! naona nimethibitisha maneno yangu mwenyewe kuwa una hatrage na wanawake...duuh
NI HIVII WEWE MPUUZI, ANZISHA POLL WANAUME WA JAMII FORUMS UONE WANGAPI WAMEOA BIKIRA AMA MAHUSIANO WALIYONAYO NI YA MWANAMKE BIKIRA...!!!???!!!
LABDA UKICONFIRM MWENYEWE BIKIRA IS NOT THAT RELEVANT NA KWAMBA HIZI TOPICS ZAKO ZINAKU POTRAY KUWA UNAISHI ULIMWENGU WA KUFIKIRIKA AND YOU ARE DELUDED PERSON THEN UTATUPUNGUZIA MASHUDU YAKO YA KUHUSU BIKIRA,
Nahisi naweza kuacha huu mjadala uendelee..maanake khaaaaaa
Sina swal tena1. Sina mgogoro wowote na wazazi wangu
2. Aliyethibitisha ni Baba yangu ambaye naye alituusia kama alivyousiwa na Baba yake(Babu yangu) Kuwa ni desturi ya ukoo wetu kuoa bikra. Hivyo huu ni utamaduni wa ukoo wetu.
3. dnio kuna uhusiano mkubwa Mkuu.
Karibu sana
Mwenye kazi ni huyo atayekuoa ww ambaye unatete ukahaba!hata wewe ni mzinifu,halafu uko fake sana,huendani na reality at all hio moja, na hauko real hio mbili, inaelekea unaweza kufanya lolote just to be noticed, huyo mkeo ana kazi kubeba mwanaume furushi kama wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama tulivyokubaliana.....agenda ya mwezi huu wa kwanza ni kuhusu bikra tu
Point ya jamaa siyo kupewa tunda wa mwisho au kula makombo! Point yake ni kwamba mwanaume unaweza kuoa mwanamke bikira na bado akakusaliti kwenye ndoa kama huyo mwanamke alivyomsaliti mumewe na kutembea na jamaa mbona mnajifanya mnakaza vichwa!Wewe uliishia kuona tu mwenzako akapewa tunda na kutoa bikra baada ya mda huyo manzi anakutafuta na bla bla eti alitamani bikra uitoe ww hata kama ameolewa atakupa tunda mwisho wa siku kaliwa hadi papuchi imekua sugu ndio unaletewa we mnyonge halafu unafurahia.
Mnapotoa mifano kama hii muwe mnaangalia na hali halisi! Maana kwa mfano wako hauwezi kufananisha Cruiser used na Passo mpya!Gari mpya ikipata ajali haimaanishi gari used ni imara kuliko mpya.